sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Suala la ukuaji wa watoto kwa asilimia kubwa sisi wazaz ndio inabidi tuhusike pakubwa , kuwapa Watoto wetu elimu na miongozo katika hiki kipindi ni muhimu sana,tukigoma kuitoa sisi wazazi basi tutambue ya kwamba watu ambao sio sahihi ndio wanaweza kuwa walimu wake.
Ni haki ya mtoto atambue kila badiliko la mwili wake na changamoto zake, kwa saizi utandawazi umekuwa mkubwa sana hasa katika kipindi hiki ambacho simu imekuwa kama kiungo kwenye miili yetu, kwenye hizi simu janja kuna mambo meusi ambayo yanaweza kumteketeza mtoto wako mifano ni
kuanza sex katika umri mdogo risk ikiwa ni mimba za udogoni ama magonjwa– hapa siku hizi kuna magrupu ambayo ni sumu kwa mwanao, mfano kuna magrupu ya kutafuta Malaya ama wachumba, kuna magrup ya fb, whatsapp, badoo, n.k sasa hapa mwanao anakuwa yupo kwenye kipindi ambacho ngono imemtawala kichwa kwa kiasi kikubwa, bila muongoza atakurupukia huku na akapata magonjwa kama ukimwi, kaswende, gono, n.k pia anaweza kuwa baba au mama akiwa na umri mdogo sana
Ushoga / Usagaji - kuna mtoto wa rafiki yangu mwaka fulani tulikuwa tunahangaika kumtafutia shule mpya maana alifukuzwa baada ya kubainika kwamba ana tabia za kishoga kama kukiss wenzake, kukumbatiana nao, kuvaa mavazi yanayotia shaka, huenda alisaanza kuf***a, yote kwa yote kijana alipobanwa alikazana kwamba hakuna kosa kuwa shoga, na bla bla nyingi ambazo zilishaashiria katoa points hizo kwenye mitandao inayojikita kulinda mashoga, ndio hivyo tena yani mtoto kaharibikiwa.
Motivational speakers wanaohamasisha shule si kitu – hapa napo Watoto wakisikiliza sana wanapunguza bidi shuleni.
Punyeto + video za X – sote tunajua vifurushi vya data hapa nchini ni bei rahisi, nchi yetu ipo katika nchi zenye gharama nyepesi sana za internet, lakini pia hii imechochea uangaliaji wa video za x zinazopelekea vijana wengi kupiga punyeto kitu ambacho kinakuwa uraibu ambao unaharibu nguvu za kiume, waweza kumzawadia mtoto simu ila kama hujampa elimu ataangamia.
Bongo flava – nako huku siku hizi Sanaa imegeuka kuhamassha ngono, pombe, bangi, n.k wasanii ndio kioo cha jamii, watoto wanaweza kuna ni ujanja kufat nyayo za maisha yanayoonekana kwenye videos za miziki
Binafsi nimejenga urafiki na watoto wangu, bado ni wadogo ila wa kwanza imebaki miaka michache tu abalehe, kwa kutambua hili, niejenga urafiki nae wa karibu kitu ambacho kimemfana awe huru kuongea na mimi kwa kujiamini endapo ana shida, katika kujenga nae urafiki mbinu nazopenda ni kumfundisha kucheza muziki, kucheza nae mpira, n.k hii inasaidia sana hata nikimtia bakora anapokosea huwa aarudi tu, naamini hii angalau itanisaidia hapo mbele hasa pale atakapokuwa anapata changamoto
Ni haki ya mtoto atambue kila badiliko la mwili wake na changamoto zake, kwa saizi utandawazi umekuwa mkubwa sana hasa katika kipindi hiki ambacho simu imekuwa kama kiungo kwenye miili yetu, kwenye hizi simu janja kuna mambo meusi ambayo yanaweza kumteketeza mtoto wako mifano ni
kuanza sex katika umri mdogo risk ikiwa ni mimba za udogoni ama magonjwa– hapa siku hizi kuna magrupu ambayo ni sumu kwa mwanao, mfano kuna magrupu ya kutafuta Malaya ama wachumba, kuna magrup ya fb, whatsapp, badoo, n.k sasa hapa mwanao anakuwa yupo kwenye kipindi ambacho ngono imemtawala kichwa kwa kiasi kikubwa, bila muongoza atakurupukia huku na akapata magonjwa kama ukimwi, kaswende, gono, n.k pia anaweza kuwa baba au mama akiwa na umri mdogo sana
Ushoga / Usagaji - kuna mtoto wa rafiki yangu mwaka fulani tulikuwa tunahangaika kumtafutia shule mpya maana alifukuzwa baada ya kubainika kwamba ana tabia za kishoga kama kukiss wenzake, kukumbatiana nao, kuvaa mavazi yanayotia shaka, huenda alisaanza kuf***a, yote kwa yote kijana alipobanwa alikazana kwamba hakuna kosa kuwa shoga, na bla bla nyingi ambazo zilishaashiria katoa points hizo kwenye mitandao inayojikita kulinda mashoga, ndio hivyo tena yani mtoto kaharibikiwa.
Motivational speakers wanaohamasisha shule si kitu – hapa napo Watoto wakisikiliza sana wanapunguza bidi shuleni.
Punyeto + video za X – sote tunajua vifurushi vya data hapa nchini ni bei rahisi, nchi yetu ipo katika nchi zenye gharama nyepesi sana za internet, lakini pia hii imechochea uangaliaji wa video za x zinazopelekea vijana wengi kupiga punyeto kitu ambacho kinakuwa uraibu ambao unaharibu nguvu za kiume, waweza kumzawadia mtoto simu ila kama hujampa elimu ataangamia.
Bongo flava – nako huku siku hizi Sanaa imegeuka kuhamassha ngono, pombe, bangi, n.k wasanii ndio kioo cha jamii, watoto wanaweza kuna ni ujanja kufat nyayo za maisha yanayoonekana kwenye videos za miziki
Binafsi nimejenga urafiki na watoto wangu, bado ni wadogo ila wa kwanza imebaki miaka michache tu abalehe, kwa kutambua hili, niejenga urafiki nae wa karibu kitu ambacho kimemfana awe huru kuongea na mimi kwa kujiamini endapo ana shida, katika kujenga nae urafiki mbinu nazopenda ni kumfundisha kucheza muziki, kucheza nae mpira, n.k hii inasaidia sana hata nikimtia bakora anapokosea huwa aarudi tu, naamini hii angalau itanisaidia hapo mbele hasa pale atakapokuwa anapata changamoto