Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Hii imekaaje wakuu.
Mfano huu hapa katika famili hii.
Baba ana watoto 6, mama katangulia mbele ya haki. Baba maisha yake yanamwendea mrama sana kimapato. Katika watoto 6 wa kwanza ni Dr.
Baba amejenga nyumba ambayo anaishi na watoto wake 2 ambao awajaanza kujitegemea.kwa bahati nzuri katika hiyo nyumba kuna sehemu ya uwanja umebaki ambao anaweza kujenga nyumba nyingine ili apangishe kuongeza kipato cha familia.
Baba uwezo wa kujenga haupo tena, ila mtoto wake fisrt born Dr, ana uwezo wa kujenga kutokana na kipato chake kuwa vyema.
First born Dr, amemwambia Baba yake yupo tayari kujenga. Sharti amuuzie kwanza huo uwanja.
Je magreater thinker, hii imeekaaje.
Je ni vyema mzazi kumuuzia uwanja au kitu chochote mtoto mmoja kati ya watoto wake.
Mfano huu hapa katika famili hii.
Baba ana watoto 6, mama katangulia mbele ya haki. Baba maisha yake yanamwendea mrama sana kimapato. Katika watoto 6 wa kwanza ni Dr.
Baba amejenga nyumba ambayo anaishi na watoto wake 2 ambao awajaanza kujitegemea.kwa bahati nzuri katika hiyo nyumba kuna sehemu ya uwanja umebaki ambao anaweza kujenga nyumba nyingine ili apangishe kuongeza kipato cha familia.
Baba uwezo wa kujenga haupo tena, ila mtoto wake fisrt born Dr, ana uwezo wa kujenga kutokana na kipato chake kuwa vyema.
First born Dr, amemwambia Baba yake yupo tayari kujenga. Sharti amuuzie kwanza huo uwanja.
Je magreater thinker, hii imeekaaje.
Je ni vyema mzazi kumuuzia uwanja au kitu chochote mtoto mmoja kati ya watoto wake.