kama story yako ina ukweli kwanini usimkubal mtoto na baada ya hapo ukafanye DNA test bila mama kujua na hapo utapata majibu juu ya huyo mtoto kuliko kumkataa moja kwa moja,,,,ila na nyie wanaume mna roho ngumu hivi unawezaje kuwa na mtu ambae unajua kabisa anapitiwa na kila aina ya kitu.