ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,544
- 44,690
Kama una mtoto ambaye anatumia smartphone jua ameshika sumu Tena sumu iliyo expire.hizi Zama uchafu wote upo kwenye X Ni rahisi kwa mtoto kutaka kujaribu michezo ya kule.mkanye kabisa usimfiche mwambie kuna vitu ni hatari havijaribiwi Wala havitazamwi.kama una mtoto wa kiume ambaye hutaki awe na tabia za kishoga na kibasha au Kama una mtoto wa kike ambaye hutaki ajifunze kulengwa jicho Basi mueleze uhalisia wa Mambo bila kupepesa