Mzazi mwenzangu anadai ananipenda lakini nimegundua ana mwanaume mwingine

mtu yeyote anaweza kulala namwanamke, lakini mwanamke kukubali kuzaa na wewe ni kiwango kikubwa cha kukuamini, sema baadae wanabaki kuumizwa lakini point ni alikuamini muweze kuzaa pamoja!! angalia sana upande wako ulikosea wapi, ukiona kuna makosa hasa ya kumkalia kimya, rudi na ujirekebishe!! ua zuri lazima lizongwe na miba, huyo mwanamke ungemkuta single angekua na shida,,
 
Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.

Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na mwanamke kwa muda mrefu ambaye tumefanikiwa kuwa na mtoto mmoja ila katika mahusiano yetu hayo tumetenganishwa na umbali kias wa kila mmoja yupo katika mkoa tofaut na mwenzake mimi nipo musoma yeye yupo tabora kutokana na majukumu ya kutafuta riziki za kila siku kwa faida yetu sote.

Mzazi mwenzangu huyo ni mwalimu wa nursery school na anafundisha katika shule fulan iliyopo Tabora nimekuwa nikimuamini kwa muda na hasa baada ya kuzaa mwaka juiz niliamini kuwa sasa malengo na mawazo yetu yapo sawia katika kuendeleza familia na kwa malezi bora ya mtoto lakini cha kushangaza hivi karibun nilienda kumtembelea Tabora na nilimtaarifu kuwa nakuja na ninafikia kwake ila nitakaa siku mbili mpaka tatu alafu narudi kazini kwangu ambapo najitolea bado sijaajiriwa.

Ukweli nilipofika Tabora nilifikia kwake na nikalala siku ya kwanza lakiin ilipofika siku ya pili nimetoka zangu mizunguko jioni nikawa nimeketi naye mpaka mida ya sa mbili kasoro lilitokea tukio la kustaakabisha kiasi, kumbe mwenzangu anamwamaume mwingine ambaye anakujaga kulala mpaka pale na siku hiyo muda wa uck alimwambia anakuja kulala pale, mwenzangu akashindwa kuniambia ikabid akamwambie mama mwenye nyumba wake aje aniambie kuwa huyu mwezako ana mtu wake amemwambia anakuja japo kuwa anasema awali alimwambia kuwa mimi nina mtoto na nina mwanaume wangu lakini yulu mwanaume alikubali hivyo hivyo.

Cha ajabu siku hiyo alipoambiwa mimi nimekuja alisema anakuja hivyo hivyo na ataleta fujo ikanibidi mwenyebnyumba aniombe niondoke na mzazi mwenzangu tukalale pengine asije akaja akatukuta ikaleta fujo na aibu. Pia nami nikafanya kama nlivyoambiwa na nilipofika gesti na mzazi mwenzangu nikaongea nae mambo mengi na nikamuuliza kati ya mimi na yeye unampenda nani akasema wewe hapo.

Swali linakuja kama unanipenda mim unawezaje kumleta mwanaume mwenzangu unapolala kama hauna malengo nae akasema nisamehe tu huku akilia.

Ndugu zangu nimekuja mbele yenu ila muweze kunisaidia ushauri kutokana na uzoefu wenu katika mambo ya mahusiano.
Jibu ni moja tu..haina kujadiri...achana nae haraka na hata guest house usingeenda, ungebeba mizigo yako usepe,wanawake ni pumbavu sana isipokua MAMA yako tu ambaye naye ana shida zake kwa BABA
 
Ushafanywa jogoo la kuazima na si ajabu hata mtoto anaweza akawa kifaranga cha kuazima...

Tembea mbele haraka mno...dharau gani hizo za kufuli kushea funguo!!!
Noma sana kufuli kushea funguo

Na hii mtu hana msimamo juu ya hisia zake mpaka kuchanganyana noma zaidi
 
Fanya yote kumbuka kuna maradhi.Mpigie jamaa mueleze ukweli huyo manzi ajielewi hata akiwa naye atamwambia kama anavyo kuambia wezakuta mtoto ana zaidi ya baba mmoja we ni ba mlezi.
 
Tafuta Mwanamke mwingine huyo ameshakua sugu hata akilia haibadilishi ukweli wa tabia yake mbofu mbofu,Hapo anakutega mfunge ndoa, kitachofuata hapo atakua na hakika ya ndoa hivyo mizinguo mtindo mmoja.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Tafuta Mwanamke mwingine huyo ameshakua sugu hata akilia haibadilishi ukweli wa tabia yake mbofu mbofu,Hapo anakutega mfunge ndoa, kitachofuata hapo atakua na hakika ya ndoa hivyo mizinguo mtindo mmoja.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Yani ananyanyasika kisa hana HELA anaachwa baada atafute hela anataka akatafute mwanamke mwingine Akiweza ambebe huyo mwanamke waende nae akamhudumie japo sidhani kama ataweza maana huko aliko Anajitolea mkuu..
 
Fanya yote kumbuka kuna maradhi.Mpigie jamaa mueleze ukweli huyo manzi ajielewi hata akiwa naye atamwambia kama anavyo kuambia wezakuta mtoto ana zaidi ya baba mmoja we ni ba mlezi.
poa kaka nimekupata
 
We huwajui watu yaani akutamkie sikupendi kabisa?uliona wapi tena wengine ni waigizaji wanalia kabisa,emu acha ujinga amka usingizini kumekucha mpuuzi wewe,
 
We huwajui watu yaani akutamkie sikupendi kabisa?uliona wapi tena wengine ni waigizaji wanalia kabisa,emu acha ujinga amka usingizini kumekucha mpuuzi wewe,
shehe nlisema nataka matusi au ushauri
 
Back
Top Bottom