Chochote hakiwezi kutokea popote hivihivi tu!
NenoMungu tuepushe na balaa la kuuana kama kuku
System at work, fumbo mfumbie mjinga, mwerevu.....naam,baada ya Bagamoyo sasa tatizo linahamishiwa Mkoani,ili tujue kwamba ni mauaji ya kawaida? Kuwa haihusiani na Saanane kupotea huko Dar? Punde huenda tutaskia huko zanzibar kuna maiti kwenye viroba njia panda,huku tukiwabusy na tume za Faru John ambapo tulishaambiwa kauzwa sijui 100mln!!
Mkuu acha kabisa watu wakiamua kukupoteza watakupeleka hata nje ya nchi ukiwa umesha nyamazishwa, inawezekana akauliwa Dar akaenda kutupwa uru huko kuendelea kuchelewesha uchunguzi.Yaani Ben Saanane mzaliwa wa rombo aondoke dsm kimyakimya aende ongoma uru bila kutambuliwa kisha auwawe na kuwekwa kwenye kiroba? Please guys imagine other things not this bensaanane saga
una uhakika?au mpk atangaze
Mbowe mwenyewe ni wanted inatafutwa sababu!!una uhakika?au mpk atangaze
Hivi kwanini Chama mbadala hawakutoa taarifa za kupotea kwa Mfanyakazi wao tena msaidizi wa mwenyikiti , Kama hazikuwa ni Njama za kufuta ushahidi na kujaribu kuipakazia ............Mbona Tushajua Kauawa Na Kengeza Baada Kutokubaliana Mambo Fulani, Na Ntawamwaga Hapa Soon
NIMEPENDA SIGNATURE YAKO BI DADAYaani Ben Saanane mzaliwa wa rombo aondoke dsm kimyakimya aende ongoma uru bila kutambuliwa kisha auwawe na kuwekwa kwenye kiroba? Please guys imagine other things not this bensaanane saga
Ukweli hata mimi hilo jambo linanisikitisha sana!! Hivi kweli mtu alikuwa msaidizi wake wa karibu kiasi hicho Mbowe amempotezea naendelea na ziara yake ulaya!!!! Hii siyo fair!!! Mbowe ni katili ama la anajua Saanane aliko kwahiyo hana wasiwasi.kwanini Mbowe hajigusi kumtafuta msaidizi wake?
Aisee upo kwenye ulimwengu wa giza sana amka huko ,kama amekuwa assassinated unashangaa nini kwa yeye kukutwa Moshi au South Afrika kwa mfano ? Hivi wanaofanya mauaji hayo wao hawafikirii mbele ? Kwamba baada ya mauaji ni njia ipi tutumie ili wasiache ushahidi wa walichokifanyaYaani Ben Saanane mzaliwa wa rombo aondoke dsm kimyakimya aende ongoma uru bila kutambuliwa kisha auwawe na kuwekwa kwenye kiroba? Please guys imagine other things not this bensaanane saga