Mzee abuni umeme wake "haukatiki, sijasoma nilitengeneza helikopta wazungu wakachukua"

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,907
6,700
Kutana na Rojas Mathayo Msuya mkazi wa Kawe Dar es salaam ambae amebuni mtambo wa kuzalisha umeme unaotumia nguvu ya sumaku na good news ni kwamba mtambo huo wa umeme ukishafungwa kwenye nyumba yako haulipiwi tena baada ya kutoa gharama za kutengenezewa.

Rojas anasema "Taaluma hii sijasoma, nimejifunza mimi mwenyewe kupitia kwa baba yangu, zaidi ya robo tatu ya umri wangu nimetumia kujaribu kuunda vitu vingi.

Mimi ndie mtu pekee niliyeunda Helikopta iliyotumia sumaku hapa nchini na ikaruka"

*Mtambo huu wa kufua umeme hapa ulipo unaweza kufanya kazi, mainjinia wa Tanesco walikuja wakapima na wakaona upo sawa kabisa kwa matumizi ya nyumbani, naibu waziri alikuja tarehe 25 January kuangalia" Rojas.
 
Kutana na Rojas Mathayo Msuya mkazi wa Kawe Dar es salaam ambae amebuni mtambo wa kuzalisha umeme unaotumia nguvu ya sumaku na good news ni kwamba mtambo huo wa umeme ukishafungwa kwenye nyumba yako haulipiwi tena baada ya kutoa gharama za kutengenezewa...
Inabidi ulipiwe ili ili you ugunduzi uwafaidishe wengi. La sivyo utakufa. Hakuna kisicho na gharama.
 
Niliiona hii habari ya ulee mtambo, na serikali ime thamiria kununua iyo teknolojia coz huyo mzee msuya ana dai alishawahi kufatwa na ma don toka nje ya nchi wakiwa na cash Us dollar wakitaka wauziwe iyo technology lkn huyo mzee alikataa
 
Niliiona hii habari ya ulee mtambo, na serikali ime thamiria kununua iyo teknolojia coz huyo mzee msuya ana dai alishawahi kufatwa na ma don toka nje ya nchi wakiwa na cash Us dollar wakitaka wauziwe iyo technology lkn huyo mzee alikataa
Mabeberu walichukua Helikopta yake
 
You mean umeme wa kutumia sumaku ?, Kama alivyofanya Faraday au ?

Cha maana aangalie efficiency ya mashine yake kama ni bora kuliko zilizo sokoni heko kwake..., ila hata kama sio bora na gharama ni ndogo kuliko kununua basi atumie yeye pamoja na wanajamii kwa kuwauzia na yeye kujipatia kipato...

Ila kama amegundua laws tofauti na kina Faraday basi aweke rekodi sawa huenda in the near future tunaweza tukawa badala ya 1 Faraday tunasem 1 Rojas...
 
Kuna ukweli au ni kawaida ya kutengeneza story ili kuwayumbisha wadanganyika.

Mwendo wa sasa ni VAA BARAKOA, JILINDE NA KUWAKINGA WENGINE. CORONA INAUA!!!

Kuna watu wako busy kutengeneza miswada ambayo lengo lao wanalijua wenyewe.

Acheni kutengenza miswada inayokwamisha na kuua ndoto za watanzania na wawekezaji, kujeni na miswada itakayokwamua nchi. Ebooooo

HUU NI WAKATI SAHIHI WA KUDAI KATIBA MPYA, Ikiwezekana mihula ya Urais ipunguze kuwa miaka minne.Sio mitano tena
 
Back
Top Bottom