Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
pole sana famila..
huyu mzee tulikua naye karibu wakati alipokuwa katibu wa ccm Arusha..enzi hizo cham kinashika hatamu ..ilikuwa kofia zimetenganishwa....kabla ccm kuja na kofia mbili yaani mkuu wa mkoa anakuwa katibu wa ccm...hapo yeye akahamishiwa mbeya...baaaye TFTU Akiwa na mzee peter nyamhokya...hawa ndio waliomualika nyerere may day akatoa ile hotuba yake maarufu..
nilimuona mzee bruno mwaka jana ...huyu pamoja na watu kama kina paul kimiti walikuwa watu waadilifu sana....lakini kinasikitisha sana kuwa mfumo wa mafao ya kustaafu ulifanya watu kama bruno waishi maisha ya taabu kidogo baada ya kustaafu....sidhani kama maisha yake ya ustaafu yalikuwa na furaha sana..kama kawaida ya watu waliofanya kazi enzi za mwalimu!!!
RIP
kuhusiana na pension yake
yeye mwenyewe na familia yake waliponda sana maisha wakati wa enzi za uongozi wake
pension moja inatosha kama wewe ukiwa na mke wako tu na sio familia kubwa ya kuhudumia, ukiwa na majukumu mengi inabidi ulipe pension kubwa au ulipie pension zaidi ya moja (hata nchi za ngambo watu wanalipa pension zaidi ya moja)
RIP bruno