my sister anatafuta mume

soledad

Senior Member
Sep 17, 2011
110
29
wadau habari zenu,

nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks
 
mwambie atafute mwenyewe, huwezi kurembua kwa niaba yake, kinyume chake wewe ndo unatafuta mume.
 
Nauliza kwa nini hapa jamvini kila mtu akipost oh mara rafiki yangu oh mara dada/kaka yangu kwanini usisema mie mwenyewe? kwanini kunatatizo gani??
 
wadau habari zenu,

nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks
Ukiwa na mtoto ni sawa na kuomba kazi ukiwa na criminal record au umefukuzwa kazi at last employment, lazima utoe maelezo nini kilijiri, Baba yake yuko wapi, kwanza ana baba huyo mtoto au ulichakachuliwa na stranger na kaingia mitini, mtoto ana umri gani, mliachana achana vipi na baby father, do you know his last name, jamaa ana show up at the front door kila weekend kuangalia mtoto au ni vipi? Je wewe unalipa kiasi cha ku offset hii stigma ya kuzaa zaa ki-single single?
 
Nadhani ingekua vizuri dada yako aje mwenyewe sababu wanaume watakuuliza maswali mengi utashindwa kujibu...
 
wadau habari zenu,

nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks

Nahisi ni wewe unatafuta, unajaribu kutuzuga. Hivi ki ukwei kuna mtu anamtafutia mwenzie mchumba? Excuse us girl!
 
Ukiwa na mtoto ni sawa na kuomba kazi ukiwa na criminal record au umefukuzwa kazi at last employment, lazima utoe maelezo nini kilijiri, Baba yake yuko wapi, kwanza ana baba huyo mtoto au ulichakachuliwa na stranger na kaingia mitini, mtoto ana umri gani, mliachana achana vipi na baby father, do you know his last name, jamaa ana show up at the front door kila weekend kuangalia mtoto au ni vipi? Je wewe unalipa kiasi cha ku offset hii stigma ya kuzaa zaa ki-single single?
Hahahaha... Nimecheka sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom