Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,442
tulia basi ukisikiwa utasingiziwa na mama UNADOKOA nyama traCcm ni balaa,happy birthday hadi za wafu
tulia basi ukisikiwa utasingiziwa na mama UNADOKOA nyama traCcm ni balaa,happy birthday hadi za wafu
Ukiwa umefumba macho unasali/swali muulize hilo swali atakujibu.Kwann upande mmoja
13.4.2022Zamani tulifundishwa alizaliwa tarehe 22.4.1922 au walitudanganya.
Ni ndugu wa Nyerere hivyo ni kizazi cha Baba yao sio cha kwao.Butiku hadi leo anakula kwa Mgongo wa Baba wa Taifa
Huyu Jamaa anakula bata kwa jina la Nyerere kuliko akina Madaraka
Na hii ndio point apaButiku hadi leo anakula kwa Mgongo wa Baba wa Taifa
Huyu Jamaa anakula bata kwa jina la Nyerere kuliko akina Madaraka
Hapa mbezi beach analo eneo linaitwa rungwe, pale kamuweka msukuma mmoja anaitwa Charles miaka na miaka hajawahi kuonekana.Kutimiza Mwaka 100 tangu afariki is a significant milestone to Mwalimu's legacy but Mwalimu Nyerere foundation under Butiku's leadership has not lived up to the people's expectations. Had someone other than Nyerere's relative been the head of the foundation I am certain THE MWALIMU NYERERE FOUNDATION like THE NELSON MANDELA FOUNDATION would have registered great achievements in its mission!
Butiku is solely responsible for the foundation's dismal achievements of what was expected!! He had no idea of how he could scale up the activities of the organization.
Butiku ameshindwa hata kuwasaidia mama Maria na wanawe/ wajukuu kuchunga mali zao. Huyu mama Maria enzi ya ufugaji wake kuku alikamata viwanja huko Mikocheni na Mbezi beach amabvyo hivi sasa vimegeuzwa mapango ya majambazi huku wajukuu wa mama Maria wanategemea kulishwa na sisi wavuja jasho!!
They are dancing according to the tunes !! Au ulitakaje mkuu ??Hawa Mwalimu Nyerere Foundation wana jukwaa kila shughuli ya kumbukizi yq Mwalimu.
Wanaoitwa kuzungumza ni walewale, hawana jipya zaidi ya historia tu ambayo bado kufikia impact
Hapana umechanganya na Mwaka, tarehe ni 13/4/1922.Zamani tulifundishwa alizaliwa tarehe 22.4.1922 au walitudanganya.
Mungu hazuhakiwi, ngoja akupige tukio la mtu wako wa karibu ndio utajua vizuri kuhusu kifoKifo ni faida kwa mwenye haki
Walitakiwa kuwa wabunifu.They are dancing according to the tunes !! Au ulitakaje mkuu ??
Mmoja aliuliwa na BWM, hawa wawili wameuliwa na timu mizogaKwann watawala wa Kikristu wamekufa mapema kuliko waislamu.
Mbwa kala mbwa.Mmoja aliuliwa na BWM, hawa wawili wameuliwa na timu mizoga
Nadhani huko walipo wanajidharau.wachambanaa kipo wapi ulinitanguliza umenifata mbona hukubaki milele kwa kuniondoa mimi.Mmoja aliuliwa na BWM, hawa wawili wameuliwa na timu mizoga
Kama wanaziishi fikra za mwalimu na falsafa zake kivitendo itakuwa ni vyema sana !! Lakini kama itakuwa vinginevyo basi itakuwa ni shidaaa !!Ni Natumaini yangu kuwa siku itafika historia ya Tanzania itaangaliwa kwa uadilifu unaostahili. Tunapomkumbuka JKN na wazito wengine wote waliopita basi ukweli wote utandazwe ili fundisho likamilike. It should be done in all honesty with a critical eye into the reality of the times.
Leo hii hiyo MN Foundation inakuwa kama kijiwe kingine cha watu kujipa ujiko wa kuuza sura na kujipatia ulaji kwa kuendelea “kubuni” sifa za JKN (continuous embellishment of JKN’s legacy).
Hapa mbezi beach analo eneo linaitwa rungwe, pale kamuweka msukuma mmoja anaitwa Charles miaka na miaka hajawahi kuonekana.
Huyo jamaa kapangisha wafanyabiashara ndogo ndogo anakula kodi tu. Mama kwa hadhi yake hawezi kuja kuhangaika na kiwanja cha RIP mume wake. Wajanja wanapiga kwa jina la Nyerere.
Kuna mwaka walitaka kubomoa vile vibanda vya biashara ndogo ndogo lakini mipango ikayeyuka.
waseme tu tarehe ya kuzaliwa lakini huwezi kutimiza miaka wakati umekufa!Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation mzee Butiku amesema ifikapo 13 April 2022 baba wa taifa Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake.
Patakuwepo mambo mbalimbali katika siku hii na hasa tukikumbuka jitihada za Nyerere katika kupigania Uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla na hata misingi ya Azimio la Arusha, amesema.
Chanzo: ITV Dakika 45!
Maendeleo hayana vyama!
Hakika kabisa, maneno kuntu.Nadhani huko walipo wanajidharau.wachambanaa kipo wapi ulinitanguliza umenifata mbona hukubaki milele kwa kuniondoa mimi.
.Mobutu alimtanguliza Lumumba
.Jiwe.............. beni
. Mugabe...... tsvangirai
.Abacha ..... Abiola, keni sarowia
.Moi..... Ouko
.Al compaore...... Thomas Sankara
.Idi amin dada...... Dr kiwanuka
.
.
Killing is higher level of ignorance.
Kuua mtu ni kiwango cha juu Sana cha ujinga.Kwann uue mtu hali utoishi milele.
Jiwe.......ben, hapana timu mzonga wote wawili hawa wanahusika pa kubwa, apandacho mtu ndicho atakacho kivuna.Nadhani huko walipo wanajidharau.wachambanaa kipo wapi ulinitanguliza umenifata mbona hukubaki milele kwa kuniondoa mimi.
.Mobutu alimtanguliza Lumumba
.Jiwe.............. beni
. Mugabe...... tsvangirai
.Abacha ..... Abiola, keni sarowia
.Moi..... Ouko
.Al compaore...... Thomas Sankara
.Idi amin dada...... Dr kiwanuka
.
.
Killing is higher level of ignorance.
Kuua mtu ni kiwango cha juu Sana cha ujinga.Kwann uue mtu hali utoishi milele.