Hii sio kweli ni nadharia tu tena wanaoi-propagate mara nyingi ni waislam, bila shaka wewe ni moja wao.Hii inafikirisha zaidi kwa sababu kama Hajira ni mmisri, na Misri ni Africa kuna uwezekano alikuwa ni black. Kwa hiyo kina Ishmael huenda walikuwa watu weusi