EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,683
we mtoto unanidhalilisha hivi baba yako huku mitandaoni
Ni jukumu la kwao wenyewe kujitengenezea maisha yao ya uzeeni. Jukumu kubwa la binadamu ni kuwalea na kuwatunza Na kuwafundisha watoto wako ili nao wafanye hivyo kwa watoto wao.Kwanini sio jukumu?
Ni jukumu la nani kuhudumia/kutunza wazazi?
Umenikumbusha nilipopata kazi tu mshahara wa kwanza nimejipanga naenda kulipia kwa fundi kitanda sababu nilikuwa nimeweka oda na nyingine nilipie kodi. Mzee wangu akiniomba nimsaidie. Ikabidi nimueleze tu ukweli.vijana wenzangu ningependa tuweksne sawa katika hili swala ambalo lina tukuta weng
kwa mfano umepata kazi wazazi nao wanategemea sana wewe kupata kazi baada baada ya wewe kapata kazi kuna maisha yako inatakiwa uyatengeneza changamoto ina kuja hapa mzazi mzazi akishajua kwamba umeshapata kazi hapo ndipo changamoto zinaanza
mzazi anaanza kuku tegemea wew kwakila kitu bila kujali mshara wako Mdogo pia afikilii kwamba nawew unahitaji kutengeneza maisha yako kwanza
hatukatai kumsaidia mzazi nilazima lakini kuna muda unaweza jikuta kwenye maisha unakwama malengo yako yana potea bila kujua nini chanzo kumbe hata wazazi wana changia wakisha jua mwisho wamwezi umekaria sim zinaanza zakuomba Pesa unajikuta malengo ulopanga kwamba nikipokea mshahara nifanye hiki unavuruga unamtumia mzazi usipo mtumia lawama kama zote
jamani wazi mtuache kwanza makampuni yenyewe saivi wana lipa mishahara midogo pengine hata Mimi mahitaji yangu haunisholezi tushsulisne hapa Vijana wenzangu hasa sisi tunao anza maisha tuwekane sawa by Fundy_samwely_tz
Hasante sana ninaomba kujua hukumu kwa mzazi mwenye uwezo wa kufanya kazi lakini akawa hapendi kufanya kazi eti kwa sababu mtoto wake ana kazi?Uislam haukuwahi kumtweza mtu nguvu, kumlazimisha kufanya jambo nje ya uwezo wake.
Hili la kuhudumia wazee ni jukumu la wajibu lakini linakwenda sambamba na uwezo wa huyo mtoto, sio wewe unakula kuku wao mlenda wale mlenda tu ikiwa wanapenda kufanya hivi.
Ila la muhimu hakikisha unayafanya majukumu haya ya kuwatunza wazazi kwa uwezo wako wote(to the maximum) kwani hii ndio maana halisi ya ihsani na allah atakulipa ujira mkubwa sana hapa duniani na kesho akhera.
Na uyafanye haya juu ya wazazi wako bila malalamiko, sijui mama hivi sijui baba hivi. Fanya bila ya kulalama na ujione fahari kuwahudumia wazee wako wakati wako hai.
Mtume wa allah asema"amepata hasara, amepata hasara, amepata hasara/pua yake imegusa mchanga(ameangukia pua) yule ambaye ataishi na wazazi wake kisha wazaza wake wakafika uzee na kufa na isiwe sababu ya yeye kupata pepo"kwa ihsani hii kwa wazazi.
Kumbuka:
Mali ulizonazo ni za wazazi wako pia
Kuna swahaba aliwahi kwenda kumshtakia mzee wake kwa mtume kuwa "baba yangu amekuja nyumbani kwangu amechukua hiki na kile bila ruhusa yangu, nifanyaje??"
Mtume wa allah akajibu "anta wamaluka liabika" (wewe na mali zako ni za baba ako)
Jibu la kibabe kabisa..asante sana.Inategemeana dogo. Mbona wewe ulipokuwa mdogo uliwategemea wao kwa kila kitu, lakini hawakukutolea matangazo unayowatolea wao hapa?
Wazazi wawili wanalea watoto.6! Watoto sita wanashindwa kulea wazazi wawili!vijana wenzangu ningependa tuweksne sawa katika hili swala ambalo lina tukuta weng
kwa mfano umepata kazi wazazi nao wanategemea sana wewe kupata kazi baada baada ya wewe kapata kazi kuna maisha yako inatakiwa uyatengeneza changamoto ina kuja hapa mzazi mzazi akishajua kwamba umeshapata kazi hapo ndipo changamoto zinaanza
mzazi anaanza kuku tegemea wew kwakila kitu bila kujali mshara wako Mdogo pia afikilii kwamba nawew unahitaji kutengeneza maisha yako kwanza
hatukatai kumsaidia mzazi nilazima lakini kuna muda unaweza jikuta kwenye maisha unakwama malengo yako yana potea bila kujua nini chanzo kumbe hata wazazi wana changia wakisha jua mwisho wamwezi umekaria sim zinaanza zakuomba Pesa unajikuta malengo ulopanga kwamba nikipokea mshahara nifanye hiki unavuruga unamtumia mzazi usipo mtumia lawama kama zote
jamani wazi mtuache kwanza makampuni yenyewe saivi wana lipa mishahara midogo pengine hata Mimi mahitaji yangu haunisholezi tushsulisne hapa Vijana wenzangu hasa sisi tunao anza maisha tuwekane sawa by Fundy_samwely_tz
Kumbuka hapo anakaa na watoto zake wote. Wanakula pamoja wanalala nyumba 1. Even me nina uwezo wa kulea wazazi wangu kwa kama mm walivyonilea nikiishi nao sehemu moja. Mjini nimepanga najitegemea kodi,umeme,maji, chakula, nalipa dada wa kazi, nalipa ada kwa kijana wangu. Na mzazi aliokuwepo kijijini naye anataka nimpatie pesa ya kula, umeme, nilipe bill za maji, pesa ya kuandaa shamba,pesa ya kununua mbegu na mbolea, pesa ya kuvuna, akiumwa malaria nimtumie pesa aende hospital, akifiwa na ndugu yake nimtumie pesa ya nauli.Wazazi wawili wanalea watoto.6! Watoto sita wanashindwa kulea wazazi wawili!
Izi akili zenu za kibeberu izii ndio zilizotufikisha apaTunajukumu la kuwatunza na kuwalea watoto tuliowaleta duniani, kumsaidia mzazi ni fadhila ya malezi aliyokupa lakini si jukumu.
na ww utakuwa mzaz either tayar ni mzaz subil ufikie level ile ya wtt wako kuwa wamepata kaz,na ukute ulitumia ngv nying kuwasomesha,mali na vyote ulivyokuwa navyo uliwapeleka shule,, wamepata kaz mda huo ww ushazeeka!,,45+yrs utakikumbuka hiki ulichokiandika hapa acha kabisa hilo jambo ni swala la kumushukuru mola tu!,kikubwa ni bajet zako ujuwe namna ya kuzicontral,s kila wakat watakuomba hapana kuna wakat utakaohitajika ww kufanya hivyo,,hasa kabisa mbo hili linategemeana sana na umri wa wazaz wako....Wazazi wa ki Afrika ni changamoto kwa kweli, wao wanafikiri ukisoma ukawa na kazi basi ule mshahara wako ni kwa ajili ya matumizi yao kwa kuwa wametuzaa. Nilipata tabu sana na mzazi wangu, nilitumia njia nyingi za kistaarabu kumuonyesha kuwa nina kipato kidogo kisichokidhi hata mahitaji yangu kwa hyo apokee tu hicho ninachompa na ajitahidi kukitumia kwa utaratibu mzuri. Hakunielewa na akawa analeta ukali. Aisee nilichokuja kumfanya sitasimulia ila aliishia kupata ugonjwa wa moyo na amerudi kwenye mstari. Akipewa kilichopo anashukuru na wala haleti zile lawama zake za kutoridhika. Nilijitahidi kuwa muungwana hakutaka kunielewa. Nilipomuumiza alinielewa. Si vyema kumuumiza mzazi lakini sikuwa na alternative nyingnie ya kumuonyesha kuwa madai yake yamenilemea zaidi ya ku inflict pain. Baada ya kumuumiza kwa sasa kaacha na akipewa kilichopo anashukuru na kukitumia vizuri. Sikushauri utumie mbinu yangu. Mimi niliitumia baada ya kutumia njia ya kistaarabu na kiungwana kushindikana.
Umenena vyema sana mdada, mi nakazia tuu apaTunajukumu la kuwatunza na kuwalea watoto tuliowaleta duniani, kumsaidia mzazi ni fadhila ya malezi aliyokupa lakini si jukumu.
Tunajukumu la kuwatunza na kuwalea watoto tuliowaleta duniani, kumsaidia mzazi ni fadhila ya malezi aliyokupa lakini si jukumu.