Mzee Bruno Mpangala aaga dunia

Mkulima

JF-Expert Member
Feb 4, 2007
1,034
1,022
Mzee Mpangala ambaye aliwahi kuwa mkuu wa mkoa kwa muda mrefu na pia katibu wa kwanza wa chama huru cha wafanyakazi (Tanzania Federation of Trade Union-TFTU) amefariki dunia asubuhi ya leo nyumbani kwake hapa Dar.

Bwana alitoa na Bwana amechukua; tunamwombea, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, amen.
 
Pole SANA mZEE!
Mungu mwema ailaze roho yako mahala Pema!
Nakumbuka ulifanya kazi njema sana kuwakumbusha HAWA MAFISADI WAAJIRI juu ya haki zetu,...

RIP MZEE!
 
oooh mzee Bruno, katibu Mkuu wa mwisho wa OTTU, SHIRIKISHO KUBWA KABISA LA WAFANYAKAZI NNCHI HII, SERIKALI ILIFANYA HIANA kuisambaratisha. RIP BRUNO MPANGALA... Vita bado inaendelea, mapambano yanaendelea katika kumkomboa mfanyakazi wannchi hii dhidi ya uzalimu wa serikali ya Kikwete.
 
Kwa Familia Mungu Awatie Moyo katika kipindi hiki kigumu, mpambanaji mmoja kapungua
 
Mungu ailaze mahali pepa peponi roho ya mpiganaji huyu, umetutoka wakati busara zako hasa katika kudumisha umoja miongoni mwa vyama vya wafanyakazi zilihitajika sana kuliko wakti mwingine wowote! kazi uliyotumwa umeifanya, umeondoka haijakamilika lakini tusema kuwa your struggle for better working environment will not go a drain!
Kwa heri mpambanaji!
 
It was just a few days ago -siku ya Mei Mosi nilimkumbuka nikamuulizia! OH MY GOD!
MZEE Bruno Mpangala..
You will always be remembered ulivyokuwa mtanashati.....You did ur bit..... rest in peace.
 
Mzee Mpangala ambaye aliwahi kuwa mkuu wa mkoa kwa muda mrefu na pia katibu wa kwanza wa chama huru cha wafanyakazi (Tanzania Federation of Trade Union-TFTU) amefariki dunia asubuhi ya leo nyumbani kwake hapa Dar.

Bwana alitoa na Bwana amechukua; tunamwombea, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, amen.

Amen
 
R.I.P mpambanaji wetu Bruno Mpangala. You trully served the nation!! The struggles are still there, we need strong and dedicated trade unions.
 
pole sana famila..

huyu mzee tulikua naye karibu wakati alipokuwa katibu wa ccm Arusha..enzi hizo cham kinashika hatamu ..ilikuwa kofia zimetenganishwa....kabla ccm kuja na kofia mbili yaani mkuu wa mkoa anakuwa katibu wa ccm...hapo yeye akahamishiwa mbeya...baaaye TFTU Akiwa na mzee peter nyamhokya...hawa ndio waliomualika nyerere may day akatoa ile hotuba yake maarufu..

nilimuona mzee bruno mwaka jana ...huyu pamoja na watu kama kina paul kimiti walikuwa watu waadilifu sana....lakini kinasikitisha sana kuwa mfumo wa mafao ya kustaafu ulifanya watu kama bruno waishi maisha ya taabu kidogo baada ya kustaafu....sidhani kama maisha yake ya ustaafu yalikuwa na furaha sana..kama kawaida ya watu waliofanya kazi enzi za mwalimu!!!
RIP
 
Back
Top Bottom