futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Habari JF?
CRANK BOX NI JENERETA NDOGO YA MKONO YENYE UWEZO WA KUWASHA TAA 3 ZA LED.
HAITUMII BETRI, MAFUTA YA TAA, UMEME WA JUA AU WA TANESCO KUCHAJI.
Crank Box inatumia nguvu zako tu!!
Ina teknolojia rahisi na makini. Unahitaji dakika moja tu kuchaji.
Inatumia DYNAMO kutengeneza nguvu ya umeme inayohifadhiwa kwenye CAPACITOR kwa zaidi ya masaa 2.
Vijijini kwetu tumewaacha ndugu na jamaa ambao bado wanatumia vibatari, kandili, mishumaa na hata wengine kulala giza kwa kukosa mwanga. Wanafunzi wanashindwa kusoma wakitoka shule kwa sababu hawana mwanga tegemezi.
Je, unatumia kiasi gani kila wikiendi kutoka na marafiki zako?
Je, ni kiasi gani cha pesa unatumia bila ulazima/mpango wowote?
Je, unamkumbuka yule ndugu yako mwenye shida hata ya chakula?
CRANK BOX NI MKOMBOZI.
Betri, Mishumaa na Kandili ni hatari kwa afya zetu, zinachafua mazingira & ni gharama kumudu.
Bei za mafuta zimepanda sana, vivyo hivyo bei za chakula na bidhaa nyingine sokoni.
Ukimpatia nduguyo zawadi ya crank box, utakuwa umemuokoa sana.
Ataweza kuhifadhi takriban kiasi cha shilingi TZS: 60,000/= ikiwa ni gharama ya mafuta ya taa kwa mwaka pamoja na gharama nyinginezo nyingi zinazofanana na hizo!!
Ataepuka maradhi yatokanayo na moshi wa kandili na vibatari. Na ataweka mazingira yake safi!!
Muonyeshe unamjali, mnunulie crank box kwa TZS 15,000/= tu na utazidishiwa maradufu!!
Tutembelee:Tupo Mbezi Beach - Tanki bovu karibia na Gates of Paradise Hotel.
Au wasiliana nasi kupitia 0715 997688/ 0785 997688
CRANK BOX NI JENERETA NDOGO YA MKONO YENYE UWEZO WA KUWASHA TAA 3 ZA LED.
HAITUMII BETRI, MAFUTA YA TAA, UMEME WA JUA AU WA TANESCO KUCHAJI.
Crank Box inatumia nguvu zako tu!!
Ina teknolojia rahisi na makini. Unahitaji dakika moja tu kuchaji.
Inatumia DYNAMO kutengeneza nguvu ya umeme inayohifadhiwa kwenye CAPACITOR kwa zaidi ya masaa 2.
Vijijini kwetu tumewaacha ndugu na jamaa ambao bado wanatumia vibatari, kandili, mishumaa na hata wengine kulala giza kwa kukosa mwanga. Wanafunzi wanashindwa kusoma wakitoka shule kwa sababu hawana mwanga tegemezi.
Je, unatumia kiasi gani kila wikiendi kutoka na marafiki zako?
Je, ni kiasi gani cha pesa unatumia bila ulazima/mpango wowote?
Je, unamkumbuka yule ndugu yako mwenye shida hata ya chakula?
CRANK BOX NI MKOMBOZI.
Betri, Mishumaa na Kandili ni hatari kwa afya zetu, zinachafua mazingira & ni gharama kumudu.
Bei za mafuta zimepanda sana, vivyo hivyo bei za chakula na bidhaa nyingine sokoni.
Ukimpatia nduguyo zawadi ya crank box, utakuwa umemuokoa sana.
Ataweza kuhifadhi takriban kiasi cha shilingi TZS: 60,000/= ikiwa ni gharama ya mafuta ya taa kwa mwaka pamoja na gharama nyinginezo nyingi zinazofanana na hizo!!
Ataepuka maradhi yatokanayo na moshi wa kandili na vibatari. Na ataweka mazingira yake safi!!
Muonyeshe unamjali, mnunulie crank box kwa TZS 15,000/= tu na utazidishiwa maradufu!!
Tutembelee:Tupo Mbezi Beach - Tanki bovu karibia na Gates of Paradise Hotel.
Au wasiliana nasi kupitia 0715 997688/ 0785 997688