wadau habari zenu,
nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks
nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks