calchooper
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 595
- 354
Midian=madina kwa kiarabu.
Yesu=yehoshua kwa kiarabu.na sio issa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu=yehoshua kwa kiarabu.na sio issa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisaNa kucomplicate mambo zaidi hao wamidiani ni wazaliwa wa Abrahamu kupitia mke wake Keturah. Huyu Keturah huwa hazungumzwi sana lakini baada ya Sara kufa Abraham akamuoa Keturah na kuzaa watoto mmojawapo aliitwa Midian na ndiye baba wa Wamidian.
Wewe unakijua kiarabu kk ebu ficha ujinga wako mda mwingine.Midian=madina kwa kiarabu.
Yesu=yehoshua kwa kiarabu.na sio issa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaHa ha ha! Naona wanajitahidi kweli ku-justify uwepo wa "dini" katika Maandiko Matakatifu ya Bwana Mungu wa Majeshi. Mara ooh kila kiumbe kwa asili ni dini ile, mara nabii wa kufanana na Musa ni nabii yule! Mungu wa Yakobo halishwi maneno na Agano lake amelisuka imara kweli kweli; Lucifer mwenyewe limemtoa knock-out kucheza nalo ndio itakuwa ninyi vibaraka wa Lucifer? Fuateni yenu acheni ujinga.
Midian siyo Madina. Ni mji wa kale uliokuwepo Kaskazini kwa Saudi Arabia mpakani na Jordan na umetajwa kwenye Qur'an unaitwa Madain Saleh, jionee hapa mabaki yake na historia yake:Midian=madina kwa kiarabu.
Yesu=yehoshua kwa kiarabu.na sio issa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jua linamfanya mtu kuwa mweusi!! Kwa hiyo mzungu anayezaliwa Afrika akaishi hapa anageuka rangi na kuwa mweusi.!
Mbona makaburu au wale Zimbabwean Settlers hawajabadilika rangi na kuwa weusi?? Mue serious wakati wa kujadili issues na sio kuleta porojo za vijiweni.
Sijui kwa nini huwa wanahangaika sana, kitabu chao hakijitoshelezi hadi waitumie Biblia na ukiwaambia wamepotea wanakutangazia jihad.Ha ha ha! Naona wanajitahidi kweli ku-justify uwepo wa "dini" katika Maandiko Matakatifu ya Bwana Mungu wa Majeshi. Mara ooh kila kiumbe kwa asili ni dini ile, mara nabii wa kufanana na Musa ni nabii yule! Mungu wa Yakobo halishwi maneno na Agano lake amelisuka imara kweli kweli; Lucifer mwenyewe limemtoa knock-out kucheza nalo ndio itakuwa ninyi vibaraka wa Lucifer? Fuateni yenu acheni ujinga.
Wewe unakijua kiarabu kk ebu ficha ujinga wako mda mwingine.
Kwenye arabic amna ''yeshua'' labda kisukuma
Sijui kwa nini huwa wanahangaika sana, kitabu chao hakijitoshelezi hadi waitumie Biblia na ukiwaambia wamepotea wanakutangazia jihad.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Alisikika mwendawazimu mmoja akisema"Sijui kwa nini huwa wanahangaika sana, kitabu chao hakijitoshelezi hadi waitumie Biblia na ukiwaambia wamepotea wanakutangazia jihad.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Bible ya wayahudi wewe unayo?Wayahudi hawatumii biblia ya WAKRISTO AMBAYO IMEPOTOSHWA KWA AIDHA KUBAMBIKIZA MANENO AU KUTAFSIRI SIVYO NDIO AYA NYINGI NI FAKE NDANI YA BIBLIA YA AGANO LA KALE LA WAKRISTO BALI LA KIYAHUDI KUNA TAFAUTI KUBWA
Quran ni kweli hautamani Kabisa Na Kitabu chochote ndani ya Bible
Hata Kama ingekuwa kweli Musa hana uhusiano wowote Na muhamadi bin badala bin abumutwalibu na wala huo uislam wenyeweWrite your reply...myahudi kasema kweli,median iko west of saud arabia na baadhi ya sehemu za jordan,
Quran siku zoooote haijakamilika na hatokamilika. Ndiposa wanaungaunga Mara hadithi Mara ndoto mwishowe huja kunako Bible Hahahahaha watapata tabu sana...Paulo amewapotosha mkuu, poleni sana
Wewe unaijua Quran?Uongo mwingi sana wa akina paulo
Haiko saudia Bali ni eneo la Jordan kwa sasaWrite your reply...myahudi kasema kweli,median iko west of saud arabia na baadhi ya sehemu za jordan,
Kwa sasa ni eneo la Jordan na sio saudia kibibiMidian siyo Madina. Ni mji wa kale uliokuwepo Kaskazini kwa Saudi Arabia mpakani na Jordan na umetajwa kwenye Qur'an unaitwa Madain Saleh, jionee hapa mabaki yake na historia yake:
Madain Saleh
Jordan iko Petra. Fata link pale ulipojibu ujionee.