mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Akimalizia mazungumzo yake kwenye mdahalo wa CCM unaorushwa mubashara TBC muda huu Mzee Butiku ameuliza "mbona Uingereza malkia yupo....., mbona Angela Merkel yupo miaka 16? Mradi tufate taratibu"
=======
MZEE BUTIKU: Mimi nampenda sana Rais Magufuli, ngoja niseme hili hapa leo. Watu wengi wanasema mkali, mimi ningependa awe mkali zaidi. Kweli ningependa huko aliko mkali zaidi kwasababu tusipojipanga vizuri na chama cha mapinduzi kisipojipanga vizuri kikasimia serikali yake vizuri, hatuwezi kuvuka sasa hivi katika dunia ya sasa hivi ya ushindani, dunia ya Marekani, dunia ya Wachina, Wahindi, dunia ya watu wanaoongezeka haraka, hatutavuka.
Kwahiyo mnataka Rais ambae ni mpole lakini ni mkali.
Hili la kutoka kutotoka ni la utaratibu, ameniuliza jana mtu wa Deustchwele mambo ya kung'atuka, sikutaka kuzungumza hilo. Nikasema mambo ya kuacha ni mambo ya kuzungumza tu, mbona waingereza, wazungu wameongoza miaka mingapi? mingi masultani haya yamekaa yanaendesha nchi zao, nani aliwauliza? Waongo tu, Waingereza hapo wana malkia, nani anamuuliza? Huyu mama Makel mwaka huu wa ngapi? Wa 16, kwa hiyo watanzania tuwe huru tukitaka kuzungumza mambo haya ya wakati, wakati ukifika tunazungumza tu, ni mambo ya kuzungumza mkitaka kuamua mnafanya.
Lakini yasitupotezee muda, sijui 10, 5, sijui atoke lini! Priority ya sasa hivi ni maendeleo ya wananchi. Lakini tufate utaratibu, hapana mazungumzo ya holela hapa, mazungumzo yanafata utaratibu.
=======
MZEE BUTIKU: Mimi nampenda sana Rais Magufuli, ngoja niseme hili hapa leo. Watu wengi wanasema mkali, mimi ningependa awe mkali zaidi. Kweli ningependa huko aliko mkali zaidi kwasababu tusipojipanga vizuri na chama cha mapinduzi kisipojipanga vizuri kikasimia serikali yake vizuri, hatuwezi kuvuka sasa hivi katika dunia ya sasa hivi ya ushindani, dunia ya Marekani, dunia ya Wachina, Wahindi, dunia ya watu wanaoongezeka haraka, hatutavuka.
Kwahiyo mnataka Rais ambae ni mpole lakini ni mkali.
Hili la kutoka kutotoka ni la utaratibu, ameniuliza jana mtu wa Deustchwele mambo ya kung'atuka, sikutaka kuzungumza hilo. Nikasema mambo ya kuacha ni mambo ya kuzungumza tu, mbona waingereza, wazungu wameongoza miaka mingapi? mingi masultani haya yamekaa yanaendesha nchi zao, nani aliwauliza? Waongo tu, Waingereza hapo wana malkia, nani anamuuliza? Huyu mama Makel mwaka huu wa ngapi? Wa 16, kwa hiyo watanzania tuwe huru tukitaka kuzungumza mambo haya ya wakati, wakati ukifika tunazungumza tu, ni mambo ya kuzungumza mkitaka kuamua mnafanya.
Lakini yasitupotezee muda, sijui 10, 5, sijui atoke lini! Priority ya sasa hivi ni maendeleo ya wananchi. Lakini tufate utaratibu, hapana mazungumzo ya holela hapa, mazungumzo yanafata utaratibu.