Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Haya WaZanzibari wazidisha chachu ya maendeleo kuna habari kuwa kunatayarishwa muswaada wa lazima kwa kila Mzanzibari mtarajiwa atakezaliwa Zanzibar basi ihakikishwe baada ya miezi minne amefunguliwa file na kupewa hati ya kusafiria kwa maana nyingine pasipote na hakuna sababu ya kungojea mpaka atake kusafiri ilivyo kuwa pasi ni haki ya kila raia ,hivyo serikali iwajibike kuhakikisha watoto wate wanaozaliwa wawe wanapatiwa hati hiyo na rekodi yake kutunzwa katika mitambo maalum.