Nilimkuta akiwa kwenye maximum security huku akimwandaa Paul the Octopus kama inavyojionyesha pichani. Wafungwa wenzake walidai anakunywa sana supu ya huyo mnyama na amegoma kula aina nyingine ya chakula
Vipi huko Guantanamo mchizi anaweza kutumia mtandao wa robo shilingi kama ilivyo kawaida yake? Maana huko line ni moja tu ukipiga na wewe lazima wakupigie full stop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.