SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Tulikuwa tunasafiri kwa basi toka Moshi kwenda Dar. Basi lilisimama mahali katikati ya Same na Hedaru. Konda wa basi kwa sauti kubwa akatangaza: 'Kuchimba dawa jamani, wale wote wanaohitaji kuchimba dawa!'
Mzee mmoja aliyevalia t-shirt kuukuu aliinuka na kumwambia konda: 'Mwanangu, kama kuna jembe humu naomba mniazime!'
Mzee mmoja aliyevalia t-shirt kuukuu aliinuka na kumwambia konda: 'Mwanangu, kama kuna jembe humu naomba mniazime!'