Mzee atoa machozi baada ya kumuona Lissu aliyepigwa risasi 16 akiwa hai

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,269
Leo Singida.
B5D5C375-F99D-47D5-8CA4-3B8D1CE4FD72.jpeg
 
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20201011-234118_Chrome.jpg

Bongo imejaa wanafiki,fikiria watu kama Polepole,Kabudi,Bashiru wangeweza kugeuka waimba mapambio
 
Huwezi kuongoza nchi kwa huruma
Ya kupigwa risasi uraisi huwa haujaribiwi
Nadhani hujawaelewa watu,


mtu huyu anastahili kama angalikuwa sio mtu wa kusimamia kile anachokiamini

basi angelikuwa kimya kwa hofu ya magazine

Lakini ni imara mwenye courage and he is going to make a brave leader.

Hii ndio maana yao
 
Huwezi kuongoza nchi kwa huruma
Ya kupigwa risasi uraisi huwa haujaribiwi
Babu yenu alisokomezwa kuwa rais, ndoto zake ilikuwa aje awe IGP. Ampishe lissu watz kwa pamoja tunamtaka awe rais wetu na kura zetu zote ni kwa lissu
 
Kura yangu kwa Lissu ni kwasababu anastahili kuwa Rais wa JMT


Kwanza you have to declare interest, je Wewe ni mwanamke mweusi au mweupe???--- isiwe ni wewe ni mweusi na unataka kupiga kura ya chuki kwa yule Boss mpenda mkorogo (vyeupe).🤣🤣
 
Back
Top Bottom