Jana nilikuwa nimeegesha kagari kangu sehemu, Ndani ya muda usiopungua dk 15 gari yangu ilikuwa imebomolewa na kuibiwa kila kitu kilichokuwemo ndani yake ikiwepo power window zote pamoja na sight mirror moja ambayo tayari imechorwa namba.... Huu sio utamaduni mgeni hapa Dar. Hivi ni kweli kuwa Polisi wameshindwa kabisa kuzuia aina hii ya wizi? Leo nimeenda gerezani naambiwa nikachukue vitu vyangu kesho leo hawawezi kuuza vitu vya jana.... Wizi wenyewe umefanyika machana wa saa kumi jioni kweupeeee....
UPDATES: KAtika kufuatilia fuatilia nimeambiwa na wezi kuwa naweza kupata vitu vyangu ila sharti niwe tayari kutoa 580000.... (Power window 4 na left wing mirror iliyoibiwa). Nipo nanegotiate nao kama wanaweza kunipunguzia. CAN U IMAGINE JINSI NINAVYONYANYASIKA? KOSA LANGU NI KUIBIWA......
Baada ya kujadiliana na wezi kwa muda... Nashukuru nimepata vitu vyangu, japo kwa gharama kubwa bila kuwahusisha hao polisi...... Kwa uzoefu wangu kila aliyemuhusisha polisi kwenye hili aliishia kupoteza vitu vyake moja kwa moja....
UPDATES: KAtika kufuatilia fuatilia nimeambiwa na wezi kuwa naweza kupata vitu vyangu ila sharti niwe tayari kutoa 580000.... (Power window 4 na left wing mirror iliyoibiwa). Nipo nanegotiate nao kama wanaweza kunipunguzia. CAN U IMAGINE JINSI NINAVYONYANYASIKA? KOSA LANGU NI KUIBIWA......
Baada ya kujadiliana na wezi kwa muda... Nashukuru nimepata vitu vyangu, japo kwa gharama kubwa bila kuwahusisha hao polisi...... Kwa uzoefu wangu kila aliyemuhusisha polisi kwenye hili aliishia kupoteza vitu vyake moja kwa moja....