hivi huyu marehemu fisadi Dr yake ilikuwa ya nini na aliipatia wapi?
Aagh labda kesho Kaka, wacha nipunzike kesho asubuhi naenda Mambwemkoswe halafu Kaburi wazi mchana.We jamaa, njoo majengo hapa, ofisi ya Kata.
RIP maji ya Tanga Mzinda Kaya.
Hukuelewa nilichoandika?!Alikuwa fisadi au alifichua ufusadi?
Kama ile ya Jakaya au Mtoro Ongala.hivi huyu marehemu fisadi Dr yake ilikuwa ya nini na aliipatia wapi?
Pole ya huyo swahiba yako mpk ID mpya yyyy?Pole sana ndugu yangu/ mshikaji wangu Paul,najua ni kipindi kigumu sana ila mungu akupe ujasiri na moyo wenye subra
RIP Mzee wangu
RIP Mzindakaya. Pole kwa wafiwaWandugu,
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.
Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.
Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.
Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.
'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.
Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha
Zaidi, soma:
1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa
View attachment 1811793
Mkuu wewe bado unaamini yatokayo katika kinywa cha Jobo? Ameshafahamisha umma kuwa "huwa anasinzia akiwemo... lakini huwa hayupo huku akiwepo!!"duuuh, kumbe Nyerere nae alikuwa haheshimu kura za wananchi wala mahakama...
Mzindakaya kacheza faulo akanyang’anywa ubunge na mahakama, Nyerere akamwingiza bungeni kwa teuzi... so much for Baba wa Taifa
Spika Ndugai nae kadanganya bunge kwamba Mzee kapiga 45 years non- stop, wakati kumbe alikaa benchi 1981 mpaka 1982...
daaaah.... jamaa muongo sanaMkuu wewe bado unaamini yatokayo katika kinywa cha Jobo? Ameshafahamisha umma kuwa "huwa anasinzia akiwemo... lakini huwa hayupo huku akiwepo!!"
Wakati huo alikuwa ndiye waziri?Alikomba feza za mradi wa kilimo cha umwagiliaji kasulu, mradi umekuja kukamilika 2010 badala ya 1980
Sijakuelewa mkuu una maana gani?Pole ya huyo swahiba yako mpk ID mpya yyyy?
Duhhuyu nasikia aliwahi kufika jukwaani kweye mkutano wa iampeni akavua koti akalitundika hewani
APUMZIKE KWA AMANI MZEE WETUWandugu,
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.
Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.
Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.
Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.
'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.
Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha
Zaidi, soma:
1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa
View attachment 1811793
Sumbawanga voodooistNipe key words