Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Kutana na Rojas Mathayo Msuya mkazi wa Kawe Dar es salaam ambae amebuni mtambo wa kuzalisha umeme unaotumia nguvu ya sumaku na good news ni kwamba mtambo huo wa umeme ukishafungwa kwenye nyumba yako haulipiwi tena baada ya kutoa gharama za kutengenezewa.
Rojas anasema "Taaluma hii sijasoma, nimejifunza mimi mwenyewe kupitia kwa baba yangu, zaidi ya robo tatu ya umri wangu nimetumia kujaribu kuunda vitu vingi.
Mimi ndie mtu pekee niliyeunda Helikopta iliyotumia sumaku hapa nchini na ikaruka"
*Mtambo huu wa kufua umeme hapa ulipo unaweza kufanya kazi, mainjinia wa Tanesco walikuja wakapima na wakaona upo sawa kabisa kwa matumizi ya nyumbani, naibu waziri alikuja tarehe 25 January kuangalia" Rojas.
Rojas anasema "Taaluma hii sijasoma, nimejifunza mimi mwenyewe kupitia kwa baba yangu, zaidi ya robo tatu ya umri wangu nimetumia kujaribu kuunda vitu vingi.
Mimi ndie mtu pekee niliyeunda Helikopta iliyotumia sumaku hapa nchini na ikaruka"
*Mtambo huu wa kufua umeme hapa ulipo unaweza kufanya kazi, mainjinia wa Tanesco walikuja wakapima na wakaona upo sawa kabisa kwa matumizi ya nyumbani, naibu waziri alikuja tarehe 25 January kuangalia" Rojas.