My spiritual opinion: Tupac Shakur alikufa baada ya kumezwa na “kivuli” cha mauti cha Biggie Smalls

Status
Not open for further replies.

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,065
27,002
1568556182282.png



FIRST OF ALL IS TUPAC DEAD OR ALIVE ?

My SPIRITUAL OPINION: Kwa sauti ya KEJUAN Muchita ( Havoc ) wa Mobb Deep. Yes Tupac is Dead without a doubt!!! Mwisho wa kunukuu.

Naendelea : Looking at him from a point of spiritual observation, he cannot be seen among the living.

For those friends of mine who are the die hard fan and devoted disciples of a belief that Tupac is still alive, just hiding somewhere in Cuba, I am so sorry to tell you dat ur belief is unfounded. He died a long long time ago.

If u really love him, then the best thing you can do to him is to ' move on ' and ' let him go' so that he can Rest In Peace...

Who Killed him ?


Is it the Illuminati ?, Puffy?, Biggie ? or Suge ?

I have very little to say about that cause am sure as hell that u have read a lot of conspiracy theories about who killed Tupac, blah blah blah!!!

My opinion as to who killed Tupac is founded on spiritual aspect. And I am telling you that Tupac was killed after being swallowed by the “ Shadow of Death “ of Christopher Wallace alias Biggie Smalls. Unbeknownst to himself ( Tupac ), he even acknowledge what am trying to kick in your mind in his infamous evil song “ Hit Em Up “. Follow my lead to really know what I am trying to tell you.

But before I proceed, the bottom line here is that “ TUPAC UNTIMELY DEATH CAME AS AN AFTERMATH OF HIM BEING SWALLOWED BY THE SHADOW OF DEATH OF BIGGIE SMALLS “

HOW WAS IT POSSIBLE ? How was it possible for Tupac to be swallowed by the shadow of death of Biggie Smalls ? TUPAC ALIMEZWA VIPI NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE ?

Tupac alimezwa na kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo lifanya na FEW ( Faith Evans Wallace ) ambae alikuwa mke wa Biggie.

HOW?

katika ulimwengu wa rohoni mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika agano rasmi la ndoa, nafsi zao huunganishwa na kuwa kitu kimoja. Hii inawahusu hata wale wanao fanya tendo la ndoa bila agano rasmi ( wazinzi & waasherati ). Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke unakuwa umekubaliana kuunganisha nafsi yako na nafsi yake. Nafsi yako na yake zinaungana na kukamatana na kuwa kitu kimoja. Kama mtu huyo alikuwa na nuksi/mikosi/laana basi laana hizo zitakufuata na wewe. Nature ya nafsi ya mwanadamu ni " Electro -Magnetic " . Nafsi hizi zinapoingiliana kupitia " majumba" ( miili) yao, hukamatana na kuwa kitu kimoja.

Unapoenda kufanya tendo la ndoa na mke wa mtu basi kuwa na uhakika unaenda kubeba nuksi, mikosi na laana zote za mume/mwanaume wa mwanamke huyo. Ndio maana wayahudi enzi za agano la kale, wazinzi walikuwa wanapigwa mawe hadi kufa, kwa sababu ilichukuliwa kwamba ubaya na uovu wa tendo la zinaa si tu ulikuwa unawanajisi wahusika bali pia ulikuwa una inajisi nchi yote. uzinzi ilikuwa ni kosa kubwa sana sawa sawa na uhaini katika nyakati za leo.

Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke, tafsiri yake katika ulimwengu wa rohoni ni kwamba, unakuwa umeridhia na kukubali kuingia katika agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi ya mwanamke ambae unafanya nae tendo la hilo la zinaa.

Haijalishi unajua kwamba unaingia kwenye agano au haujui ( Hata katika ulimwengu wa rohoni, kanuni ya Ignorantia juris non excusat " ignorance of the law has no excuse" ina operate. )

Mfano wa agano au mkataba huu ni sawa na mkataba unao ingia kila siku unapo enda kupanda daladala., Unapo kuwa umepanda dala dala actually unakuwa umeingia katika contract kati yako wewe na konda hata kama hujui kwamba umeingia kwenye mkataba. Mwisho wa siku utatakiwa kulipa consideration " malipo ya mkataba" ambayo ni nauli yako.

Vivyo hivyo unapo fanya tendo la zinaa na mwanamke basi jua umeingia kwenye agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi yake na mwisho wa siku utatakiwa kulipa gharama za agano hilo ambazo ni pamoja na nuksi, mikosi, mabalaa, laana za ukoo, laana za familia nakadhalika.

Mind you, madhara unayo weza kuyapata sio lazima yawe spiritual katika namna unayo weza kuielewa wewe. Yanaweza kuwa physical but spiritual. Kwa mfano ukifanya zinaa na mwanamke mwenye virusi vya ukimwi maana yake ni kwamba na wewe utapata ukimwi. So mateso yake ya maradhi ya ukimwi yatahamia kwako pia.

Hata kwenye Bible imeandikwa kwenye kitabu cha Mithali 6:32 " Mwanaume Mzinzi hana akili hata kidogo, kwa maana ana i angamiza nafsi yake mwenyewe". Ana iangamiza vipi ? Ana iangamiza kwa ku iunganisha na laana, nuksi, mikosi, maagano mabaya ya kisheitwani.

Back to my point : Tupac aliva kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo fanya na mke wa Biggie.

KWANINI NINASEMA TUPAC ALIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE WAKATI BIGGIE ALIKUWA BADO YUPO HAI ?

Ofcourse whoever ask this question, has a concern but as i s aid earlier, this is just my opinion. So based on my personal opinion, at the time when Tupac was messing with FEW, Biggie had already dead . His soul was already dead. Only it was waiting for the right reasons and time to depart from his body. Ni hivi katika ulimwengu wa rohoni uhai na mauti vina sifa moja inayo fanana nayo ni kuzaliwa. Mauti huzaliwa kama uhai unavyo zaliwa. Kama ilivyo kwa dalili za 'kuzaliwa' kwa mtu kuonekana miezi tisa kabla, vivyo hivyo dalili za ' kufa' kwa mtu huweza kuonekana miezi tisa kabla. Wakati mwingine huweza kuonekana mwaka mmoja, miwili au mitatu kabla. ( Wabudha wame advance sana kwenye maarifa ya kusoma kifo cha mtu miezi kadhaa kabla hajazaliwa )

Wakati mwingine inaweza kuwa ngumu kutofautisha kati ya dalili za kuzaliwa kwa " uhai" au " mauti". Kwa mfano mwanamke akibeba mimba tunasema amebeba " uhai" na tunatarajia atajifungua mtoto baada ya miezi tisa. What if baada ya miezi tisa akijifungua mtoto alie kufa? Hapa ndipo inaposemwa kuwa wakati mwingine mauti na uhai vinaweza kupita njia moja.

TURUDI KWA BIGGIE : Biggie alianza kuonyesha dalili za kifo a long time ago kabla hata Tupac hajatembea na mke wake. Dalili zingine alianza kuzionyesha baada ya Tupac kufa. Nitataja dalili mbili tu, moja alio ionyesha kabla ya Tupac kufa na nyingine ali ionyesha baada ya Tupac kufa but zipo nyingi sana.

DALILI YA KWANZA : MTU ANAE KARIBIA KUFA HUWA NA HEKIMA NA BUSARA KULIKO KAWAIDA/ HUWEZA KUBADILIKA NA KUWA MCHA MUNGU SANA HATA KAMA JAMII ILIKUWA INAMCHUKULIA MUOVU WA KIWANGO GANI.

Mtaani kwenu hamjawahi kuwa na mtu ambae alikuwa ana julikana kwa kuwa mtu mbaya. Lets say jambazi, mchawi, muuaji,mlevi, malaya, msenge, dhulumati, haudhurii misiba, etc whichever come first. Ghafla mnashangaa jamaa anabadilika anakuwa mtu wa ibada sana. Anaanza kujichanga na jamii na kufanya mambo mazuri tofauti na alivyo zoeleka. Ghafla anaanza kuwa mtu wa ibada, mcha Mungu, kushirikiana na jamii, etc halafu baada ya muda fulani anakufa na kuzikwa vizuri sana. Kama haujawahi kushuhudia hili probably u was born in 1997 but dont worry utakuja kushuhudia.

BIGGIE ALIANZA KUWA NA HEKIMA AMBAYO HAIENDANI NA UMRI WAKE, UTAJIRI WAKE NA STATUS YAKE KATIKA JAMII.

Mfano wa hiki ni response ya Biggie kuhusu wimbo wa Hit Em Up. Alipo ombwa kutoa maoni yake kuhusu verse ya Tupac " U claim to be a player but i fucked ur wife " haya ndio majibu aliyo yatoa Biggie.

" Siamini na sina uhakika kama kweli Tupac alifanya sex na FAYE. Lakini hata kama kweli alifanya mapenzi na Faye ilitakiwa ibaki kuwa siri yake na Faye. Kwanini amdhalilishe dada wa watu kiasi hicho? Wanawake wanatakiwa kuheshimiwa na kusitiriwa, U dont have sex with a woman and go in the public and call her bitch. That is so so disrepectful. I think Pac need to apologize to Faye. I can fell how bad Faye feel about the song"

Can u imagine kiwango cha hekima alicho kionyesha Biggie? Yani mtu amtombe mke wako, halafu akutukane hadharani kwamba kamtomba mke wako halafu uulizwe kutoa maoni yako ujibu kama alivyo jibu Biggie? Hell NO!!! Kumbuka Biggie was a celebrity. Famous., Millionaire and he was only 24 approaching 25.. He was not even in his 40.. ( Wanasaikolojia wanasema mwanaume mwenye umri wa kuanzia at least miaka 45 na kuendelea anaweza kusamehe dhambi ya uzinzi but not a guy in his early 30s let alone a g uy in his early 20s.. Ndio maana uncle wa miaka 50 akikukuta una mgonga mke wake atakukanya uachane na mke wake na ataendelea kuwa na mke wake but not a guy in his 30s or 20s. He will without doubt kill you and feed ur corpse with the dogs. Tazama takwimu zote za mauaji ya kimapenzi yanayo tokana na wivu wa kimapenzi yafanywayo na wanaume. Wengi ni wenye umri wa miaka 20s and 30s.

SO UMEONA KIWANGO CHA HEKIMA ALICHO KUWA NACHO BIGGIE ?

Dalili No. 2 : HII ALI IONYESHA BAADA YA TUPAC KUWA AMEUWAWA.

Unahitaji kuwa na uwezo mkubwa wa ama macho ya rohoni au uwezo wa kusoma sura ya mtu. Angalia interview hii ya Biggie aliyo ifanya sometimes in March 1997. Soma sura yake. U can see death written in all over his face.



Nime upload video hii ya Biggie for you to see

Okay dalili hizo 2 zinatosha sasa turudi kwa Tupa

MTU AKIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA MWANAUME MWINGINE KUPITIA TENDO LA ZINAA NA MKE WA MWANAUME HUYO HUWA ANA ONYESHA TABIA KADHA WA KADHA. TUPAC ALIONYESHA TABIA KARIBU ZOTE .

Je Tupac alionyesha Tabia zipi baada ya kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie ?


Mara baada ya kufanya tendo la zinaa na mke wa Biggie na hatimae kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac alianza kuonyesha tabia zifuatazo :"

Kwanza : Mtu akibeba kivuli cha mauti huwa kina MSAHAULISHA mambo ya msingi. Anasahu kama jambo analo lifanya ni jambo la hatari kwa uhai wake. Ni hivi majini na malaika wanao tawala roho ya umauti wana wasaidizi wengi sana " Servants of the Spirit of Death". Chini ya utawala wa majini na malaika hao kuna majini wengine wengi sana. Moja kati ya wasaidizi watiifu wa roho ya mauti ni roho ya usahaulifu. Watu wengi wanao tupiwaga majini wa mauti huwa wana sahaulishwa baadhi ya mambo.

Kwa mfano MTU KUJISAHAU WAKATI WA KUVUKA BARABARA. Mtu alietupiwa roho wa mauti wakati anavuka barabarani anajisahau kama anavuka barabara. Anakuja kukumbuka kuwa anavuka barabara tayari gari imeshamfikia na mwisho wa siku mauti yana mkuta.

Mfano mwingine ni kulewa kisha kuingia ndani ya maji kuogelea au kulewa chakari na kuendesha gari kziembe na hatimaye kukutwa na ajali etc.

Kivuli cha mauti cha Biggie baada ya kumvaa Tupac kilimsahaulisha mambo mengi sana. Baadhi ya mambo hayo ni kama ifuatavyo :

1. Tupac alijisahau kama alikuwa nje kwa dhamana chini ya uangalizi maalumu kwa sharti kwamba hakutakiwa kufanya kosa lolote lile na kama angefanya kosa lolote basi dhamana yake ingefutwa na yeye kurudishwa ndani…

Kwanini ninasema hivyo?
Masaa machache kabla Tupac hajapigwa risasi, alifanya tukio ambalo watu wengi walimshangaa lakini mimi simshangai kwa sababu najua hakuwa yeye. Ilikuwa ni nguvu ya roho ya mauti aliyo ibeba kupitia tendo la zinaa na mke wa Biggie.

Tupac akiwa katika ukumbi wa MGM ambako kulikuwa na pambano la ngumi kati ya Mike Tyson na Bruce Seldon alienda kumvaa na kumshambulia kwa ngumi na mateke mtu mmoja aliye julikana kwa jina la Orlando Anderson.

Wakati tukio hilo likifanyika kamera za ukumbi huo zilikuwa zikirekodi na kuonyesha tukio zima. Lilikuwa ni kosa kubwa sana hasa ikizingatiwa kuwa Tupac alimshambulia jamaa huyo huku akisaidiwa na wapambe wake. Jamaa huyo angeweza hata kupoteza uhai wake. Ina maana Tupac hakujua kwamba kufanya jambo lile kungemletea matatizo ? Tupac kama Tupac alikuwa ni brother mwenye hekima na busara nyingi sana. Aliefanya tukio hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac ambayo ilikuwa inamuendesha kama rimoti kontro wakati huo.

Tazama tukio la Tupac akimshambulia Orlando Anderson:

2. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu maarufu na anae fuatiliwa na watu wengi. Uwepo wake katika eneo lolote lile ulimaanisha kuwa waandishi wa habari na mapaparazzi lazima watakuwa wanamfuatilia ili waweze kuandika habari zake kwa sababu alikuwa ni mtu anaependwa sana na watu. Kwa hiyo kwa vyovyote vile katika sehemu yoyote ile atakayo kuwepo , Camera zote zitakuwa zinaelekezwa kwake mara kwa mara. Kwa kulijua hili na kwa kujua kwamba alikuwa nje kwa dhamana kwa sharti la kutokufanya kosa lolote la jinai isinge tarajiwa Tupac aende kumshambulia Orlando Anderson kwa sababu angeonekana na angekuwa matatani lakini aliweza kufanya jambo hilo kwa nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Hakuwa yeye isipokuwa roho hiyo. Ni kama alikuwa haioni kesho yake.

3. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu mwenye hekima na busara nyingi sana na kwamba jamii ili mchukulia kama mtu mwenye hekima na busara nyingi na isinge mtarajia kufanya mambo ambayo hayaendani na heshima aliyo jijengea kwenye jamii. Sababu iliyo mfanya Tupac kwenda kumshambulia Oralndo Anderson ni sababu ya kitoto sana. Ni hivi, Orlando alikuwa memba wa genge la Kihuni lijulikano kama " The Blood " .sect ya Piru. Mwanzoni mwa mwaka huo wa 96, Orlando huyo alimrob cheni mmoja kati ya memba kutoka kwenye kambi ya Tupac " Death Row Squad ". Siku hiyo wakiwa wameenda kutazama pambano la Tyson, memba huyo wa kambi ya Tupac akamuona Orlano. Sasa memba huyo alipoenda alipokaa Tupac akamwambia katika maongezi ya kawaida tu kwamba aisee Yule jamaa aliye niporaga cheni nimemuona pale. Tupac akasimama kwa shari na kuanza kuelekea mahali alipo Orlando ili kumshambulia na wakati anafanya hayo wapambe wake nao waka mfuata na alipo anza kumshambulia wapambe wake nao wakaungana nae katika kumshambulia Orlando. Gharama ya cheni yenyewe ilikuwa ni kiduchu sana ikilinganishwa na utajiri aliokuwa nao Tupac. Swali la kujiuliza, hivi kweli Tupac kwa hadhi aliyo kuwa nayo unadhani kweli alistahili kufanya kitu kama hicho ? Kwa hadhi yake kwanini asinge ongea na watu wa usalama ili Orlando akamatwe na sheria ichukue mkondo wake ? ( UTASEMA THAT WOULD AMOUNT TO SNITCHING.. THEN WHY DONT DELEGATE THE TASK TO HIS SECURITY GUARDS ?) Ina maana hakujua kwamba kesho yake angehojiwa na vyombo vya habari angeongea kitu gani ? kwamba nilienda kumshambulia Orlando kwa sababu alipora cheni ya memba wa Death Row..!!! kweli ? Inakuingia akilini hiyo ?

Tupac alikuwa na hadhi kubwa sana. Yani ni sawa na sasa hivi msanii mkubwa kama Diamond iwe kwamba Mbosso aliporwa simu ya tochi na Chid Benz at Ilala Kota sometime in January halafu halafu sometime in September Diamond na Mbosso wakiwa uwanja wa taifa wana angalia mpira wa Simba na Yanga, Mbosso amwambie Diamond " aisee nimemuona Chid Benz uwanjani" halafu Diamond atoke mbio mbio na kwenda kumshambulia Chid Benz.. Unaona ilivyo ngumu ? Ikumbukwe nyota ya Tupac ni Mpacha ( Gemini ). Nyota ya mapacha ni nyota yenye nguvu kubwa sana. Ni nyota ya kiungu. Watu wa nyota ya mapacha wana sifa moja ya pamoja. Nayo ni huwa wapo “pride “ sana. Ni wajivuni sana. Kwa hadhi aliyokuwa nayoTupac, nyota yake na utajiri aliokuwa nao Tupac, isingekuwa rahisi kwake kwenda kumshambulia kijana aliye mpora cheni memba wa kwenye kambi yake tena miezi mingi iliyo pita. watu wa nyota ya mapacha ni watu wenye nyodo sana. Halafu tabia zao wote zinafanana. Mfano wa watu wa nyota ya Mapacha ni TID na LADY JAY DEE, Kanye West, Ney wa Mitego na Vanessa Mdee. Aliefanya jambo hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac. Ndio iliyokuwa inatenda kazi. Hakuwa yeye kabisa.

4. Tupac alijisahau kwamba ana walinzi ambao anawalipa pesa nyingi ili kumlinda. Katika hali ya kawaida, badala ya yeye mwenyewe kwenda kumshambulia Orlando ,.angeiacha kazi hiyo kwa walinzi wake, lakini hakuweza kufanya hivyo kwa sababu roho ya mauti ilikuwa tayari imeshamuingia na hivyo kumsahaulisha .

5. Tupac alijisahau kwamba ana mamilioni ya mashabiki ambao ni wagonjwa wa Sickle Cell. Katika wimbo wa ‘ Hit Em Up’ Tupac anasikika akimkejeli Prodigy kwamba ana maradhi ya Sickle Cell. Unataka kuniambia Tupac alikuwa hajui kwamba kwa kumkejeli mgonjwa wa sickle cell, angeweza kupoteza mamilioni ya mashabiki zake ambao kwanza ni wagonjwa wa sickle cell au pili wana watoto, ndugu, jamaa na watu wa karibu wenye kusumbuliwa na maradhi yao ? Yani ni sawa na msanii mkubwa hapa Tanzania agombane na msanii mwenzake ambae ni mgonjwa wa kisukari halafu msanii huyo atoe wimbo ambao ndani yake una mashairi yanasema “ NDIO MAANA UNA LIKISUKARI!!!”. Katika akili yake ya kawaida Tupac asingeweza kuzungumza jambo zito kama hilo. Ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa ndio iliyo msahaulisha na kumfanya azungumze maneno mazito kama hayo.

6. Tupac alijisahau kwa kujitapa hadharani kutembea na mke wa mtu: Unamtongoza mke wa mtu, unatembea nae, halafu unaenda kujitapa hadharani kwamba umetembea na mke wa mtu!!! Inakuingia akilini hiyo? Unadhani mwanaume mwenye hekima na busara anaweza kufanya kitu kama hicho ? Jibu ni hapana. Tupac alijishushia heshima sana kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu. Hata misahafu inasema ‘ NDOA NA IHESHIMIWE NA KILA MTU’. Hata watu wanao fanya jambo hilo huwa wanafanya kwa siri sana kwa ajili ya kuogopa kisasi cha mmiliki halali pamoja na kutengwa na jamii. Kitendo cha Tupac kutamka kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu kilimshushia heshima sana.

Since when is it cool kwa mwanaume kutembea na mke wa mtu kisha kujitapa hadharani ?

Pili : Mambo mengi anayo yafanya mtu aliebeba kivuli cha mauti ya mwingine kupitia zinaa yanakuwa yanakufa kufa na pia mtu huyo anakuwa anavutiwa sana na mambo yenye vinasaba vya roho ya mauti.

Kwa mfano kwa Tupac. Mara baada ya kutembea na mke wa Biggie na kubeba kivuli cha mauti cha Biggie, roho ya mauti ilianza kutamalaki katika maisha yake na mambo yake kwa ujumla na mwisho wa siku mwili wake pia ukafuata.

Mifano :

1. Kabla hajatoa wimbo wa Hit Em Up alirekodi wimbo unaitwa “ HIT EM UP ( OG)”. Lakini baadae akaona wimbo huo haujabeba vinasaba vya kutosha vya roho ya mauti. Hivyo akaachana nao na kurekodi wimbo wa pili wa Hit Em Up ambao ndio huu unao ujua wewe. Kwa hiyo tayari wimbo wa kwanza huo ulikufa ( Utafute wimbo huo uusikilize ). Kumbuka alie imba wimbo huo hakuwa Tupac mwenyewe. Ulikuwa ni msukumo wa roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Yani ni hiyo roho ya mauti ndio ilimvaa Tupac na kumuongoza ama kumuelekeza maneno ya kuimba na kutamka. Ndio maana alipo rekodi wimbo wa kwanza, roho ya mauti iliyokuwa imemvaa Tupac iliusikiliza wimbo huo na kushindwa kujiona yenyewe katika wimbo huo. Yani wimbo huo ulikuwa hauakisi taswira halisi ya roho ya mauti. Ndio maana ili msukuma kuutupa wimbo huo na kurekodi wimbo mwinginge ambao ndio huo unao ujua.

Wimbo wa Hit Em Up ( OG )

2. Mtayarishaji wa muziki alie rekodi wimbo wa Hit Em Up mara tu baada ya kurekodi wimbo huo, aliapa kwa miungu yake yote kwamba katika maisha yake yote hatokuja tena kurekodi wimbo wenye maudhui kama ya wimbo huo. ( Uamuzi wa Mtayarishaji huyu una vinasaba vya roho ya mauti )

3. Wakati wanarekodi video ya wimbo wa Hit Em Up, Tupac alimfukuza kazi hapo hapo mmoja kati ya wasaidizi wake. Msaidizi wake huyo wa kike kosa lake ni kwamba alikuwa ana pokea na kujibu simu zilizokuwa zinapigwa kwenye simu ya Tupac bila ridhaa yake. Ni kwamba wakati Tupac yupo busy ana rekodi video dada huyo kama msaidizi alibaki na simu ya Tupac. Sasa kuna watu wakawa wanapiga simu kuwasiliana na Tupac. Dada huyo akawa anazipokea na kuwajibu bila kumuhusisha Tupac. Tupac alipogundua hilo alikasirika sana na aka “ ua “ mkataba wa kazi wa dada huyo hapo hapo. Alihisi labda dada huyo anaweza kumuuza kwa adui zake ( Tukio hili pia limebeba vinasaba vya roho ya mauti )

4. Wakati wanarekodi video ya wimbo huo, kuna mtu mmoja alipayuka na kumwambia Tupac “ Utauliwa wewe !!!”. Tupac alikasirika lakini baadae walinzi wake waka muhakikishia kwamba hakuna kibaya kitakacho mtokea.

5. Wakati wanarekodi video ya wimbo Hit Em Up kuna ugomvi ulitokea ambao ulimuhusisha memba wa kambi ya Tupac aitwae Muta. Tupac alienda kuamua ugomvi huo ( Ugomvi/ngumi una vinasaba vya roho ya mauti . anaweza kufa anaepigana au anae amua )

6. Haya turudi kwenye wimbo wenyewe. Neno mauti limetajwa zaidi ya mara kumi na tano. Ukijumlisha na maneno yaliyo beba vinasaba vya mauti ambayo yametumika kwenye wimbo huo jumla ni zaidi ya ishirini.

7. THIS IS MY SPIRITUAL OPINION : ASILIMIA TISINI NA TISA YA MANENO ALIYO YAIMBA TUPAC KWENYE WIMBO WA HIT EM UP HAJAYAIMBA YEYE KAMA YEYE. MSTARI ALIO UIMBA TUPAC YEYE KAMA YEYE NI MSTARI MMOJA TU AU MIWILI HIVI. ASILIMIA 99 IMEIMBWA NA ROHO YA MAUTI ILIYO KUWA IMEMVAA TUPAC. YANI WAKATI TUPAC ANAIMBA WIMBO HUO ALIKUWA AMEPANDWA NA PEPO LA MAUTI. HILO PEPO LA MAUTI NDIO LILIKUWA LINAIMBA NA WALA SIO TUPAC.

Ndio maana hata Tupac mwenyewe anasema HAJUI KWA NINI ANAIMBA WIMBO HUO.

Anasema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “. Akimaanisha yaani sijui hata kwanini nipo kwenye wimbo huu/ au kwanini ninaimba wimbo huu.

Wakati Tupac anatamka maneno haya roho ya mauti ilikuwa imemuachia kidogo (Yani ni kama mtu aliepagawa na mapepo wachafu. Anatukana halafu baada ya muda mapepo yanamuachia anakuwa huru kIsha baada ya muda tena yanamrudia . Ndivyo ilivyo tokea kwa Tupac ).

Na kwa maoni yangu mimi, jina la wimbo wa Hit em Up linatakliwa liwe “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “ kwa sababu hiyo ndio sehemu ambayo Tupac halisi aliimba na ndio inabeba maudhui ya ukweli ya wimbo kwamba hajui alicho kuwa anakiimba wala hajui kwanini alikuwa anaimba wimbo huo. Hakuwa yeye. Ilikuwa ni pepo la mauti limemvaa linamtumia kufikisha ujumbe.

Sehemu nyingine kwenye wimbo wa Hit Em Up ambao ameimba Tupac mwenyewe ni hapo hapo baada ya kusema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “

Anasema “ NYIE WATU WALA SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WASHUGHULIKE NA NYINYI “

" Y'all niggas aint even on my level. I'ma let my little homies ride on you bitch -made ass Bad Boy bitches, feel it. "

Huyo alie tamka maneno hayo alikuwa Tupac mwenyewe wala haikuwa roho ya mauti. Alicho kitamka hapo kina akisi sifa na tabia halisi za watu wa nyota ya Mapacha ( Gemini ) ( Tupac alikuwa na nyota ya Mapacha ( Gemini )

Watu wana nyota ya Mapacha dunia nzima wana sifa moja ya pamoja nayo ni “ PRIDE” (UJIVUNI ) Siku zote huwa wana amini wao wana akili nyingi kuliko mtu yoyote Yule. Wanajua kila kitu kuliko mtu yoyote Yule. Wao ni bora kuliko mtu yoyote Yule. Hujiona kama miungu kwa sababu nyota ya Mapacha ni nyota ya kiungu . ( Ndio maana Tupac na Biggie hawakuweza kuiva chungu kimoja kwa sababu wote ni MAPACHA. Hata Biggie nyota yake ni Mapacha pia )

Sasa Tupac anavyo sema “ NYIE SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WADILI NA NYINYI” hapo alikuwa yeye mwenyewe na sio ile roho ya mauti.

Kama Tupac asinge tembea na mke wa Biggie na kuvaa kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac asinge toa wimbo wa Hit Em Up na badala yake ange wapa kazi vijana wake watoe wimbo wa kuwatukana Biggie na kambi yake na vijana wa Biggie wasinge tumia maneno makali kama ya Tupac.

Roho wa mauti katika wimbo wa Hit Em Up wa Tupac ametoa ishara nyingi sana kupitia wimbo huo. Kama Tupac angekuwa na washauri wa kiroho wenye macho ya kuona wangeweza kumpa msaada wa kiroho kwa sababu mauti hiyo haikuwa mauti yake.

Kwa mfano mwanzoni kabisa mwa wimbo huo Tupac anasema “ SINA MARAFIKI NDIO MAANA NILILALA NA MKE WAKO “. ( Ukisikiliza vizuri haya maneno yanasikika kwa kupandana. Yani yote yanasikika kwa pamoja. Sauti moja inasema " sina marafiki" na wakati huo huo sauti nyingine inasema " ndio maana nime mtomba mke wako " Hii tafsiri yake katika ulimwengu wa kiroho , Tupac anasema kwamba “ NIMEKUFA NA SABABU ILIYO NIFANYA NIFE NI KULALA NA MKE WAKO “ au “ AU NIMEKUFA KW A SABABU NILILALA NA MKE WAKO”

Katika ulimwengu wa kiroho “ KULALA NA MKE WA MTU “ ni suala linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana katika Taurati imeandikwa “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo kwa maana ana iangamiza nafsi yake mwenyewe “ Kitu kilicho angamia ni kitu kilicho kufa. Enzi za Taurati wazinzi walikuwa wanapigwa mawe mpaka wanakufa ili kuitakasa nchi. Enzi za mababu zetu vijana walikuwa wakibalehe baba zao wanawaambia “ Mwanangu ukitaka kuishi maisha mafupi hapa duniani basi wewe tembea na mke wa mtu.

Anaposema sina marafiki tafsiri ni kwamba anasema “ NIMEKUFA” ama “ MIMI NI MAITI” au MIMI NI MAREHEMU”. Ni maiti tu ndio hanaga rafiki.

“ Sina MarafikI’ sio Tupac ila ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa kwa sababu roho ya mauti ndio haina rafiki wala marafiki. Tupac kama Tupac alikuwa na marafiki wengi sana. Nashangaa kwanini rafiki zake hawakumuuliza mbona unasema huna marafiki wakati sisi tupo.

Kwa hiyo Tupac anavyosema “ SINA MARAFIKI “ tafsiri yake ya kiroho ni anasema kwamba “ NIMEKUFA!” au “ MIMI NI MAITI “ au “ MIMI NI MAREHEMU “ kwa sababu maiti,au mtu aliye kufa ndio hanaga marafiki.

Pia ishara nyingine ni pale Tupac anapomwambia Biggie “ Nimetembea na mke wako “. Katika ulimwengu wa kiroho hayo ni maneno ambayo tafsiri yake ni kwamba “ NIMEKUFA” ama “ NIME IANGAMIZA NAFSI YANGU” ama NAFSI YANGU IME ANGAMIA. Katika ulimwengu wa kiroho “ Kutembea na mke wa mtu “ ni jambo linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana Taurati inasema “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo na ana iangamiza nafsi yake mwenyewe”

Sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie kwamba “ UNAZUNGUMZIA KUHUSU KUWA NA PESA LAKINI KWANGU NAONA KIROJA “ " Talkin about u gettin money but its funny to me "

Huyu anaezungumza maneno haya sio Tupac. Ni roho mauti aliye kuwa amemvaa Tupac. Roho huyu anamwambia Biggie kwamba wewe unajisifu kwenye wimbo wako kwamba una pesa lakini kwangu mimi naona ni viroja tu kwa sababu najua pesa zako hutozifurahia na utakufa muda si mrefu.

Kwa sababu kiukweli ni kwamba Biggie alikuwa na hela nyingi tu tena sana, na Tupac alikuwa analijua hilo. Kwa hiyo Biggie kujitapa kwenye nyimbo zake kwamba ana pesa nyingi lilikuwa ni jambo la kawaida sana. Tupac yeye kama yeye asingeweza kumwambia Biggie kwamba naona viroja wewe kusema unapesa.

Kama Biggie angekuwa na washauri wazuri wa kiroho wangeweza kuona ujumbe kutoka kuzimu uliokuwa umejifcha nyuma ya hayo maneno.

Angeweza kujitafakari labda kwa kusema “ Hii sauti japo inatoka kwa adui yangu lakini inaweza kuwa sauti ya Mungu. Inawezekana Mungu ananiambia pesa zangu na mali zangu sio kitu chochote. Kwa hiyo ngoja nimrudie Mungu “

Pia kuna sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie “ Ume kopi staili yangu “. Wataalamu wa muziki wanasema Staili ya Biggie na Tupac hazikuwahi kufanana hata mara moja. Ni kivuli cha mauti cha Biggie ndio kilikuwa kinatamka hapo na sio Tupac. Tupac alikuwa amevaa kivuli cha mauti cha Biggie. Kivuli cha mauti kilicho beba sehemu ya nafsi ya Biggie. Kivuli cha mauti chenye vinasaba bya nafsi ya Biggie. Kwa lugha nyingine kulikuwa na vinasaba vya nafsi ya Biggie kwenye nafsi ya Tupac. Baada ya kubeba kivuli hicho, Tupac alikuwa akimsikiliza Biggie anakuwa anaona kama anajisikiliza mwenyewe kwa sababu nafsi ya Biggie ilikuwa ndani yake.

Ishara zipo nyingi muda wa kuelezea kila ishara hautoshi.

8. Roho ya mauti ikimvaa mtu inamfanya mtu huyo kuvutiwa na habari za mauti.Muda mwingi anakuwa anazungumzia habari za mauti. Lakini pia inakuwa inamkutanisha na watu waliobeba roho za mauti au watu waliobeba vinasaba vya roho za mauti kwa sababu mauti huvutiwa na mauti nyenzake. Mfano huyo kijana ambae Tupac alimshambulia siku ya pambano la Mike TYSON yeye pia alikuwa muuaji. Alikuwa anatuhumiwa kuuwa watu wawili na wakati Tupac anamshambulia kijana huyo, alikuwa nje kwa dhamana kwa kesi ya mauaji ( Unaona huo mvutano ulivyo kuwa na nguvu )

Kama hiyo haitoshi kijana huyo Oralndo Anderson alikuwa anafanana na Tupac kwa sura kwa kiwango Fulani. Usingekataa kama ungeambiwa watu hao walikuwa wana uhusiano wa damu. ( Tupac aliuliwa na mtu anae fanana nae ) Ni kijana huyu huyu ndio anadaiwa kumuua Tupac siku hiyo hiyo. Kwamba usiku huo kijana huyo alimvizia Tupac na kumpiga risasi Tupac kama kisasi cha kushambuliwa na Tupac ukumbini. Kijana huyo pia alikuwa ni memba wa kundi la wahuni ambao wengi wao walikuwa wauaji.

Kama hiyo haitoshi, miaka miwili baadae yani mwaka 1998, kijana huyo aliuwawa katika majibizano ya risasi na memba wa genge pinzani la wahuni. KIFO CHA KIJANA HUYU KILIKUWA CHA AJABU SANA. ALIULIWA NA MTU ALIYE MUUA!!! NI HVI WALIKUWA WANAJIBIZANA RISASI. MTU HUYO AKAMPIGA KIJANA HUYO RISASI NA KIJANA HUYO NA YEYE AKAMPIGA MTU HUYO RISASI NA WOTE WAKAFA. ( ORLANDO ANDERSON WAS KILLED BY A GUY THAT HE KILLED" )

View attachment 1208307 View attachment 1208308
1568554985145.png

Tupac and Orlando Anderson.

9. Miezi kadhaa baada ya kutoa wimbo wa Hit Em Up, Tupac mwenyewe aliuwawa. Miezi kadhaa baada ya kifo cha Tupac memba mmoja kutoka kambi ya Tupac aliejulikana kama Khadafi na yeye aliuwawa. Miezi kadhaa baadae tena Biggie na yeye akauwa. Kundi la Tupac likafa rasmi. Kambi ya Tupac nayo ikagawanyika na kutawanyika . Memba walio baki hai kutoka kwenye kambi ya Tupac nao vipaji vyao vya muziki vikafa. Hussein Fatal alijaribu kufanya muziki lakini kila mradi alio jaribu kuufanya ulikufa. Na yeye mwenyewe alikufa ingawa alikufa muda mrefu baadae. Alikufa mwaka 2015 kwa ajali ya gari. Wimbo huo ulikuwa ni kama wimbo wa laana uliobeba roho ya mauti.

Memba mmoja kutoka kwenye kambi ya Tupac, Mwenyezi Mungu kamjaalia Neema. Memba huyo aitwae ambae picha yake inaonekana hapo juu akiwa amevaa kanzu, alisilimu na kumrudia Mwenyezi Mungu, na sasa amehamishia makazi yake nchini Saudi Arabia akiishi maisha swafi ya ibada uku akiwa amewekeza kwenye biashara ya kahawa. Amekuwa swala tano na anaishi maisha ya unyoofu.

Ni kama vile malaika wa Nuru wa Mwenyezi Mungu walimfunulia nuru hii na kumwambia kwamba wewe lazima umrudie Mungu wako ili uwe salama.

SEHEMU MUHIMU KULIKO ZOTE KATIKA WIMBO WA HIT EM UP NI PALE TUPAC ANAPOSEMA " IT WAS ALL ABOUT BIGGIE ". This means it is all about the spirit " Biggie's death". Biggie angekuwa na watu wenye macho ya kiroho wangeweza kumfanyia maombi maalumu kwa ajili ya kumuepusha na hicho kivuli cha mauti kilicho kuwa kimemvaa.

KIFO CHA TUPAC SHAKUR NA KIFO CHA SAMSON WA KWENYE BIBLE.

Kuna baadhi ya vitu vinafanana sana kuhusu kifo cha Tupac na kifo cha Samson wa kwenye Bible.

1. Both Tupac and Samson were powerful. Samson was physically powerful and Tupac alikuwa na nguvu ya umaarufu.

2. Both were betrayed by women from enemie's camps. Samson was betrayed by Delila and Tupac was betrayed by Faith Evans. How was Tupac betrayed by Faith Evans ? It was a spiritual betrayal. Whilst Samson's betrayal was against his pgysical power, Tupac's betrayal was against his " spiritual powers" . His " real spirit", dead at the moment he had carnal knowledge of Faith Evans making it easy for him to be attacked by an evil spirit.

3. Both killed many people at their death than during their lives. JUDGES 16:30

Judges 16:30 : " So the dead that he slew at his death were more than they which he slew in his life". Huyo ni Samson, siku ya kufa kwake, alikufa na watu wengi sana kuliko idadi ya watu alio waua wakati wa uhai wake.

TUPAC JE ? Watu alio " WAUA" kwa maneno kupitia nyimbo zake baada ya " kufa" kwake ( KUZINI NA FAITH EVANS ) walikuwa ni wengi kuliko watu alio " waua " ( kwa maneno kupitia nyimbo zake ) kabla haja zini na Faith Evans.

TUPAC ANGEKUWA HAI.

1. Asinge kaa kimya muda wote huo.
2, Asinge pigana na Orlando Anderson siku aliyo pigwa risasi, kwa sababu alikuwa anajua ata ondoka siku hiyo kwenda kujificha Cuba.

SOMO / UJUMBE WANGU : USMTAMANI MKE WA JIRANI YAKO.. kutoka 20:17

There are two rules to live by:

1. Rule numbre uno : You shall not have carnal knowledge of a married woman.

2. Rule nu,ber 2: If You think u have to, then refer to rule number one.

N.B: THIS IS NOT A FACT, IT IS MY OPINION.
 
Memba mmoja kutoka kwenye kambi ya Tupac, Mwenyezi Mungu kamjaalia Neema. Memba huyo aitwae ambae picha yake inaonekana hapo juu akiwa amevaa kanzu, alisilimu na kumrudia Mwenyezi Mungu, na sasa amehamishia makazi yake nchini Saudi Arabia akiishi maisha swafi ya ibada uku akiwa amewekeza kwenye biashara ya kahawa. Amekuwa swala tano na anaishi maisha ya unyoofu.

Hapo unazungumzia "MUTAH (Member wa OUTLAW ambae alitambulika km Napoleon) BEALE"

OUTLAW ni kundi la TUPAC SHAKUR
 
September 7 Tupac anashambuliwa!
September 8 SUGE KNIGHT anatoka Hospital!
Anagoma kuongea mpk September 11!
Anaulizwa km anaweza kusema kitu kuhusu kushambuliwa Tupac anajibu! I heard something, but saw nothing!"
 
View attachment 1208329


FIRST OF ALL IS TUPAC DEAD OR ALIVE ?



My SPIRITUAL OPINION: Kwa sauti ya KEJUAN Muchita ( Havoc ) wa Mobb Deep. Yes Tupac is Dead without a doubt!!! Mwisho wa kunukuu.



Naendelea : Looking at him from a point of spiritual observation, he cannot be seen among the living.



For those friends of mine who are the die hard fan and devoted disciples of a belief that Tupac is still alive, just hiding somewhere in Cuba, I am so sorry to tell you dat ur belief is unfounded. He died a long long time ago.





If u really love him, then the best thing you can do to him is to ' move on ' and ' let him go' so that he can Rest In Peace...








Who Killed him ?




Is it the Illuminati ?, Puffy?, Biggie ? or Suge ?



I have very little to say about that cause am sure as hell that u have read a lot of conspiracy theories about who killed Tupac, blah blah blah!!!



My opinion as to who killed Tupac is founded on spiritual aspect. And I am telling you that Tupac was killed after being swallowed by the “ Shadow of Death “ of Christopher Wallace alias Biggie Smalls. Unbeknownst to himself ( Tupac ), he even acknowledge what am trying to kick in your mind in his infamous evil song “ Hit Em Up “. Follow my lead to really know what I am trying to tell you.



But before I proceed, the bottom line here is that “ TUPAC UNTIMELY DEATH CAME AS AN AFTERMATH OF HIM BEING SWALLOWED BY THE SHADOW OF DEATH OF BIGGIE SMALLS “





HOW WAS IT POSSIBLE ? How was it possible for Tupac to be swallowed by the shadow of death of Biggie Smalls ? TUPAC ALIMEZWA VIPI NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE ?




Tupac alimezwa na kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo lifanya na FEW ( Faith Evans Wallace ) ambae alikuwa mke wa Biggie.



HOW ?




katika ulimwengu wa rohoni mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika agano rasmi la ndoa, nafsi zao huunganishwa na kuwa kitu kimoja. Hii inawahusu hata wale wanao fanya tendo la ndoa bila agano rasmi ( wazinzi & waasherati ). Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke unakuwa umekubaliana kuunganisha nafsi yako na nafsi yake. Nafsi yako na yake zinaungana na kukamatana na kuwa kitu kimoja. Kama mtu huyo alikuwa na nuksi/mikosi/laana basi laana hizo zitakufuata na wewe. Nature ya nafsi ya mwanadamu ni " Electro -Magnetic " . Nafsi hizi zinapoingiliana kupitia " majumba" ( miili) yao, hukamatana na kuwa kitu kimoja.

Unapoenda kufanya tendo la ndoa na mke wa mtu basi kuwa na uhakika unaenda kubeba nuksi, mikosi na laana zote za mume/mwanaume wa mwanamke huyo. Ndio maana wayahudi enzi za agano la kale, wazinzi walikuwa wanapigwa mawe hadi kufa, kwa sababu ilichukuliwa kwamba ubaya na uovu wa tendo la zinaa si tu ulikuwa unawanajisi wahusika bali pia ulikuwa una inajisi nchi yote. uzinzi ilikuwa ni kosa kubwa sana sawa sawa na uhaini katika nyakati za leo.

Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke, tafsiri yake katika ulimwengu wa rohoni ni kwamba, unakuwa umeridhia na kukubali kuingia katika agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi ya mwanamke ambae unafanya nae tendo la hilo la zinaa.

Haijalishi unajua kwamba unaingia kwenye agano au haujui ( Hata katika ulimwengu wa rohoni, kanuni ya Ignorantia juris non excusat " ignorance of the law has no excuse" ina operate. )

Mfano wa agano au mkataba huu ni sawa na mkataba unao ingia kila siku unapo enda kupanda daladala., Unapo kuwa umepanda dala dala actually unakuwa umeingia katika contract kati yako wewe na konda hata kama hujui kwamba umeingia kwenye mkataba. Mwisho wa siku utatakiwa kulipa consideration " malipo ya mkataba" ambayo ni nauli yako.

Vivyo hivyo unapo fanya tendo la zinaa na mwanamke basi jua umeingia kwenye agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi yake na mwisho wa siku utatakiwa kulipa gharama za agano hilo ambazo ni pamoja na nuksi, mikosi, mabalaa, laana za ukoo, laana za familia nakadhalika.

Mind you, madhara unayo weza kuyapata sio lazima yawe spiritual katika namna unayo weza kuielewa wewe. Yanaweza kuwa physical but spiritual. Kwa mfano ukifanya zinaa na mwanamke mwenye virusi vya ukimwi maana yake ni kwamba na wewe utapata ukimwi. So mateso yake ya maradhi ya ukimwi yatahamia kwako pia.

Hata kwenye Bible imeandikwa kwenye kitabu cha Mithali 6:32 " Mwanaume Mzinzi hana akili hata kidogo, kwa maana ana i angamiza nafsi yake mwenyewe". Ana iangamiza vipi ? Ana iangamiza kwa ku iunganisha na laana, nuksi, mikosi, maagano mabaya ya kisheitwani.


Back to my point : Tupac aliva kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo fanya na mke wa Biggie.


KWANINI NINASEMA TUPAC ALIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE WAKATI BIGGIE ALIKUWA BADO YUPO HAI ?

Ofcourse whoever ask this question, has a concern but as i s aid earlier, this is just my opinion. So based on my personal opinion, at the time when Tupac was messing with FEW, Biggie had already dead . His soul was already dead. Only it was waiting for the right reasons and time to depart from his body. Ni hivi katika ulimwengu wa rohoni uhai na mauti vina sifa moja inayo fanana nayo ni kuzaliwa. Mauti huzaliwa kama uhai unavyo zaliwa. Kama ilivyo kwa dalili za 'kuzaliwa' kwa mtu kuonekana miezi tisa kabla, vivyo hivyo dalili za ' kufa' kwa mtu huweza kuonekana miezi tisa kabla. Wakati mwingine huweza kuonekana mwaka mmoja, miwili au mitatu kabla. ( Wabudha wame advance sana kwenye maarifa ya kusoma kifo cha mtu miezi kadhaa kabla hajazaliwa )

Wakati mwingine inaweza kuwa ngumu kutofautisha kati ya dalili za kuzaliwa kwa " uhai" au " mauti". Kwa mfano mwanamke akibeba mimba tunasema amebeba " uhai" na tunatarajia atajifungua mtoto baada ya miezi tisa. What if baada ya miezi tisa akijifungua mtoto alie kufa? Hapa ndipo inaposemwa kuwa wakati mwingine mauti na uhai vinaweza kupita njia moja.

TURUDI KWA BIGGIE : Biggie alianza kuonyesha dalili za kifo a long time ago kabla hata Tupac hajatembea na mke wake. Dalili zingine alianza kuzionyesha baada ya Tupac kufa. Nitataja dalili mbili tu, moja alio ionyesha kabla ya Tupac kufa na nyingine ali ionyesha baada ya Tupac kufa but zipo nyingi sana.


DALILI YA KWANZA : MTU ANAE KARIBIA KUFA HUWA NA HEKIMA NA BUSARA KULIKO KAWAIDA/ HUWEZA KUBADILIKA NA KUWA MCHA MUNGU SANA HATA KAMA JAMII ILIKUWA INAMCHUKULIA MUOVU WA KIWANGO GANI.

Mtaani kwenu hamjawahi kuwa na mtu ambae alikuwa ana julikana kwa kuwa mtu mbaya. Lets say jambazi, mchawi, muuaji,mlevi, malaya, msenge, dhulumati, haudhurii misiba, etc whichever come first. Ghafla mnashangaa jamaa anabadilika anakuwa mtu wa ibada sana. Anaanza kujichanga na jamii na kufanya mambo mazuri tofauti na alivyo zoeleka. Ghafla anaanza kuwa mtu wa ibada, mcha Mungu, kushirikiana na jamii, etc halafu baada ya muda fulani anakufa na kuzikwa vizuri sana. Kama haujawahi kushuhudia hili probably u was born in 1997 but dont worry utakuja kushuhudia.


BIGGIE ALIANZA KUWA NA HEKIMA AMBAYO HAIENDANI NA UMRI WAKE, UTAJIRI WAKE NA STATUS YAKE KATIKA JAMII.

Mfano wa hiki ni response ya Biggie kuhusu wimbo wa Hit Em Up. Alipo ombwa kutoa maoni yake kuhusu verse ya Tupac " U claim to be a player but i fucked ur wife " haya ndio majibu aliyo yatoa Biggie.


" Siamini na sina uhakika kama kweli Tupac alifanya sex na FAYE. Lakini hata kama kweli alifanya mapenzi na Faye ilitakiwa ibaki kuwa siri yake na Faye. Kwanini amdhalilishe dada wa watu kiasi hicho? Wanawake wanatakiwa kuheshimiwa na kusitiriwa, U dont have sex with a woman and go in the public and call her bitch. That is so so disrepectful. I think Pac need to apologize to Faye. I can fell how bad Faye feel about the song"


Can u imagine kiwango cha hekima alicho kionyesha Biggie? Yani mtu amtombe mke wako, halafu akutukane hadharani kwamba kamtomba mke wako halafu uulizwe kutoa maoni yako ujibu kama alivyo jibu Biggie? Hell NO!!! Kumbuka Biggie was a celebrity. Famous., Millionaire and he was only 24 approaching 25.. He was not even in his 40.. ( Wanasaikolojia wanasema mwanaume mwenye umri wa kuanzia at least miaka 45 na kuendelea anaweza kusamehe dhambi ya uzinzi but not a guy in his early 30s let alone a g uy in his early 20s.. Ndio maana uncle wa miaka 50 akikukuta una mgonga mke wake atakukanya uachane na mke wake na ataendelea kuwa na mke wake but not a guy in his 30s or 20s. He will without doubt kill you and feed ur corpse with the dogs. Tazama takwimu zote za mauaji ya kimapenzi yanayo tokana na wivu wa kimapenzi yafanywayo na wanaume. Wengi ni wenye umri wa miaka 20s and 30s.

SO UMEONA KIWANGO CHA HEKIMA ALICHO KUWA NACHO BIGGIE ?


Dalili No. 2 : HII ALI IONYESHA BAADA YA TUPAC KUWA AMEUWAWA.

Unahitaji kuwa na uwezo mkubwa wa ama macho ya rohoni au uwezo wa kusoma sura ya mtu. Angalia interview hii ya Biggie aliyo ifanya sometimes in March 1997. Soma sura yake. U can see death written in all over his face.




Nime upload video hii ya Biggie for you to see

Okay dalili hizo 2 zinatosha sasa turudi kwa Tupa


MTU AKIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA MWANAUME MWINGINE KUPITIA TENDO LA ZINAA NA MKE WA MWANAUME HUYO HUWA ANA ONYESHA TABIA KADHA WA KADHA. TUPAC ALIONYESHA TABIA KARIBU ZOTE .

Je Tupac alionyesha Tabia zipi baada ya kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie ?



Mara baada ya kufanya tendo la zinaa na mke wa Biggie na hatimae kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac alianza kuonyesha tabia zifuatazo :"





Kwanza : Mtu akibeba kivuli cha mauti huwa kina MSAHAULISHA mambo ya msingi. Anasahu kama jambo analo lifanya ni jambo la hatari kwa uhai wake. Ni hivi majini na malaika wanao tawala roho ya umauti wana wasaidizi wengi sana " Servants of the Spirit of Death". Chini ya utawala wa majini na malaika hao kuna majini wengine wengi sana. Moja kati ya wasaidizi watiifu wa roho ya mauti ni roho ya usahaulifu. Watu wengi wanao tupiwaga majini wa mauti huwa wana sahaulishwa baadhi ya mambo.



Kwa mfano MTU KUJISAHAU WAKATI WA KUVUKA BARABARA. Mtu alietupiwa roho wa mauti wakati anavuka barabarani anajisahau kama anavuka barabara. Anakuja kukumbuka kuwa anavuka barabara tayari gari imeshamfikia na mwisho wa siku mauti yana mkuta.

Mfano mwingine ni kulewa kisha kuingia ndani ya maji kuogelea au kulewa chakari na kuendesha gari kziembe na hatimaye kukutwa na ajali etc.



Kivuli cha mauti cha Biggie baada ya kumvaa Tupac kilimsahaulisha mambo mengi sana. Baadhi ya mambo hayo ni kama ifuatavyo :



1. Tupac alijisahau kama alikuwa nje kwa dhamana chini ya uangalizi maalumu kwa sharti kwamba hakutakiwa kufanya kosa lolote lile na kama angefanya kosa lolote basi dhamana yake ingefutwa na yeye kurudishwa ndani…


Kwanini ninasema hivyo? Masaa machache kabla Tupac hajapigwa risasi, alifanya tukio ambalo watu wengi walimshangaa lakini mimi simshangai kwa sababu najua hakuwa yeye. Ilikuwa ni nguvu ya roho ya mauti aliyo ibeba kupitia tendo la zinaa na mke wa Biggie.

Tupac akiwa katika ukumbi wa MGM ambako kulikuwa na pambano la ngumi kati ya Mike Tyson na Bruce Seldon alienda kumvaa na kumshambulia kwa ngumi na mateke mtu mmoja aliye julikana kwa jina la Orlando Anderson.

Wakati tukio hilo likifanyika kamera za ukumbi huo zilikuwa zikirekodi na kuonyesha tukio zima. Lilikuwa ni kosa kubwa sana hasa ikizingatiwa kuwa Tupac alimshambulia jamaa huyo huku akisaidiwa na wapambe wake. Jamaa huyo angeweza hata kupoteza uhai wake. Ina maana Tupac hakujua kwamba kufanya jambo lile kungemletea matatizo ? Tupac kama Tupac alikuwa ni brother mwenye hekima na busara nyingi sana. Aliefanya tukio hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac ambayo ilikuwa inamuendesha kama rimoti kontro wakati huo.

Tazama tukio la Tupac akimshambulia Orlando Anderson:


2. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu maarufu na anae fuatiliwa na watu wengi. Uwepo wake katika eneo lolote lile ulimaanisha kuwa waandishi wa habari na mapaparazzi lazima watakuwa wanamfuatilia ili waweze kuandika habari zake kwa sababu alikuwa ni mtu anaependwa sana na watu. Kwa hiyo kwa vyovyote vile katika sehemu yoyote ile atakayo kuwepo , Camera zote zitakuwa zinaelekezwa kwake mara kwa mara. Kwa kulijua hili na kwa kujua kwamba alikuwa nje kwa dhamana kwa sharti la kutokufanya kosa lolote la jinai isinge tarajiwa Tupac aende kumshambulia Orlando Anderson kwa sababu angeonekana na angekuwa matatani lakini aliweza kufanya jambo hilo kwa nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Hakuwa yeye isipokuwa roho hiyo. Ni kama alikuwa haioni kesho yake.



3. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu mwenye hekima na busara nyingi sana na kwamba jamii ili mchukulia kama mtu mwenye hekima na busara nyingi na isinge mtarajia kufanya mambo ambayo hayaendani na heshima aliyo jijengea kwenye jamii.
Sababu iliyo mfanya Tupac kwenda kumshambulia Oralndo Anderson ni sababu ya kitoto sana. Ni hivi, Orlando alikuwa memba wa genge la Kihuni lijulikano kama " The Blood " .sect ya Piru. Mwanzoni mwa mwaka huo wa 96, Orlando huyo alimrob cheni mmoja kati ya memba kutoka kwenye kambi ya Tupac " Death Row Squad ". Siku hiyo wakiwa wameenda kutazama pambano la Tyson, memba huyo wa kambi ya Tupac akamuona Orlano. Sasa memba huyo alipoenda alipokaa Tupac akamwambia katika maongezi ya kawaida tu kwamba aisee Yule jamaa aliye niporaga cheni nimemuona pale. Tupac akasimama kwa shari na kuanza kuelekea mahali alipo Orlando ili kumshambulia na wakati anafanya hayo wapambe wake nao waka mfuata na alipo anza kumshambulia wapambe wake nao wakaungana nae katika kumshambulia Orlando. Gharama ya cheni yenyewe ilikuwa ni kiduchu sana ikilinganishwa na utajiri aliokuwa nao Tupac. Swali la kujiuliza, hivi kweli Tupac kwa hadhi aliyo kuwa nayo unadhani kweli alistahili kufanya kitu kama hicho ? Kwa hadhi yake kwanini asinge ongea na watu wa usalama ili Orlando akamatwe na sheria ichukue mkondo wake ? ( UTASEMA THAT WOULD AMOUNT TO SNITCHING.. THEN WHY DONT DELEGATE THE TASK TO HIS SECURITY GUARDS ?) Ina maana hakujua kwamba kesho yake angehojiwa na vyombo vya habari angeongea kitu gani ? kwamba nilienda kumshambulia Orlando kwa sababu alipora cheni ya memba wa Death Row..!!! kweli ? Inakuingia akilini hiyo ?

Tupac alikuwa na hadhi kubwa sana. Yani ni sawa na sasa hivi msanii mkubwa kama Diamond iwe kwamba Mbosso aliporwa simu ya tochi na Chid Benz at Ilala Kota sometime in January halafu halafu sometime in September Diamond na Mbosso wakiwa uwanja wa taifa wana angalia mpira wa Simba na Yanga, Mbosso amwambie Diamond " aisee nimemuona Chid Benz uwanjani" halafu Diamond atoke mbio mbio na kwenda kumshambulia Chid Benz.. Unaona ilivyo ngumu ? Ikumbukwe nyota ya Tupac ni Mpacha ( Gemini ). Nyota ya mapacha ni nyota yenye nguvu kubwa sana. Ni nyota ya kiungu. Watu wa nyota ya mapacha wana sifa moja ya pamoja. Nayo ni huwa wapo “pride “ sana. Ni wajivuni sana. Kwa hadhi aliyokuwa nayoTupac, nyota yake na utajiri aliokuwa nao Tupac, isingekuwa rahisi kwake kwenda kumshambulia kijana aliye mpora cheni memba wa kwenye kambi yake tena miezi mingi iliyo pita. watu wa nyota ya mapacha ni watu wenye nyodo sana. Halafu tabia zao wote zinafanana. Mfano wa watu wa nyota ya Mapacha ni TID na LADY JAY DEE, Kanye West, Ney wa Mitego na Vanessa Mdee. Aliefanya jambo hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac. Ndio iliyokuwa inatenda kazi. Hakuwa yeye kabisa.

4. Tupac alijisahau kwamba ana walinzi ambao anawalipa pesa nyingi ili kumlinda. Katika hali ya kawaida, badala ya yeye mwenyewe kwenda kumshambulia Orlando ,.angeiacha kazi hiyo kwa walinzi wake, lakini hakuweza kufanya hivyo kwa sababu roho ya mauti ilikuwa tayari imeshamuingia na hivyo kumsahaulisha .



5. Tupac alijisahau kwamba ana mamilioni ya mashabiki ambao ni wagonjwa wa Sickle Cell. Katika wimbo wa ‘ Hit Em Up’ Tupac anasikika akimkejeli Prodigy kwamba ana maradhi ya Sickle Cell. Unataka kuniambia Tupac alikuwa hajui kwamba kwa kumkejeli mgonjwa wa sickle cell, angeweza kupoteza mamilioni ya mashabiki zake ambao kwanza ni wagonjwa wa sickle cell au pili wana watoto, ndugu, jamaa na watu wa karibu wenye kusumbuliwa na maradhi yao ? Yani ni sawa na msanii mkubwa hapa Tanzania agombane na msanii mwenzake ambae ni mgonjwa wa kisukari halafu msanii huyo atoe wimbo ambao ndani yake una mashairi yanasema “ NDIO MAANA UNA LIKISUKARI!!!”. Katika akili yake ya kawaida Tupac asingeweza kuzungumza jambo zito kama hilo. Ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa ndio iliyo msahaulisha na kumfanya azungumze maneno mazito kama hayo.



6. Tupac alijisahau kwa kujitapa hadharani kutembea na mke wa mtu: Unamtongoza mke wa mtu, unatembea nae, halafu unaenda kujitapa hadharani kwamba umetembea na mke wa mtu!!! Inakuingia akilini hiyo? Unadhani mwanaume mwenye hekima na busara anaweza kufanya kitu kama hicho ? Jibu ni hapana. Tupac alijishushia heshima sana kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu. Hata misahafu inasema ‘ NDOA NA IHESHIMIWE NA KILA MTU’. Hata watu wanao fanya jambo hilo huwa wanafanya kwa siri sana kwa ajili ya kuogopa kisasi cha mmiliki halali pamoja na kutengwa na jamii. Kitendo cha Tupac kutamka kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu kilimshushia heshima sana.

Since when is it cool kwa mwanaume kutembea na mke wa mtu kisha kujitapa hadharani ?





Pili : Mambo mengi anayo yafanya mtu aliebeba kivuli cha mauti ya mwingine kupitia zinaa yanakuwa yanakufa kufa na pia mtu huyo anakuwa anavutiwa sana na mambo yenye vinasaba vya roho ya mauti.




Kwa mfano kwa Tupac. Mara baada ya kutembea na mke wa Biggie na kubeba kivuli cha mauti cha Biggie, roho ya mauti ilianza kutamalaki katika maisha yake na mambo yake kwa ujumla na mwisho wa siku mwili wake pia ukafuata.



Mifano :



1. Kabla hajatoa wimbo wa Hit Em Up alirekodi wimbo unaitwa “ HIT EM UP ( OG)”. Lakini baadae akaona wimbo huo haujabeba vinasaba vya kutosha vya roho ya mauti. Hivyo akaachana nao na kurekodi wimbo wa pili wa Hit Em Up ambao ndio huu unao ujua wewe. Kwa hiyo tayari wimbo wa kwanza huo ulikufa ( Utafute wimbo huo uusikilize ). Kumbuka alie imba wimbo huo hakuwa Tupac mwenyewe. Ulikuwa ni msukumo wa roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Yani ni hiyo roho ya mauti ndio ilimvaa Tupac na kumuongoza ama kumuelekeza maneno ya kuimba na kutamka. Ndio maana alipo rekodi wimbo wa kwanza, roho ya mauti iliyokuwa imemvaa Tupac iliusikiliza wimbo huo na kushindwa kujiona yenyewe katika wimbo huo. Yani wimbo huo ulikuwa hauakisi taswira halisi ya roho ya mauti. Ndio maana ili msukuma kuutupa wimbo huo na kurekodi wimbo mwinginge ambao ndio huo unao ujua.

Wimbo wa Hit Em Up ( OG )








2. Mtayarishaji wa muziki alie rekodi wimbo wa Hit Em Up mara tu baada ya kurekodi wimbo huo, aliapa kwa miungu yake yote kwamba katika maisha yake yote hatokuja tena kurekodi wimbo wenye maudhui kama ya wimbo huo. ( Uamuzi wa Mtayarishaji huyu una vinasaba vya roho ya mauti )

3. Wakati wanarekodi video ya wimbo wa Hit Em Up, Tupac alimfukuza kazi hapo hapo mmoja kati ya wasaidizi wake. Msaidizi wake huyo wa kike kosa lake ni kwamba alikuwa ana pokea na kujibu simu zilizokuwa zinapigwa kwenye simu ya Tupac bila ridhaa yake. Ni kwamba wakati Tupac yupo busy ana rekodi video dada huyo kama msaidizi alibaki na simu ya Tupac. Sasa kuna watu wakawa wanapiga simu kuwasiliana na Tupac. Dada huyo akawa anazipokea na kuwajibu bila kumuhusisha Tupac. Tupac alipogundua hilo alikasirika sana na aka “ ua “ mkataba wa kazi wa dada huyo hapo hapo. Alihisi labda dada huyo anaweza kumuuza kwa adui zake ( Tukio hili pia limebeba vinasaba vya roho ya mauti )



4. Wakati wanarekodi video ya wimbo huo, kuna mtu mmoja alipayuka na kumwambia Tupac “ Utauliwa wewe !!!”. Tupac alikasirika lakini baadae walinzi wake waka muhakikishia kwamba hakuna kibaya kitakacho mtokea.



5. Wakati wanarekodi video ya wimbo Hit Em Up kuna ugomvi ulitokea ambao ulimuhusisha memba wa kambi ya Tupac aitwae Muta. Tupac alienda kuamua ugomvi huo ( Ugomvi/ngumi una vinasaba vya roho ya mauti . anaweza kufa anaepigana au anae amua )



6. Haya turudi kwenye wimbo wenyewe. Neno mauti limetajwa zaidi ya mara kumi na tano. Ukijumlisha na maneno yaliyo beba vinasaba vya mauti ambayo yametumika kwenye wimbo huo jumla ni zaidi ya ishirini.



7. THIS IS MY SPIRITUAL OPINION : ASILIMIA TISINI NA TISA YA MANENO ALIYO YAIMBA TUPAC KWENYE WIMBO WA HIT EM UP HAJAYAIMBA YEYE KAMA YEYE. MSTARI ALIO UIMBA TUPAC YEYE KAMA YEYE NI MSTARI MMOJA TU AU MIWILI HIVI. ASILIMIA 99 IMEIMBWA NA ROHO YA MAUTI ILIYO KUWA IMEMVAA TUPAC. YANI WAKATI TUPAC ANAIMBA WIMBO HUO ALIKUWA AMEPANDWA NA PEPO LA MAUTI. HILO PEPO LA MAUTI NDIO LILIKUWA LINAIMBA NA WALA SIO TUPAC.



Ndio maana hata Tupac mwenyewe anasema HAJUI KWA NINI ANAIMBA WIMBO HUO.

Anasema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “. Akimaanisha yaani sijui hata kwanini nipo kwenye wimbo huu/ au kwanini ninaimba wimbo huu.

Wakati Tupac anatamka maneno haya roho ya mauti ilikuwa imemuachia kidogo (Yani ni kama mtu aliepagawa na mapepo wachafu. Anatukana halafu baada ya muda mapepo yanamuachia anakuwa huru kIsha baada ya muda tena yanamrudia . Ndivyo ilivyo tokea kwa Tupac ).

Na kwa maoni yangu mimi, jina la wimbo wa Hit em Up linatakliwa liwe “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “ kwa sababu hiyo ndio sehemu ambayo Tupac halisi aliimba na ndio inabeba maudhui ya ukweli ya wimbo kwamba hajui alicho kuwa anakiimba wala hajui kwanini alikuwa anaimba wimbo huo. Hakuwa yeye. Ilikuwa ni pepo la mauti limemvaa linamtumia kufikisha ujumbe.



Sehemu nyingine kwenye wimbo wa Hit Em Up ambao ameimba Tupac mwenyewe ni hapo hapo baada ya kusema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “

Anasema “ NYIE WATU WALA SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WASHUGHULIKE NA NYINYI “


" Y'all niggas aint even on my level. I'ma let my little homies ride on you bitch -made ass Bad Boy bitches, feel it. "



Huyo alie tamka maneno hayo alikuwa Tupac mwenyewe wala haikuwa roho ya mauti. Alicho kitamka hapo kina akisi sifa na tabia halisi za watu wa nyota ya Mapacha ( Gemini ) ( Tupac alikuwa na nyota ya Mapacha ( Gemini )

Watu wana nyota ya Mapacha dunia nzima wana sifa moja ya pamoja nayo ni “ PRIDE” (UJIVUNI ) Siku zote huwa wana amini wao wana akili nyingi kuliko mtu yoyote Yule. Wanajua kila kitu kuliko mtu yoyote Yule. Wao ni bora kuliko mtu yoyote Yule. Hujiona kama miungu kwa sababu nyota ya Mapacha ni nyota ya kiungu . ( Ndio maana Tupac na Biggie hawakuweza kuiva chungu kimoja kwa sababu wote ni MAPACHA. Hata Biggie nyota yake ni Mapacha pia )



Sasa Tupac anavyo sema “ NYIE SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WADILI NA NYINYI” hapo alikuwa yeye mwenyewe na sio ile roho ya mauti.



Kama Tupac asinge tembea na mke wa Biggie na kuvaa kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac asinge toa wimbo wa Hit Em Up na badala yake ange wapa kazi vijana wake watoe wimbo wa kuwatukana Biggie na kambi yake na vijana wa Biggie wasinge tumia maneno makali kama ya Tupac.



Roho wa mauti katika wimbo wa Hit Em Up wa Tupac ametoa ishara nyingi sana kupitia wimbo huo. Kama Tupac angekuwa na washauri wa kiroho wenye macho ya kuona wangeweza kumpa msaada wa kiroho kwa sababu mauti hiyo haikuwa mauti yake.



Kwa mfano mwanzoni kabisa mwa wimbo huo Tupac anasema “ SINA MARAFIKI NDIO MAANA NILILALA NA MKE WAKO “. ( Ukisikiliza vizuri haya maneno yanasikika kwa kupandana. Yani yote yanasikika kwa pamoja. Sauti moja inasema " sina marafiki" na wakati huo huo sauti nyingine inasema " ndio maana nime mtomba mke wako " Hii tafsiri yake katika ulimwengu wa kiroho , Tupac anasema kwamba “ NIMEKUFA NA SABABU ILIYO NIFANYA NIFE NI KULALA NA MKE WAKO “ au “ AU NIMEKUFA KW A SABABU NILILALA NA MKE WAKO”

Katika ulimwengu wa kiroho “ KULALA NA MKE WA MTU “ ni suala linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana katika Taurati imeandikwa “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo kwa maana ana iangamiza nafsi yake mwenyewe “ Kitu kilicho angamia ni kitu kilicho kufa. Enzi za Taurati wazinzi walikuwa wanapigwa mawe mpaka wanakufa ili kuitakasa nchi. Enzi za mababu zetu vijana walikuwa wakibalehe baba zao wanawaambia “ Mwanangu ukitaka kuishi maisha mafupi hapa duniani basi wewe tembea na mke wa mtu.

Anaposema sina marafiki tafsiri ni kwamba anasema “ NIMEKUFA” ama “ MIMI NI MAITI” au MIMI NI MAREHEMU”. Ni maiti tu ndio hanaga rafiki.



“ Sina MarafikI’ sio Tupac ila ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa kwa sababu roho ya mauti ndio haina rafiki wala marafiki. Tupac kama Tupac alikuwa na marafiki wengi sana. Nashangaa kwanini rafiki zake hawakumuuliza mbona unasema huna marafiki wakati sisi tupo.

Kwa hiyo Tupac anavyosema “ SINA MARAFIKI “ tafsiri yake ya kiroho ni anasema kwamba “ NIMEKUFA!” au “ MIMI NI MAITI “ au “ MIMI NI MAREHEMU “ kwa sababu maiti,au mtu aliye kufa ndio hanaga marafiki.


Pia ishara nyingine ni pale Tupac anapomwambia Biggie “ Nimetembea na mke wako “. Katika ulimwengu wa kiroho hayo ni maneno ambayo tafsiri yake ni kwamba “ NIMEKUFA” ama “ NIME IANGAMIZA NAFSI YANGU” ama NAFSI YANGU IME ANGAMIA. Katika ulimwengu wa kiroho “ Kutembea na mke wa mtu “ ni jambo linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana Taurati inasema “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo na ana iangamiza nafsi yake mwenyewe”



Sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie kwamba “ UNAZUNGUMZIA KUHUSU KUWA NA PESA LAKINI KWANGU NAONA KIROJA “ " Talkin about u gettin money but its funny to me "



Huyu anaezungumza maneno haya sio Tupac. Ni roho mauti aliye kuwa amemvaa Tupac. Roho huyu anamwambia Biggie kwamba wewe unajisifu kwenye wimbo wako kwamba una pesa lakini kwangu mimi naona ni viroja tu kwa sababu najua pesa zako hutozifurahia na utakufa muda si mrefu.



Kwa sababu kiukweli ni kwamba Biggie alikuwa na hela nyingi tu tena sana, na Tupac alikuwa analijua hilo. Kwa hiyo Biggie kujitapa kwenye nyimbo zake kwamba ana pesa nyingi lilikuwa ni jambo la kawaida sana. Tupac yeye kama yeye asingeweza kumwambia Biggie kwamba naona viroja wewe kusema unapesa.

Kama Biggie angekuwa na washauri wazuri wa kiroho wangeweza kuona ujumbe kutoka kuzimu uliokuwa umejifcha nyuma ya hayo maneno.

Angeweza kujitafakari labda kwa kusema “ Hii sauti japo inatoka kwa adui yangu lakini inaweza kuwa sauti ya Mungu. Inawezekana Mungu ananiambia pesa zangu na mali zangu sio kitu chochote. Kwa hiyo ngoja nimrudie Mungu “



Pia kuna sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie “ Ume kopi staili yangu “. Wataalamu wa muziki wanasema Staili ya Biggie na Tupac hazikuwahi kufanana hata mara moja. Ni kivuli cha mauti cha Biggie ndio kilikuwa kinatamka hapo na sio Tupac. Tupac alikuwa amevaa kivuli cha mauti cha Biggie. Kivuli cha mauti kilicho beba sehemu ya nafsi ya Biggie. Kivuli cha mauti chenye vinasaba bya nafsi ya Biggie. Kwa lugha nyingine kulikuwa na vinasaba vya nafsi ya Biggie kwenye nafsi ya Tupac. Baada ya kubeba kivuli hicho, Tupac alikuwa akimsikiliza Biggie anakuwa anaona kama anajisikiliza mwenyewe kwa sababu nafsi ya Biggie ilikuwa ndani yake.

Ishara zipo nyingi muda wa kuelezea kila ishara hautoshi.

8. Roho ya mauti ikimvaa mtu inamfanya mtu huyo kuvutiwa na habari za mauti.Muda mwingi anakuwa anazungumzia habari za mauti. Lakini pia inakuwa inamkutanisha na watu waliobeba roho za mauti au watu waliobeba vinasaba vya roho za mauti kwa sababu mauti huvutiwa na mauti nyenzake. Mfano huyo kijana ambae Tupac alimshambulia siku ya pambano la Mike TYSON yeye pia alikuwa muuaji. Alikuwa anatuhumiwa kuuwa watu wawili na wakati Tupac anamshambulia kijana huyo, alikuwa nje kwa dhamana kwa kesi ya mauaji ( Unaona huo mvutano ulivyo kuwa na nguvu )



Kama hiyo haitoshi kijana huyo Oralndo Anderson alikuwa anafanana na Tupac kwa sura kwa kiwango Fulani. Usingekataa kama ungeambiwa watu hao walikuwa wana uhusiano wa damu. ( Tupac aliuliwa na mtu anae fanana nae ) Ni kijana huyu huyu ndio anadaiwa kumuua Tupac siku hiyo hiyo. Kwamba usiku huo kijana huyo alimvizia Tupac na kumpiga risasi Tupac kama kisasi cha kushambuliwa na Tupac ukumbini. Kijana huyo pia alikuwa ni memba wa kundi la wahuni ambao wengi wao walikuwa wauaji.


Kama hiyo haitoshi, miaka miwili baadae yani mwaka 1998, kijana huyo aliuwawa katika majibizano ya risasi na memba wa genge pinzani la wahuni. KIFO CHA KIJANA HUYU KILIKUWA CHA AJABU SANA. ALIULIWA NA MTU ALIYE MUUA!!! NI HVI WALIKUWA WANAJIBIZANA RISASI. MTU HUYO AKAMPIGA KIJANA HUYO RISASI NA KIJANA HUYO NA YEYE AKAMPIGA MTU HUYO RISASI NA WOTE WAKAFA. ( ORLANDO ANDERSON WAS KILLED BY A GUY THAT HE KILLED" )

View attachment 1208307 View attachment 1208308View attachment 1208309 Tupac and Orlando Anderson.



9. Miezi kadhaa baada ya kutoa wimbo wa Hit Em Up, Tupac mwenyewe aliuwawa. Miezi kadhaa baada ya kifo cha Tupac memba mmoja kutoka kambi ya Tupac aliejulikana kama Khadafi na yeye aliuwawa. Miezi kadhaa baadae tena Biggie na yeye akauwa. Kundi la Tupac likafa rasmi. Kambi ya Tupac nayo ikagawanyika na kutawanyika . Memba walio baki hai kutoka kwenye kambi ya Tupac nao vipaji vyao vya muziki vikafa. Hussein Fatal alijaribu kufanya muziki lakini kila mradi alio jaribu kuufanya ulikufa. Na yeye mwenyewe alikufa ingawa alikufa muda mrefu baadae. Alikufa mwaka 2015 kwa ajali ya gari. Wimbo huo ulikuwa ni kama wimbo wa laana uliobeba roho ya mauti.



Memba mmoja kutoka kwenye kambi ya Tupac, Mwenyezi Mungu kamjaalia Neema. Memba huyo aitwae ambae picha yake inaonekana hapo juu akiwa amevaa kanzu, alisilimu na kumrudia Mwenyezi Mungu, na sasa amehamishia makazi yake nchini Saudi Arabia akiishi maisha swafi ya ibada uku akiwa amewekeza kwenye biashara ya kahawa. Amekuwa swala tano na anaishi maisha ya unyoofu.

Ni kama vile malaika wa Nuru wa Mwenyezi Mungu walimfunulia nuru hii na kumwambia kwamba wewe lazima umrudie Mungu wako ili uwe salama.

SEHEMU MUHIMU KULIKO ZOTE KATIKA WIMBO WA HIT EM UP NI PALE TUPAC ANAPOSEMA " IT WAS ALL ABOUT BIGGIE ". This means it is all about the spirit " Biggie's death". Biggie angekuwa na watu wenye macho ya kiroho wangeweza kumfanyia maombi maalumu kwa ajili ya kumuepusha na hicho kivuli cha mauti kilicho kuwa kimemvaa.



KIFO CHA TUPAC SHAKUR NA KIFO CHA SAMSON WA KWENYE BIBLE.

Kuna baadhi ya vitu vinafanana sana kuhusu kifo cha Tupac na kifo cha Samson wa kwenye Bible.

1. Both Tupac and Samson were powerful. Samson was physically powerful and Tupac alikuwa na nguvu ya umaarufu.

2. Both were betrayed by women from enemie's camps. Samson was betrayed by Delila and Tupac was betrayed by Faith Evans. How was Tupac betrayed by Faith Evans ? It was a spiritual betrayal. Whilst Samson's betrayal was against his pgysical power, Tupac's betrayal was against his " spiritual powers" . His " real spirit", dead at the moment he had carnal knowledge of Faith Evans making it easy for him to be attacked by an evil spirit.

3. Both killed many people at their death than during their lives. JUDGES 16:30

Judges 16:30 : " So the dead that he slew at his death were more than they which he slew in his life". Huyo ni Samson, siku ya kufa kwake, alikufa na watu wengi sana kuliko idadi ya watu alio waua wakati wa uhai wake.


TUPAC JE ? Watu alio " WAUA" kwa maneno kupitia nyimbo zake baada ya " kufa" kwake ( KUZINI NA FAITH EVANS ) walikuwa ni wengi kuliko watu alio " waua " ( kwa maneno kupitia nyimbo zake ) kabla haja zini na Faith Evans.



TUPAC ANGEKUWA HAI.

1. Asinge kaa kimya muda wote huo.
2, Asinge pigana na Orlando Anderson siku aliyo pigwa risasi, kwa sababu alikuwa anajua ata ondoka siku hiyo kwenda kujificha Cuba.



SOMO / UJUMBE WANGU : USMTAMANI MKE WA JIRANI YAKO.. kutoka 20:17


There are two rules to live by:

1. Rule numbre uno : You shall not have carnal knowledge of a married woman.

2. Rule nu,ber 2: If You think u have to, then refer to rule number one.





N.B: THIS IS NOT A FACT, IT IS MY OPINION.
your loosing time for nothing boss umeandika vitu ambavyo havitakusaidia chochote kile wala hakitabadirisha maisha ya wazazi wako wanao teseka na kufa na njaaa uko kujijini
 
Uzi mzuri,uzi fikirishi na umebeba mafundisho mazuri kwa wale wanaovunja amri ya sita,ukweli ni kuwa zinaa ni mbaya sana.Niliwahi kuchangia uzi mmoja humu zamani miaka kama 3 hivi iliopita,hii ni kwa watu ninaowafahamu waliokuwa wazinzi wa kupitiliza ambao mwisho wao ulikuwa ni mbaya sana,wengi ninao wajua walikuwa walevi mbwa mpaka wanapepesuka na wamekuwa wachafu,hawajijali kwa ulevi,mwingine ninamfahamu alikuja pata ajali akakatwa mguu,mwingine alikuja kufa kifo cha ghafla alianguka tu chooni ingawa naye aliingia kwenye ulevi wa kupitiliza kabla ya kifo chake,mwingine alikuwa na sifa ya kuvibikiri vitoto vya shule,nilikuja kukutana naye amekwisha kwa ulevi,kawa kama chizi,mdomo umekuwa mwekundu,sidhnai hata kama alikuwa anaoga kwa uchafu aliokuwa nao.Sisemi kuwa wote wanaopata matatizo kwenye maisha ni kwasababu ya zinaa ila ukifuatilia hawa watu mwisho wao huwa unakuwa mbaya sana...
 
O
View attachment 1208329


FIRST OF ALL IS TUPAC DEAD OR ALIVE ?



My SPIRITUAL OPINION: Kwa sauti ya KEJUAN Muchita ( Havoc ) wa Mobb Deep. Yes Tupac is Dead without a doubt!!! Mwisho wa kunukuu.



Naendelea : Looking at him from a point of spiritual observation, he cannot be seen among the living.



For those friends of mine who are the die hard fan and devoted disciples of a belief that Tupac is still alive, just hiding somewhere in Cuba, I am so sorry to tell you dat ur belief is unfounded. He died a long long time ago.





If u really love him, then the best thing you can do to him is to ' move on ' and ' let him go' so that he can Rest In Peace...








Who Killed him ?



Is it the Illuminati ?, Puffy?, Biggie ? or Suge ?



I have very little to say about that cause am sure as hell that u have read a lot of conspiracy theories about who killed Tupac, blah blah blah!!!



My opinion as to who killed Tupac is founded on spiritual aspect. And I am telling you that Tupac was killed after being swallowed by the “ Shadow of Death “ of Christopher Wallace alias Biggie Smalls. Unbeknownst to himself ( Tupac ), he even acknowledge what am trying to kick in your mind in his infamous evil song “ Hit Em Up “. Follow my lead to really know what I am trying to tell you.



But before I proceed, the bottom line here is that “ TUPAC UNTIMELY DEATH CAME AS AN AFTERMATH OF HIM BEING SWALLOWED BY THE SHADOW OF DEATH OF BIGGIE SMALLS “





HOW WAS IT POSSIBLE ? How was it possible for Tupac to be swallowed by the shadow of death of Biggie Smalls ? TUPAC ALIMEZWA VIPI NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE ?



Tupac alimezwa na kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo lifanya na FEW ( Faith Evans Wallace ) ambae alikuwa mke wa Biggie.



HOW ?




katika ulimwengu wa rohoni mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika agano rasmi la ndoa, nafsi zao huunganishwa na kuwa kitu kimoja. Hii inawahusu hata wale wanao fanya tendo la ndoa bila agano rasmi ( wazinzi & waasherati ). Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke unakuwa umekubaliana kuunganisha nafsi yako na nafsi yake. Nafsi yako na yake zinaungana na kukamatana na kuwa kitu kimoja. Kama mtu huyo alikuwa na nuksi/mikosi/laana basi laana hizo zitakufuata na wewe. Nature ya nafsi ya mwanadamu ni " Electro -Magnetic " . Nafsi hizi zinapoingiliana kupitia " majumba" ( miili) yao, hukamatana na kuwa kitu kimoja.

Unapoenda kufanya tendo la ndoa na mke wa mtu basi kuwa na uhakika unaenda kubeba nuksi, mikosi na laana zote za mume/mwanaume wa mwanamke huyo. Ndio maana wayahudi enzi za agano la kale, wazinzi walikuwa wanapigwa mawe hadi kufa, kwa sababu ilichukuliwa kwamba ubaya na uovu wa tendo la zinaa si tu ulikuwa unawanajisi wahusika bali pia ulikuwa una inajisi nchi yote. uzinzi ilikuwa ni kosa kubwa sana sawa sawa na uhaini katika nyakati za leo.

Unapo fanya tendo la ndoa na mwanamke, tafsiri yake katika ulimwengu wa rohoni ni kwamba, unakuwa umeridhia na kukubali kuingia katika agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi ya mwanamke ambae unafanya nae tendo la hilo la zinaa.

Haijalishi unajua kwamba unaingia kwenye agano au haujui ( Hata katika ulimwengu wa rohoni, kanuni ya Ignorantia juris non excusat " ignorance of the law has no excuse" ina operate. )

Mfano wa agano au mkataba huu ni sawa na mkataba unao ingia kila siku unapo enda kupanda daladala., Unapo kuwa umepanda dala dala actually unakuwa umeingia katika contract kati yako wewe na konda hata kama hujui kwamba umeingia kwenye mkataba. Mwisho wa siku utatakiwa kulipa consideration " malipo ya mkataba" ambayo ni nauli yako.

Vivyo hivyo unapo fanya tendo la zinaa na mwanamke basi jua umeingia kwenye agano la kuunganisha nafsi yako na nafsi yake na mwisho wa siku utatakiwa kulipa gharama za agano hilo ambazo ni pamoja na nuksi, mikosi, mabalaa, laana za ukoo, laana za familia nakadhalika.

Mind you, madhara unayo weza kuyapata sio lazima yawe spiritual katika namna unayo weza kuielewa wewe. Yanaweza kuwa physical but spiritual. Kwa mfano ukifanya zinaa na mwanamke mwenye virusi vya ukimwi maana yake ni kwamba na wewe utapata ukimwi. So mateso yake ya maradhi ya ukimwi yatahamia kwako pia.

Hata kwenye Bible imeandikwa kwenye kitabu cha Mithali 6:32 " Mwanaume Mzinzi hana akili hata kidogo, kwa maana ana i angamiza nafsi yake mwenyewe". Ana iangamiza vipi ? Ana iangamiza kwa ku iunganisha na laana, nuksi, mikosi, maagano mabaya ya kisheitwani.


Back to my point : Tupac aliva kivuli cha mauti cha Biggie kupitia tendo la zinaa alilo fanya na mke wa Biggie.


KWANINI NINASEMA TUPAC ALIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE WAKATI BIGGIE ALIKUWA BADO YUPO HAI ?

Ofcourse whoever ask this question, has a concern but as i s aid earlier, this is just my opinion. So based on my personal opinion, at the time when Tupac was messing with FEW, Biggie had already dead . His soul was already dead. Only it was waiting for the right reasons and time to depart from his body. Ni hivi katika ulimwengu wa rohoni uhai na mauti vina sifa moja inayo fanana nayo ni kuzaliwa. Mauti huzaliwa kama uhai unavyo zaliwa. Kama ilivyo kwa dalili za 'kuzaliwa' kwa mtu kuonekana miezi tisa kabla, vivyo hivyo dalili za ' kufa' kwa mtu huweza kuonekana miezi tisa kabla. Wakati mwingine huweza kuonekana mwaka mmoja, miwili au mitatu kabla. ( Wabudha wame advance sana kwenye maarifa ya kusoma kifo cha mtu miezi kadhaa kabla hajazaliwa )

Wakati mwingine inaweza kuwa ngumu kutofautisha kati ya dalili za kuzaliwa kwa " uhai" au " mauti". Kwa mfano mwanamke akibeba mimba tunasema amebeba " uhai" na tunatarajia atajifungua mtoto baada ya miezi tisa. What if baada ya miezi tisa akijifungua mtoto alie kufa? Hapa ndipo inaposemwa kuwa wakati mwingine mauti na uhai vinaweza kupita njia moja.

TURUDI KWA BIGGIE : Biggie alianza kuonyesha dalili za kifo a long time ago kabla hata Tupac hajatembea na mke wake. Dalili zingine alianza kuzionyesha baada ya Tupac kufa. Nitataja dalili mbili tu, moja alio ionyesha kabla ya Tupac kufa na nyingine ali ionyesha baada ya Tupac kufa but zipo nyingi sana.


DALILI YA KWANZA : MTU ANAE KARIBIA KUFA HUWA NA HEKIMA NA BUSARA KULIKO KAWAIDA/ HUWEZA KUBADILIKA NA KUWA MCHA MUNGU SANA HATA KAMA JAMII ILIKUWA INAMCHUKULIA MUOVU WA KIWANGO GANI.

Mtaani kwenu hamjawahi kuwa na mtu ambae alikuwa ana julikana kwa kuwa mtu mbaya. Lets say jambazi, mchawi, muuaji,mlevi, malaya, msenge, dhulumati, haudhurii misiba, etc whichever come first. Ghafla mnashangaa jamaa anabadilika anakuwa mtu wa ibada sana. Anaanza kujichanga na jamii na kufanya mambo mazuri tofauti na alivyo zoeleka. Ghafla anaanza kuwa mtu wa ibada, mcha Mungu, kushirikiana na jamii, etc halafu baada ya muda fulani anakufa na kuzikwa vizuri sana. Kama haujawahi kushuhudia hili probably u was born in 1997 but dont worry utakuja kushuhudia.


BIGGIE ALIANZA KUWA NA HEKIMA AMBAYO HAIENDANI NA UMRI WAKE, UTAJIRI WAKE NA STATUS YAKE KATIKA JAMII.

Mfano wa hiki ni response ya Biggie kuhusu wimbo wa Hit Em Up. Alipo ombwa kutoa maoni yake kuhusu verse ya Tupac " U claim to be a player but i fucked ur wife " haya ndio majibu aliyo yatoa Biggie.


" Siamini na sina uhakika kama kweli Tupac alifanya sex na FAYE. Lakini hata kama kweli alifanya mapenzi na Faye ilitakiwa ibaki kuwa siri yake na Faye. Kwanini amdhalilishe dada wa watu kiasi hicho? Wanawake wanatakiwa kuheshimiwa na kusitiriwa, U dont have sex with a woman and go in the public and call her bitch. That is so so disrepectful. I think Pac need to apologize to Faye. I can fell how bad Faye feel about the song"


Can u imagine kiwango cha hekima alicho kionyesha Biggie? Yani mtu amtombe mke wako, halafu akutukane hadharani kwamba kamtomba mke wako halafu uulizwe kutoa maoni yako ujibu kama alivyo jibu Biggie? Hell NO!!! Kumbuka Biggie was a celebrity. Famous., Millionaire and he was only 24 approaching 25.. He was not even in his 40.. ( Wanasaikolojia wanasema mwanaume mwenye umri wa kuanzia at least miaka 45 na kuendelea anaweza kusamehe dhambi ya uzinzi but not a guy in his early 30s let alone a g uy in his early 20s.. Ndio maana uncle wa miaka 50 akikukuta una mgonga mke wake atakukanya uachane na mke wake na ataendelea kuwa na mke wake but not a guy in his 30s or 20s. He will without doubt kill you and feed ur corpse with the dogs. Tazama takwimu zote za mauaji ya kimapenzi yanayo tokana na wivu wa kimapenzi yafanywayo na wanaume. Wengi ni wenye umri wa miaka 20s and 30s.

SO UMEONA KIWANGO CHA HEKIMA ALICHO KUWA NACHO BIGGIE ?


Dalili No. 2 : HII ALI IONYESHA BAADA YA TUPAC KUWA AMEUWAWA.

Unahitaji kuwa na uwezo mkubwa wa ama macho ya rohoni au uwezo wa kusoma sura ya mtu. Angalia interview hii ya Biggie aliyo ifanya sometimes in March 1997. Soma sura yake. U can see death written in all over his face.




Nime upload video hii ya Biggie for you to see

Okay dalili hizo 2 zinatosha sasa turudi kwa Tupa


MTU AKIMEZWA NA KIVULI CHA MAUTI CHA MWANAUME MWINGINE KUPITIA TENDO LA ZINAA NA MKE WA MWANAUME HUYO HUWA ANA ONYESHA TABIA KADHA WA KADHA. TUPAC ALIONYESHA TABIA KARIBU ZOTE .

Je Tupac alionyesha Tabia zipi baada ya kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie ?



Mara baada ya kufanya tendo la zinaa na mke wa Biggie na hatimae kumezwa na kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac alianza kuonyesha tabia zifuatazo :"





Kwanza : Mtu akibeba kivuli cha mauti huwa kina MSAHAULISHA mambo ya msingi. Anasahu kama jambo analo lifanya ni jambo la hatari kwa uhai wake. Ni hivi majini na malaika wanao tawala roho ya umauti wana wasaidizi wengi sana " Servants of the Spirit of Death". Chini ya utawala wa majini na malaika hao kuna majini wengine wengi sana. Moja kati ya wasaidizi watiifu wa roho ya mauti ni roho ya usahaulifu. Watu wengi wanao tupiwaga majini wa mauti huwa wana sahaulishwa baadhi ya mambo.



Kwa mfano MTU KUJISAHAU WAKATI WA KUVUKA BARABARA. Mtu alietupiwa roho wa mauti wakati anavuka barabarani anajisahau kama anavuka barabara. Anakuja kukumbuka kuwa anavuka barabara tayari gari imeshamfikia na mwisho wa siku mauti yana mkuta.

Mfano mwingine ni kulewa kisha kuingia ndani ya maji kuogelea au kulewa chakari na kuendesha gari kziembe na hatimaye kukutwa na ajali etc.



Kivuli cha mauti cha Biggie baada ya kumvaa Tupac kilimsahaulisha mambo mengi sana. Baadhi ya mambo hayo ni kama ifuatavyo :



1. Tupac alijisahau kama alikuwa nje kwa dhamana chini ya uangalizi maalumu kwa sharti kwamba hakutakiwa kufanya kosa lolote lile na kama angefanya kosa lolote basi dhamana yake ingefutwa na yeye kurudishwa ndani…


Kwanini ninasema hivyo? Masaa machache kabla Tupac hajapigwa risasi, alifanya tukio ambalo watu wengi walimshangaa lakini mimi simshangai kwa sababu najua hakuwa yeye. Ilikuwa ni nguvu ya roho ya mauti aliyo ibeba kupitia tendo la zinaa na mke wa Biggie.

Tupac akiwa katika ukumbi wa MGM ambako kulikuwa na pambano la ngumi kati ya Mike Tyson na Bruce Seldon alienda kumvaa na kumshambulia kwa ngumi na mateke mtu mmoja aliye julikana kwa jina la Orlando Anderson.

Wakati tukio hilo likifanyika kamera za ukumbi huo zilikuwa zikirekodi na kuonyesha tukio zima. Lilikuwa ni kosa kubwa sana hasa ikizingatiwa kuwa Tupac alimshambulia jamaa huyo huku akisaidiwa na wapambe wake. Jamaa huyo angeweza hata kupoteza uhai wake. Ina maana Tupac hakujua kwamba kufanya jambo lile kungemletea matatizo ? Tupac kama Tupac alikuwa ni brother mwenye hekima na busara nyingi sana. Aliefanya tukio hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac ambayo ilikuwa inamuendesha kama rimoti kontro wakati huo.

Tazama tukio la Tupac akimshambulia Orlando Anderson:


2. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu maarufu na anae fuatiliwa na watu wengi. Uwepo wake katika eneo lolote lile ulimaanisha kuwa waandishi wa habari na mapaparazzi lazima watakuwa wanamfuatilia ili waweze kuandika habari zake kwa sababu alikuwa ni mtu anaependwa sana na watu. Kwa hiyo kwa vyovyote vile katika sehemu yoyote ile atakayo kuwepo , Camera zote zitakuwa zinaelekezwa kwake mara kwa mara. Kwa kulijua hili na kwa kujua kwamba alikuwa nje kwa dhamana kwa sharti la kutokufanya kosa lolote la jinai isinge tarajiwa Tupac aende kumshambulia Orlando Anderson kwa sababu angeonekana na angekuwa matatani lakini aliweza kufanya jambo hilo kwa nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Hakuwa yeye isipokuwa roho hiyo. Ni kama alikuwa haioni kesho yake.



3. Tupac alijisahau kwamba yeye ni mtu mwenye hekima na busara nyingi sana na kwamba jamii ili mchukulia kama mtu mwenye hekima na busara nyingi na isinge mtarajia kufanya mambo ambayo hayaendani na heshima aliyo jijengea kwenye jamii.
Sababu iliyo mfanya Tupac kwenda kumshambulia Oralndo Anderson ni sababu ya kitoto sana. Ni hivi, Orlando alikuwa memba wa genge la Kihuni lijulikano kama " The Blood " .sect ya Piru. Mwanzoni mwa mwaka huo wa 96, Orlando huyo alimrob cheni mmoja kati ya memba kutoka kwenye kambi ya Tupac " Death Row Squad ". Siku hiyo wakiwa wameenda kutazama pambano la Tyson, memba huyo wa kambi ya Tupac akamuona Orlano. Sasa memba huyo alipoenda alipokaa Tupac akamwambia katika maongezi ya kawaida tu kwamba aisee Yule jamaa aliye niporaga cheni nimemuona pale. Tupac akasimama kwa shari na kuanza kuelekea mahali alipo Orlando ili kumshambulia na wakati anafanya hayo wapambe wake nao waka mfuata na alipo anza kumshambulia wapambe wake nao wakaungana nae katika kumshambulia Orlando. Gharama ya cheni yenyewe ilikuwa ni kiduchu sana ikilinganishwa na utajiri aliokuwa nao Tupac. Swali la kujiuliza, hivi kweli Tupac kwa hadhi aliyo kuwa nayo unadhani kweli alistahili kufanya kitu kama hicho ? Kwa hadhi yake kwanini asinge ongea na watu wa usalama ili Orlando akamatwe na sheria ichukue mkondo wake ? ( UTASEMA THAT WOULD AMOUNT TO SNITCHING.. THEN WHY DONT DELEGATE THE TASK TO HIS SECURITY GUARDS ?) Ina maana hakujua kwamba kesho yake angehojiwa na vyombo vya habari angeongea kitu gani ? kwamba nilienda kumshambulia Orlando kwa sababu alipora cheni ya memba wa Death Row..!!! kweli ? Inakuingia akilini hiyo ?

Tupac alikuwa na hadhi kubwa sana. Yani ni sawa na sasa hivi msanii mkubwa kama Diamond iwe kwamba Mbosso aliporwa simu ya tochi na Chid Benz at Ilala Kota sometime in January halafu halafu sometime in September Diamond na Mbosso wakiwa uwanja wa taifa wana angalia mpira wa Simba na Yanga, Mbosso amwambie Diamond " aisee nimemuona Chid Benz uwanjani" halafu Diamond atoke mbio mbio na kwenda kumshambulia Chid Benz.. Unaona ilivyo ngumu ? Ikumbukwe nyota ya Tupac ni Mpacha ( Gemini ). Nyota ya mapacha ni nyota yenye nguvu kubwa sana. Ni nyota ya kiungu. Watu wa nyota ya mapacha wana sifa moja ya pamoja. Nayo ni huwa wapo “pride “ sana. Ni wajivuni sana. Kwa hadhi aliyokuwa nayoTupac, nyota yake na utajiri aliokuwa nao Tupac, isingekuwa rahisi kwake kwenda kumshambulia kijana aliye mpora cheni memba wa kwenye kambi yake tena miezi mingi iliyo pita. watu wa nyota ya mapacha ni watu wenye nyodo sana. Halafu tabia zao wote zinafanana. Mfano wa watu wa nyota ya Mapacha ni TID na LADY JAY DEE, Kanye West, Ney wa Mitego na Vanessa Mdee. Aliefanya jambo hilo sio Tupac isipokuwa ni nguvu ya roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa Tupac. Ndio iliyokuwa inatenda kazi. Hakuwa yeye kabisa.

4. Tupac alijisahau kwamba ana walinzi ambao anawalipa pesa nyingi ili kumlinda. Katika hali ya kawaida, badala ya yeye mwenyewe kwenda kumshambulia Orlando ,.angeiacha kazi hiyo kwa walinzi wake, lakini hakuweza kufanya hivyo kwa sababu roho ya mauti ilikuwa tayari imeshamuingia na hivyo kumsahaulisha .



5. Tupac alijisahau kwamba ana mamilioni ya mashabiki ambao ni wagonjwa wa Sickle Cell. Katika wimbo wa ‘ Hit Em Up’ Tupac anasikika akimkejeli Prodigy kwamba ana maradhi ya Sickle Cell. Unataka kuniambia Tupac alikuwa hajui kwamba kwa kumkejeli mgonjwa wa sickle cell, angeweza kupoteza mamilioni ya mashabiki zake ambao kwanza ni wagonjwa wa sickle cell au pili wana watoto, ndugu, jamaa na watu wa karibu wenye kusumbuliwa na maradhi yao ? Yani ni sawa na msanii mkubwa hapa Tanzania agombane na msanii mwenzake ambae ni mgonjwa wa kisukari halafu msanii huyo atoe wimbo ambao ndani yake una mashairi yanasema “ NDIO MAANA UNA LIKISUKARI!!!”. Katika akili yake ya kawaida Tupac asingeweza kuzungumza jambo zito kama hilo. Ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa ndio iliyo msahaulisha na kumfanya azungumze maneno mazito kama hayo.



6. Tupac alijisahau kwa kujitapa hadharani kutembea na mke wa mtu: Unamtongoza mke wa mtu, unatembea nae, halafu unaenda kujitapa hadharani kwamba umetembea na mke wa mtu!!! Inakuingia akilini hiyo? Unadhani mwanaume mwenye hekima na busara anaweza kufanya kitu kama hicho ? Jibu ni hapana. Tupac alijishushia heshima sana kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu. Hata misahafu inasema ‘ NDOA NA IHESHIMIWE NA KILA MTU’. Hata watu wanao fanya jambo hilo huwa wanafanya kwa siri sana kwa ajili ya kuogopa kisasi cha mmiliki halali pamoja na kutengwa na jamii. Kitendo cha Tupac kutamka kwa kujitapa hadharani kwamba ametembea na mke wa mtu kilimshushia heshima sana.

Since when is it cool kwa mwanaume kutembea na mke wa mtu kisha kujitapa hadharani ?





Pili : Mambo mengi anayo yafanya mtu aliebeba kivuli cha mauti ya mwingine kupitia zinaa yanakuwa yanakufa kufa na pia mtu huyo anakuwa anavutiwa sana na mambo yenye vinasaba vya roho ya mauti.




Kwa mfano kwa Tupac. Mara baada ya kutembea na mke wa Biggie na kubeba kivuli cha mauti cha Biggie, roho ya mauti ilianza kutamalaki katika maisha yake na mambo yake kwa ujumla na mwisho wa siku mwili wake pia ukafuata.



Mifano :



1. Kabla hajatoa wimbo wa Hit Em Up alirekodi wimbo unaitwa “ HIT EM UP ( OG)”. Lakini baadae akaona wimbo huo haujabeba vinasaba vya kutosha vya roho ya mauti. Hivyo akaachana nao na kurekodi wimbo wa pili wa Hit Em Up ambao ndio huu unao ujua wewe. Kwa hiyo tayari wimbo wa kwanza huo ulikufa ( Utafute wimbo huo uusikilize ). Kumbuka alie imba wimbo huo hakuwa Tupac mwenyewe. Ulikuwa ni msukumo wa roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa. Yani ni hiyo roho ya mauti ndio ilimvaa Tupac na kumuongoza ama kumuelekeza maneno ya kuimba na kutamka. Ndio maana alipo rekodi wimbo wa kwanza, roho ya mauti iliyokuwa imemvaa Tupac iliusikiliza wimbo huo na kushindwa kujiona yenyewe katika wimbo huo. Yani wimbo huo ulikuwa hauakisi taswira halisi ya roho ya mauti. Ndio maana ili msukuma kuutupa wimbo huo na kurekodi wimbo mwinginge ambao ndio huo unao ujua.

Wimbo wa Hit Em Up ( OG )








2. Mtayarishaji wa muziki alie rekodi wimbo wa Hit Em Up mara tu baada ya kurekodi wimbo huo, aliapa kwa miungu yake yote kwamba katika maisha yake yote hatokuja tena kurekodi wimbo wenye maudhui kama ya wimbo huo. ( Uamuzi wa Mtayarishaji huyu una vinasaba vya roho ya mauti )

3. Wakati wanarekodi video ya wimbo wa Hit Em Up, Tupac alimfukuza kazi hapo hapo mmoja kati ya wasaidizi wake. Msaidizi wake huyo wa kike kosa lake ni kwamba alikuwa ana pokea na kujibu simu zilizokuwa zinapigwa kwenye simu ya Tupac bila ridhaa yake. Ni kwamba wakati Tupac yupo busy ana rekodi video dada huyo kama msaidizi alibaki na simu ya Tupac. Sasa kuna watu wakawa wanapiga simu kuwasiliana na Tupac. Dada huyo akawa anazipokea na kuwajibu bila kumuhusisha Tupac. Tupac alipogundua hilo alikasirika sana na aka “ ua “ mkataba wa kazi wa dada huyo hapo hapo. Alihisi labda dada huyo anaweza kumuuza kwa adui zake ( Tukio hili pia limebeba vinasaba vya roho ya mauti )



4. Wakati wanarekodi video ya wimbo huo, kuna mtu mmoja alipayuka na kumwambia Tupac “ Utauliwa wewe !!!”. Tupac alikasirika lakini baadae walinzi wake waka muhakikishia kwamba hakuna kibaya kitakacho mtokea.



5. Wakati wanarekodi video ya wimbo Hit Em Up kuna ugomvi ulitokea ambao ulimuhusisha memba wa kambi ya Tupac aitwae Muta. Tupac alienda kuamua ugomvi huo ( Ugomvi/ngumi una vinasaba vya roho ya mauti . anaweza kufa anaepigana au anae amua )



6. Haya turudi kwenye wimbo wenyewe. Neno mauti limetajwa zaidi ya mara kumi na tano. Ukijumlisha na maneno yaliyo beba vinasaba vya mauti ambayo yametumika kwenye wimbo huo jumla ni zaidi ya ishirini.



7. THIS IS MY SPIRITUAL OPINION : ASILIMIA TISINI NA TISA YA MANENO ALIYO YAIMBA TUPAC KWENYE WIMBO WA HIT EM UP HAJAYAIMBA YEYE KAMA YEYE. MSTARI ALIO UIMBA TUPAC YEYE KAMA YEYE NI MSTARI MMOJA TU AU MIWILI HIVI. ASILIMIA 99 IMEIMBWA NA ROHO YA MAUTI ILIYO KUWA IMEMVAA TUPAC. YANI WAKATI TUPAC ANAIMBA WIMBO HUO ALIKUWA AMEPANDWA NA PEPO LA MAUTI. HILO PEPO LA MAUTI NDIO LILIKUWA LINAIMBA NA WALA SIO TUPAC.



Ndio maana hata Tupac mwenyewe anasema HAJUI KWA NINI ANAIMBA WIMBO HUO.

Anasema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “. Akimaanisha yaani sijui hata kwanini nipo kwenye wimbo huu/ au kwanini ninaimba wimbo huu.

Wakati Tupac anatamka maneno haya roho ya mauti ilikuwa imemuachia kidogo (Yani ni kama mtu aliepagawa na mapepo wachafu. Anatukana halafu baada ya muda mapepo yanamuachia anakuwa huru kIsha baada ya muda tena yanamrudia . Ndivyo ilivyo tokea kwa Tupac ).

Na kwa maoni yangu mimi, jina la wimbo wa Hit em Up linatakliwa liwe “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “ kwa sababu hiyo ndio sehemu ambayo Tupac halisi aliimba na ndio inabeba maudhui ya ukweli ya wimbo kwamba hajui alicho kuwa anakiimba wala hajui kwanini alikuwa anaimba wimbo huo. Hakuwa yeye. Ilikuwa ni pepo la mauti limemvaa linamtumia kufikisha ujumbe.



Sehemu nyingine kwenye wimbo wa Hit Em Up ambao ameimba Tupac mwenyewe ni hapo hapo baada ya kusema “ I DON’T EVEN KNOW WHY AM ON THIS TRACK “

Anasema “ NYIE WATU WALA SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WASHUGHULIKE NA NYINYI “


" Y'all niggas aint even on my level. I'ma let my little homies ride on you bitch -made ass Bad Boy bitches, feel it. "



Huyo alie tamka maneno hayo alikuwa Tupac mwenyewe wala haikuwa roho ya mauti. Alicho kitamka hapo kina akisi sifa na tabia halisi za watu wa nyota ya Mapacha ( Gemini ) ( Tupac alikuwa na nyota ya Mapacha ( Gemini )

Watu wana nyota ya Mapacha dunia nzima wana sifa moja ya pamoja nayo ni “ PRIDE” (UJIVUNI ) Siku zote huwa wana amini wao wana akili nyingi kuliko mtu yoyote Yule. Wanajua kila kitu kuliko mtu yoyote Yule. Wao ni bora kuliko mtu yoyote Yule. Hujiona kama miungu kwa sababu nyota ya Mapacha ni nyota ya kiungu . ( Ndio maana Tupac na Biggie hawakuweza kuiva chungu kimoja kwa sababu wote ni MAPACHA. Hata Biggie nyota yake ni Mapacha pia )



Sasa Tupac anavyo sema “ NYIE SIO WA LEVO YANGU. NGOJA NIWAACHIE WADOGO ZANGU WADILI NA NYINYI” hapo alikuwa yeye mwenyewe na sio ile roho ya mauti.



Kama Tupac asinge tembea na mke wa Biggie na kuvaa kivuli cha mauti cha Biggie, Tupac asinge toa wimbo wa Hit Em Up na badala yake ange wapa kazi vijana wake watoe wimbo wa kuwatukana Biggie na kambi yake na vijana wa Biggie wasinge tumia maneno makali kama ya Tupac.



Roho wa mauti katika wimbo wa Hit Em Up wa Tupac ametoa ishara nyingi sana kupitia wimbo huo. Kama Tupac angekuwa na washauri wa kiroho wenye macho ya kuona wangeweza kumpa msaada wa kiroho kwa sababu mauti hiyo haikuwa mauti yake.



Kwa mfano mwanzoni kabisa mwa wimbo huo Tupac anasema “ SINA MARAFIKI NDIO MAANA NILILALA NA MKE WAKO “. ( Ukisikiliza vizuri haya maneno yanasikika kwa kupandana. Yani yote yanasikika kwa pamoja. Sauti moja inasema " sina marafiki" na wakati huo huo sauti nyingine inasema " ndio maana nime mtomba mke wako " Hii tafsiri yake katika ulimwengu wa kiroho , Tupac anasema kwamba “ NIMEKUFA NA SABABU ILIYO NIFANYA NIFE NI KULALA NA MKE WAKO “ au “ AU NIMEKUFA KW A SABABU NILILALA NA MKE WAKO”

Katika ulimwengu wa kiroho “ KULALA NA MKE WA MTU “ ni suala linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana katika Taurati imeandikwa “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo kwa maana ana iangamiza nafsi yake mwenyewe “ Kitu kilicho angamia ni kitu kilicho kufa. Enzi za Taurati wazinzi walikuwa wanapigwa mawe mpaka wanakufa ili kuitakasa nchi. Enzi za mababu zetu vijana walikuwa wakibalehe baba zao wanawaambia “ Mwanangu ukitaka kuishi maisha mafupi hapa duniani basi wewe tembea na mke wa mtu.

Anaposema sina marafiki tafsiri ni kwamba anasema “ NIMEKUFA” ama “ MIMI NI MAITI” au MIMI NI MAREHEMU”. Ni maiti tu ndio hanaga rafiki.



“ Sina MarafikI’ sio Tupac ila ni roho ya mauti iliyo kuwa imemvaa kwa sababu roho ya mauti ndio haina rafiki wala marafiki. Tupac kama Tupac alikuwa na marafiki wengi sana. Nashangaa kwanini rafiki zake hawakumuuliza mbona unasema huna marafiki wakati sisi tupo.

Kwa hiyo Tupac anavyosema “ SINA MARAFIKI “ tafsiri yake ya kiroho ni anasema kwamba “ NIMEKUFA!” au “ MIMI NI MAITI “ au “ MIMI NI MAREHEMU “ kwa sababu maiti,au mtu aliye kufa ndio hanaga marafiki.


Pia ishara nyingine ni pale Tupac anapomwambia Biggie “ Nimetembea na mke wako “. Katika ulimwengu wa kiroho hayo ni maneno ambayo tafsiri yake ni kwamba “ NIMEKUFA” ama “ NIME IANGAMIZA NAFSI YANGU” ama NAFSI YANGU IME ANGAMIA. Katika ulimwengu wa kiroho “ Kutembea na mke wa mtu “ ni jambo linalo beba vinasaba vingi sana vya roho ya mauti. Ndio maana Taurati inasema “ Mwanaume mzinzi hana akili hata kidogo na ana iangamiza nafsi yake mwenyewe”



Sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie kwamba “ UNAZUNGUMZIA KUHUSU KUWA NA PESA LAKINI KWANGU NAONA KIROJA “ " Talkin about u gettin money but its funny to me "



Huyu anaezungumza maneno haya sio Tupac. Ni roho mauti aliye kuwa amemvaa Tupac. Roho huyu anamwambia Biggie kwamba wewe unajisifu kwenye wimbo wako kwamba una pesa lakini kwangu mimi naona ni viroja tu kwa sababu najua pesa zako hutozifurahia na utakufa muda si mrefu.



Kwa sababu kiukweli ni kwamba Biggie alikuwa na hela nyingi tu tena sana, na Tupac alikuwa analijua hilo. Kwa hiyo Biggie kujitapa kwenye nyimbo zake kwamba ana pesa nyingi lilikuwa ni jambo la kawaida sana. Tupac yeye kama yeye asingeweza kumwambia Biggie kwamba naona viroja wewe kusema unapesa.

Kama Biggie angekuwa na washauri wazuri wa kiroho wangeweza kuona ujumbe kutoka kuzimu uliokuwa umejifcha nyuma ya hayo maneno.

Angeweza kujitafakari labda kwa kusema “ Hii sauti japo inatoka kwa adui yangu lakini inaweza kuwa sauti ya Mungu. Inawezekana Mungu ananiambia pesa zangu na mali zangu sio kitu chochote. Kwa hiyo ngoja nimrudie Mungu “



Pia kuna sehemu nyingine Tupac anasikika akimwambia Biggie “ Ume kopi staili yangu “. Wataalamu wa muziki wanasema Staili ya Biggie na Tupac hazikuwahi kufanana hata mara moja. Ni kivuli cha mauti cha Biggie ndio kilikuwa kinatamka hapo na sio Tupac. Tupac alikuwa amevaa kivuli cha mauti cha Biggie. Kivuli cha mauti kilicho beba sehemu ya nafsi ya Biggie. Kivuli cha mauti chenye vinasaba bya nafsi ya Biggie. Kwa lugha nyingine kulikuwa na vinasaba vya nafsi ya Biggie kwenye nafsi ya Tupac. Baada ya kubeba kivuli hicho, Tupac alikuwa akimsikiliza Biggie anakuwa anaona kama anajisikiliza mwenyewe kwa sababu nafsi ya Biggie ilikuwa ndani yake.

Ishara zipo nyingi muda wa kuelezea kila ishara hautoshi.

8. Roho ya mauti ikimvaa mtu inamfanya mtu huyo kuvutiwa na habari za mauti.Muda mwingi anakuwa anazungumzia habari za mauti. Lakini pia inakuwa inamkutanisha na watu waliobeba roho za mauti au watu waliobeba vinasaba vya roho za mauti kwa sababu mauti huvutiwa na mauti nyenzake. Mfano huyo kijana ambae Tupac alimshambulia siku ya pambano la Mike TYSON yeye pia alikuwa muuaji. Alikuwa anatuhumiwa kuuwa watu wawili na wakati Tupac anamshambulia kijana huyo, alikuwa nje kwa dhamana kwa kesi ya mauaji ( Unaona huo mvutano ulivyo kuwa na nguvu )



Kama hiyo haitoshi kijana huyo Oralndo Anderson alikuwa anafanana na Tupac kwa sura kwa kiwango Fulani. Usingekataa kama ungeambiwa watu hao walikuwa wana uhusiano wa damu. ( Tupac aliuliwa na mtu anae fanana nae ) Ni kijana huyu huyu ndio anadaiwa kumuua Tupac siku hiyo hiyo. Kwamba usiku huo kijana huyo alimvizia Tupac na kumpiga risasi Tupac kama kisasi cha kushambuliwa na Tupac ukumbini. Kijana huyo pia alikuwa ni memba wa kundi la wahuni ambao wengi wao walikuwa wauaji.


Kama hiyo haitoshi, miaka miwili baadae yani mwaka 1998, kijana huyo aliuwawa katika majibizano ya risasi na memba wa genge pinzani la wahuni. KIFO CHA KIJANA HUYU KILIKUWA CHA AJABU SANA. ALIULIWA NA MTU ALIYE MUUA!!! NI HVI WALIKUWA WANAJIBIZANA RISASI. MTU HUYO AKAMPIGA KIJANA HUYO RISASI NA KIJANA HUYO NA YEYE AKAMPIGA MTU HUYO RISASI NA WOTE WAKAFA. ( ORLANDO ANDERSON WAS KILLED BY A GUY THAT HE KILLED" )

View attachment 1208307 View attachment 1208308View attachment 1208309 Tupac and Orlando Anderson.



9. Miezi kadhaa baada ya kutoa wimbo wa Hit Em Up, Tupac mwenyewe aliuwawa. Miezi kadhaa baada ya kifo cha Tupac memba mmoja kutoka kambi ya Tupac aliejulikana kama Khadafi na yeye aliuwawa. Miezi kadhaa baadae tena Biggie na yeye akauwa. Kundi la Tupac likafa rasmi. Kambi ya Tupac nayo ikagawanyika na kutawanyika . Memba walio baki hai kutoka kwenye kambi ya Tupac nao vipaji vyao vya muziki vikafa. Hussein Fatal alijaribu kufanya muziki lakini kila mradi alio jaribu kuufanya ulikufa. Na yeye mwenyewe alikufa ingawa alikufa muda mrefu baadae. Alikufa mwaka 2015 kwa ajali ya gari. Wimbo huo ulikuwa ni kama wimbo wa laana uliobeba roho ya mauti.



Memba mmoja kutoka kwenye kambi ya Tupac, Mwenyezi Mungu kamjaalia Neema. Memba huyo aitwae ambae picha yake inaonekana hapo juu akiwa amevaa kanzu, alisilimu na kumrudia Mwenyezi Mungu, na sasa amehamishia makazi yake nchini Saudi Arabia akiishi maisha swafi ya ibada uku akiwa amewekeza kwenye biashara ya kahawa. Amekuwa swala tano na anaishi maisha ya unyoofu.

Ni kama vile malaika wa Nuru wa Mwenyezi Mungu walimfunulia nuru hii na kumwambia kwamba wewe lazima umrudie Mungu wako ili uwe salama.

SEHEMU MUHIMU KULIKO ZOTE KATIKA WIMBO WA HIT EM UP NI PALE TUPAC ANAPOSEMA " IT WAS ALL ABOUT BIGGIE ". This means it is all about the spirit " Biggie's death". Biggie angekuwa na watu wenye macho ya kiroho wangeweza kumfanyia maombi maalumu kwa ajili ya kumuepusha na hicho kivuli cha mauti kilicho kuwa kimemvaa.



KIFO CHA TUPAC SHAKUR NA KIFO CHA SAMSON WA KWENYE BIBLE.

Kuna baadhi ya vitu vinafanana sana kuhusu kifo cha Tupac na kifo cha Samson wa kwenye Bible.

1. Both Tupac and Samson were powerful. Samson was physically powerful and Tupac alikuwa na nguvu ya umaarufu.

2. Both were betrayed by women from enemie's camps. Samson was betrayed by Delila and Tupac was betrayed by Faith Evans. How was Tupac betrayed by Faith Evans ? It was a spiritual betrayal. Whilst Samson's betrayal was against his pgysical power, Tupac's betrayal was against his " spiritual powers" . His " real spirit", dead at the moment he had carnal knowledge of Faith Evans making it easy for him to be attacked by an evil spirit.

3. Both killed many people at their death than during their lives. JUDGES 16:30

Judges 16:30 : " So the dead that he slew at his death were more than they which he slew in his life". Huyo ni Samson, siku ya kufa kwake, alikufa na watu wengi sana kuliko idadi ya watu alio waua wakati wa uhai wake.


TUPAC JE ? Watu alio " WAUA" kwa maneno kupitia nyimbo zake baada ya " kufa" kwake ( KUZINI NA FAITH EVANS ) walikuwa ni wengi kuliko watu alio " waua " ( kwa maneno kupitia nyimbo zake ) kabla haja zini na Faith Evans.



TUPAC ANGEKUWA HAI.

1. Asinge kaa kimya muda wote huo.
2, Asinge pigana na Orlando Anderson siku aliyo pigwa risasi, kwa sababu alikuwa anajua ata ondoka siku hiyo kwenda kujificha Cuba.



SOMO / UJUMBE WANGU : USMTAMANI MKE WA JIRANI YAKO.. kutoka 20:17


There are two rules to live by:

1. Rule numbre uno : You shall not have carnal knowledge of a married woman.

2. Rule nu,ber 2: If You think u have to, then refer to rule number one.





N.B: THIS IS NOT A FACT, IT IS MY OPINION.

Habri nzuri mzee kwa wanahippop ka mm
 
Dont
your loosing time for nothing boss umeandika vitu ambavyo havitakusaidia chochote kile wala hakitabadirisha maisha ya wazazi wako wanao teseka na kufa na njaaa uko kujijini
Don't be selfish bro
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom