Matatizo mangapi yameletwa hapa mengine makubwa yanahusisha sehemu za siri? hili la mdomo ndio liwe zito ki hivo? ni vizuri kuambiana ukweli kuliko kukaa na vijiba huishia kuachana kabisaSiku zote anayenuka mdogo hajijui huenda pia unatatizo hilo la kunuka mdomo ninakushauri si vema ukaleta thread kama hi hapa kwani tatizo hili wakati mwingine ni la kiafya linahitaji tiba ya kitaalamu ikiwa ni mpenzi wako ni suala la kuwasiliana naye ujue tatizo ni nini then umsaidiane jinsi ya kupata matibabu.
Pia lugha uliyoitumia ni mbovu na haina heshima inaonekana wewe ni mchanga katika mapenzi au your not mature enough in love, acha ujinga!
<br />Umejiunga tarehe 30 mwezi wa 7, 2011 na unadiriki kusema MMU imeingiliwa? Au upo humu tokea zamani na kilichobadilika ni ID tu?
Sio lazima awe memba, inawezemana alikuwa anahudhuria kama guest. Nadhani MMU sio members only forum.Umejiunga tarehe 30 mwezi wa 7, 2011 na unadiriki kusema MMU imeingiliwa? Au upo humu tokea zamani na kilichobadilika ni ID tu?
<br />Hivi hujagundua saizi tuna members wengi kweli MMU ambao ni wapya alafu hua wana refer mambo ya nyuma kuonesha dhahiri mwenyeji.... kuna mmoja alikua na post 7 alafu aka comment kwa one of the MMU members kua anatambua kua ni mbishi saana...
Jamani cdhani kama 2kianza kuchunguzana ni lini w2 wamejiunga na jf ndio 2tasolve matatizo y2 na2mai jf imewekwa na kwa uzuri zaidi wameamua kuweka forums mbalimbali ambapo kunatakiwa kuwe na mada zitakazoendana na hapo sa mnanishangaza kuanza kumponda mwenze2 wakati anahtaji ushauri after all keshasema hataki kumpoteza mdada cz he z in love nadhani lazima m2 uwe open ili tatizo lako lishughulikiwe na kwa ushauri w2 weng wanarudi kusema asante plz plz 2toe ushauri hata kama topic kwa kiasi flani itakuchefua bt hebu 2jaribu kujiweka ktk nafasi yake na kumjibu muhusika kadri ya uelewa na uwezo w2!
<br />
<br />
Akaunti zangu zngne zpo lupango.
Cbahatish na wala cjikwez
<br />
<br />
Ashaa mi cjkwez ila uliwai nisaidia kuweka nymbo kwenye thread flan mana nilikuwa cna pc na nilikuwa bush.
Nadhan unakumbuka wa lucky dube.
Kwani hili jukwaa ni la wakongwe tu ama kila mtu anaweza changia no mata ni new member au mkongwe aceni watu watu watoe ideas zao bwana.Hivi hujagundua saizi tuna members wengi kweli MMU ambao ni wapya alafu hua wana refer mambo ya nyuma kuonesha dhahiri mwenyeji.... kuna mmoja alikua na post 7 alafu aka comment kwa one of the MMU members kua anatambua kua ni mbishi saana...