Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,300
- 5,408
mchukue ukaishi nae
Mkuu huyo bi Dada Hana ujuzi wowote?huwa na wasiliana nae mara kwa mara na huwa nawahudumia wote kwa ujumla
Jibu ni moja tu..haina kujadiri...achana nae haraka na hata guest house usingeenda, ungebeba mizigo yako usepe,wanawake ni pumbavu sana isipokua MAMA yako tu ambaye naye ana shida zake kwa BABAHabarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.
Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na mwanamke kwa muda mrefu ambaye tumefanikiwa kuwa na mtoto mmoja ila katika mahusiano yetu hayo tumetenganishwa na umbali kias wa kila mmoja yupo katika mkoa tofaut na mwenzake mimi nipo musoma yeye yupo tabora kutokana na majukumu ya kutafuta riziki za kila siku kwa faida yetu sote.
Mzazi mwenzangu huyo ni mwalimu wa nursery school na anafundisha katika shule fulan iliyopo Tabora nimekuwa nikimuamini kwa muda na hasa baada ya kuzaa mwaka juiz niliamini kuwa sasa malengo na mawazo yetu yapo sawia katika kuendeleza familia na kwa malezi bora ya mtoto lakini cha kushangaza hivi karibun nilienda kumtembelea Tabora na nilimtaarifu kuwa nakuja na ninafikia kwake ila nitakaa siku mbili mpaka tatu alafu narudi kazini kwangu ambapo najitolea bado sijaajiriwa.
Ukweli nilipofika Tabora nilifikia kwake na nikalala siku ya kwanza lakiin ilipofika siku ya pili nimetoka zangu mizunguko jioni nikawa nimeketi naye mpaka mida ya sa mbili kasoro lilitokea tukio la kustaakabisha kiasi, kumbe mwenzangu anamwamaume mwingine ambaye anakujaga kulala mpaka pale na siku hiyo muda wa uck alimwambia anakuja kulala pale, mwenzangu akashindwa kuniambia ikabid akamwambie mama mwenye nyumba wake aje aniambie kuwa huyu mwezako ana mtu wake amemwambia anakuja japo kuwa anasema awali alimwambia kuwa mimi nina mtoto na nina mwanaume wangu lakini yulu mwanaume alikubali hivyo hivyo.
Cha ajabu siku hiyo alipoambiwa mimi nimekuja alisema anakuja hivyo hivyo na ataleta fujo ikanibidi mwenyebnyumba aniombe niondoke na mzazi mwenzangu tukalale pengine asije akaja akatukuta ikaleta fujo na aibu. Pia nami nikafanya kama nlivyoambiwa na nilipofika gesti na mzazi mwenzangu nikaongea nae mambo mengi na nikamuuliza kati ya mimi na yeye unampenda nani akasema wewe hapo.
Swali linakuja kama unanipenda mim unawezaje kumleta mwanaume mwenzangu unapolala kama hauna malengo nae akasema nisamehe tu huku akilia.
Ndugu zangu nimekuja mbele yenu ila muweze kunisaidia ushauri kutokana na uzoefu wenu katika mambo ya mahusiano.
Noma sana kufuli kushea funguoUshafanywa jogoo la kuazima na si ajabu hata mtoto anaweza akawa kifaranga cha kuazima...
Tembea mbele haraka mno...dharau gani hizo za kufuli kushea funguo!!!
Yani ananyanyasika kisa hana HELA anaachwa baada atafute hela anataka akatafute mwanamke mwingine Akiweza ambebe huyo mwanamke waende nae akamhudumie japo sidhani kama ataweza maana huko aliko Anajitolea mkuu..Tafuta Mwanamke mwingine huyo ameshakua sugu hata akilia haibadilishi ukweli wa tabia yake mbofu mbofu,Hapo anakutega mfunge ndoa, kitachofuata hapo atakua na hakika ya ndoa hivyo mizinguo mtindo mmoja.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Pango analipa mwanaume wa TaboraMchukue muishi pamoja kupunguza changamoto kama hizo. Ipo siku atahamia kabisa huyo mwanaume
poa kaka nimekupataFanya yote kumbuka kuna maradhi.Mpigie jamaa mueleze ukweli huyo manzi ajielewi hata akiwa naye atamwambia kama anavyo kuambia wezakuta mtoto ana zaidi ya baba mmoja we ni ba mlezi.
Hata nikijua ntazuga sijuiPole kwa kukoment babe mimi sikucheat kivile hutakaa ujue 🥰
shehe nlisema nataka matusi au ushauriWe huwajui watu yaani akutamkie sikupendi kabisa?uliona wapi tena wengine ni waigizaji wanalia kabisa,emu acha ujinga amka usingizini kumekucha mpuuzi wewe,
broo hilo swali nsharijibu mbona ongea kitu cha uhakikaPango analipa mwanaume wa Tabora
Kanikera sana, dawa ungemsubiri huyo mume mwenzio, afu unatembezea wote moto.So umeenda kutafuta G house kumkimbia mwanaume mwenzio?
Kwan unadhani haiwezekani pango kulipwa na zaidi ya wanaume 2Pango analipa mwanaume wa Tabora