Mzazi mwenzangu anataka kumbadili dini mtoto wetu

babu kavu

Senior Member
Jul 4, 2022
117
123
habari Wana jamii forum,nilikuwa naishi na mzazi mwenzangu lakini kwa bahati mbaya tukatengana ,kipindi hicho tunatengana sikuwa najiweza Sana kiuchumi hivyo hata huduma za mtoto sikuwa napeleka kwa usahihi (mtt alikuwa na miaka miwili)...maisha yakaendelea,mambo yangu yakaanza kurudi kwenye mstari nikawa napeleka huduma vizuri ..Sasa hivi Kuna Jambo kaligusia na yupo serious anataka kummbadili mtoto dini kutoka uislamu kwenda ukristo kiukweli hili sijapendezewa nalo kabisa...na Kuna siku nimeongea na mtoto ananiambia baba Mimi nimekuwa mkristo(Ana miaka minne)

-ikiwa Mimi nimekubali kubeba majukumu kwa mwanangu na ndiye baba halali wa mtoto kisheria imekaaje !?je mama yake anaweza kumbadili tu dini mtoto kwa sababu anakaa naye!?

KARIBUNI
 
Bas kamchukue kama unaweza ....

Afu mnaumiza sana kichwa na hizi dini.. Kwan akiwa dini tofauti ndio atakuwa hakutambui kama ww ni babaake...
habari Wana jamii forum,nilikuwa naishi na mzazi mwenzangu lakini kwa bahati mbaya tukatengana ,kipindi hicho tunatengana sikuwa najiweza Sana kiuchumi hivyo hata huduma za mtoto sikuwa napeleka kwa usahihi (mtt alikuwa na miaka miwili)...maisha yakaendelea,mambo yangu yakaanza kurudi kwenye mstari nikawa napeleka huduma vizuri ..Sasa hivi Kuna Jambo kaligusia na yupo serious anataka kummbadili mtoto dini kutoka uislamu kwenda ukristo kiukweli hili sijapendezewa nalo kabisa...na Kuna siku nimeongea na mtoto ananiambia baba Mimi nimekuwa mkristo(Ana miaka minne)

-ikiwa Mimi nimekubali kubeba majukumu kwa mwanangu na ndiye baba halali wa mtoto kisheria imekaaje !?je mama yake anaweza kumbadili tu dini mtoto kwa sababu anakaa naye!?

KARIBUNI
 
dini zililetwa na mashua...wewe peleka matumizi tu huyo mtoto akikuwa lazima atafuata mila na desturi za baba yake..............
 
Hakuna kosa lo lote! Kama huwezi kubadilisha imani ya Mama yake hata kwa mtoto hutaweza! Tunza mtoto maana ni wa kwako hata kama hawezi kuwa Muslam kama wewe.
 
Kama mama wa mtoto ni mkristo, na mtoto anatuzwa na mama basi mtoto automatically atafuata imani na malezi ya dini ya mama (ukristo), upende au usipende.

Kuhusu sheria inasemaje, fahamu tu baba na mama wana haki sawa kuhusu umiliki wa mtoto, lakini mama mwenye kumlea mtoto anapewa upendeleo zaidi katika jukumu la kuishi na mtoto na baba anatupiwa mzigo wa kulipia gharama ya matunzo, hivyo jipange kila jumapili kumtumia pesa mama yake ili mtoto akienda kanisani awe na sadaka ya kutoa!
 
wewe muache ambadili hiyo dini..tuma matumizi ili mtoto aendelee kukutambua na kukupa heshima kama baba, akifika umri wa kujitambua na kujiamria mambo yake anza kumlingania.....ili aweze kuamua mwenyewe!
 
habari Wana jamii forum,nilikuwa naishi na mzazi mwenzangu lakini kwa bahati mbaya tukatengana ,kipindi hicho tunatengana sikuwa najiweza Sana kiuchumi hivyo hata huduma za mtoto sikuwa napeleka kwa usahihi (mtt alikuwa na miaka miwili)...maisha yakaendelea,mambo yangu yakaanza kurudi kwenye mstari nikawa napeleka huduma vizuri ..Sasa hivi Kuna Jambo kaligusia na yupo serious anataka kummbadili mtoto dini kutoka uislamu kwenda ukristo kiukweli hili sijapendezewa nalo kabisa...na Kuna siku nimeongea na mtoto ananiambia baba Mimi nimekuwa mkristo(Ana miaka minne)

-ikiwa Mimi nimekubali kubeba majukumu kwa mwanangu na ndiye baba halali wa mtoto kisheria imekaaje !?je mama yake anaweza kumbadili tu dini mtoto kwa sababu anakaa naye!?

KARIBUNI
Wewe ndio Baba, ndio kiongozi na Mlezi Mkuu wa Familia. Kama ww ni Muislam na unaona kabisa kua mwanao anataka kubadilishwa dini, basi ujue unabeba jukumu kubwa sana kwa Mola wako na ujiandae kwa hilo. Usikubali mwanao aharibiwe dini yake na Akhera yake.

Mchukue Mtoto wako umlee kwenye Misingi ya Uislam, Umsomeshe amjue Mungu wake na namna ya Kumuabudu.

Kwa Taarifa yako (Kama hujui) hapa duniani hakuna neema kubwa ambayo Mungu kampa binaadamu kama neema ya Uislam.
 
Back
Top Bottom