Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Huyu eti anagombea nafasi ya katibu mwenezi wa Ccm mkoa wa DSM! Wakati hajui tofauti ya sera, itikadi na falsafa , Kauli. Mbiu nknk.
Sasa Huyu mdogo wake ameshinda nafasi ya ujumbe wa Nec kupitia wilaya ya Kongwa, Mama anagombea UEnyekiti wa wanawake wote we Ccm , Huyu Ndio hiyo tena , unafikiri hatasema kuwa anaenjoy full democracy? Kama familia Yao yoote ni viongozi wa chama ? Akiona wengine ambao sio sehemu ya Utando wao huo anashangaa sana inakuwaje nao watake kuwa sehemu ya utawala? Yaani anaona Kama kuna kitu watakosa ....full democracy.
Hawa Ndio wanasababisha watu waichukie Zaidi Ccm kwani ni matusi na jeuri Kama hii ilisababisha Ghadaff kung'olewa kwani tulimsikia Yule AL ISlam alivyokuwa anaropoka kuhusu walioitwa waasi , sasa naye aendelee kwani muda aw kuwang'oa Ndio unawadia na Huyu anapaswa kujua kuwa Kama yeye anapata fully democracy wapo ambao wanalala njaa kutokana na utawala mbovu wa Ccm ,
Nchi hii ni ya watanzania , Ndio people's Wenyewehao Kama a nafikiri ni ya familia zao kwa sababu ametoka alikotoka na kukutana vijana maskini waliokipigania Ccm , ila yeye Kapewa nafasi na Hao vijana na wazee kukosa kwa sababu tuu ya majina Yao ajue kuna mwisho wa dharau
Sasa Huyu mdogo wake ameshinda nafasi ya ujumbe wa Nec kupitia wilaya ya Kongwa, Mama anagombea UEnyekiti wa wanawake wote we Ccm , Huyu Ndio hiyo tena , unafikiri hatasema kuwa anaenjoy full democracy? Kama familia Yao yoote ni viongozi wa chama ? Akiona wengine ambao sio sehemu ya Utando wao huo anashangaa sana inakuwaje nao watake kuwa sehemu ya utawala? Yaani anaona Kama kuna kitu watakosa ....full democracy.
Hawa Ndio wanasababisha watu waichukie Zaidi Ccm kwani ni matusi na jeuri Kama hii ilisababisha Ghadaff kung'olewa kwani tulimsikia Yule AL ISlam alivyokuwa anaropoka kuhusu walioitwa waasi , sasa naye aendelee kwani muda aw kuwang'oa Ndio unawadia na Huyu anapaswa kujua kuwa Kama yeye anapata fully democracy wapo ambao wanalala njaa kutokana na utawala mbovu wa Ccm ,
Nchi hii ni ya watanzania , Ndio people's Wenyewehao Kama a nafikiri ni ya familia zao kwa sababu ametoka alikotoka na kukutana vijana maskini waliokipigania Ccm , ila yeye Kapewa nafasi na Hao vijana na wazee kukosa kwa sababu tuu ya majina Yao ajue kuna mwisho wa dharau