Mzee Butiku: Tarehe 13/04/2022 Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,778
141,660
Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation mzee Butiku amesema ifikapo 13 April 2022 baba wa taifa Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake.

Patakuwepo mambo mbalimbali katika siku hii na hasa tukikumbuka jitihada za Nyerere katika kupigania Uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla na hata misingi ya Azimio la Arusha, amesema.

Chanzo: ITV Dakika 45!

Maendeleo hayana vyama!
 
"Atatimiza miaka 100" Kwani bado anaishi? Nadhani unamaanisha "Angekuwa anatimiza miaka 100" mwaka huu, iwapo tu angekuwa bado yupo hai.
... and by the way, significance yake ni ipi? Mwanadamu akishashusha pumzi yake ya mwisho yote ya kimwili kwake yanakuwa yamefika mwisho pia; fikra zake ndio zitaendelea kuishi. Kuzaliwa ni tukio la kimwili, baada ya kufariki hakuna mantiki kuendelea kumhesabia miaka yake ya kuzaliwa kana kwamba bado anaishi.
 
Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation mzee Butiku amesema ifikapo 13 April 2022 baba wa taifa Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake.

Patakuwepo mambo mbalimbali katika siku hii na hasa tukikumbuka jitihada za Nyerere katika kupigania Uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla na hata misingi ya Azimio la Arusha, amesema.

Source: ITV Dakika 45!

Maendeleo hayana vyama!
Hawa Mwalimu Nyerere Foundation wana jukwaa kila shughuli ya kumbukizi yq Mwalimu.

Wanaoitwa kuzungumza ni walewale, hawana jipya zaidi ya historia tu ambayo bado kufikia impact
 
Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation mzee Butiku amesema ifikapo 13 April 2022 baba wa taifa Mwalimu Nyerere atatimiza miaka 100 tangu kuzaliwa kwake.

Patakuwepo mambo mbalimbali katika siku hii na hasa tukikumbuka jitihada za Nyerere katika kupigania Uhuru wa Tanzania na Afrika kwa ujumla na hata misingi ya Azimio la Arusha, amesema.

Source: ITV Dakika 45!

Maendeleo hayana vyama!

Mzee Butiku: unanikumbusha muungano na kile kitabu cha mwaka 1977.​

 
Back
Top Bottom