My observation.Ndoa za Kiislamu/Mitala VS Ndoa za Kikristo/one to one

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
40,950
47,073
Habari wadau wa jukwaa pendwa
Uchunguzi nilioufanga kuhusu ndoa nimebaini kwamba ndoa za Mitala za kiislam yaani za mke zaidi ya mmja zinadumu na zinafuraha kuliko ndoa za kikristo za mume mja na mke mke mja
Kwenye kuachana,migogoro na kukosa furaha ndoa za kikristo zimezidi licha ya kwamba huwa zinafungwa kwa mbwembwe na gharama kubwa
Nimegundua labda ni kutokana na kwamba dini ya kiislamu inazingatia zaidi tamaduni za kiafrika ya mke zaidi ya mmja na pia imekaza kumpa mwanamke uhuru uchwara kama ilivyo kwa ndoa za kikristo ambapo zinaiga tamaduni za kimagharibi.Karibuni kwa maoni na mjadala
 
Habari wadau wa jukwaa pendwa
Uchunguzi nilioufanga kuhusu ndoa nimebaini kwamba ndoa za Mitala za kiislam yaani za mke zaidi ya mmja zinadumu na zinafuraha kuliko ndoa za kikristo za mume mja na mke mke mja
Kwenye kuachana,migogoro na kukosa furaha ndoa za kikristo zimezidi licha ya kwamba huwa zinafungwa kwa mbwembwe na gharama kubwa
Nimegundua labda ni kutokana na kwamba dini ya kiislamu inazingatia zaidi tamaduni za kiafrika ya mke zaidi ya mmja na pia imekaza kumpa mwanamke uhuru uchwara kama ilivyo kwa ndoa za kikristo ambapo zinaiga tamaduni za kimagharibi.Karibuni kwa maoni na mjadala
Kudumu kwa ndoa kunawezekana hata za kikristo. Its down to wahusika wenyewe waliridhiana vip kuish pamoja
 
Hizo za kiislam si kuwa hazina changamoto, lakin kama muoaji alioa kwa kufuata utaratibu basi kamwe hawezi kupata tabu na itakuwa kwake ni starehe. Kwani mwanamke mwenyewe anajua kuwa hiyo ni haki ya mume.
Refer
وَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تُقۡسِطُواْ فِي ٱلۡيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثۡنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تَعۡدِلُواْ فَوَٰحِدَةً

Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu.

-Sura An-Nisa', Ayah 3

Na mwenye kuoa mke zaidi ya mmoja kamwe haweza kuwachoka wala wao hawawezi kumchoka, maana kila ikifika zamu ya huyu lazma unakuwa ushammiss hiyo unampelekea faya ya kutosha.
Lakin mmoja duh.
 
Hizo za kiislam si kuwa hazina changamoto, lakin kama muoaji alioa kwa kufuata utaratibu basi kamwe hawezi kupata tabu na itakuwa kwake ni starehe. Kwani mwanamke mwenyewe anajua kuwa hiyo ni haki ya mume.
Refer
وَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تُقۡسِطُواْ فِي ٱلۡيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثۡنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تَعۡدِلُواْ فَوَٰحِدَةً

Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu.

-Sura An-Nisa', Ayah 3

Na mwenye kuoa mke zaidi ya mmoja kamwe haweza kuwachoka wala wao hawawezi kumchoka, maana kila ikifika zamu ya huyu lazma unakuwa ushammiss hiyo unampelekea faya ya kutosha.
Lakin mmoja duh.
Mwanamme na mke mmoja kwani wewe njiwa?
 
Me hata nikioa hao wanne(4) hawatanitosha bora nioe mmoja,huku naendelea kutafuna sample tofaut tofaut kwa raha zangu
 
Hizo za kiislam si kuwa hazina changamoto, lakin kama muoaji alioa kwa kufuata utaratibu basi kamwe hawezi kupata tabu na itakuwa kwake ni starehe. Kwani mwanamke mwenyewe anajua kuwa hiyo ni haki ya mume.
Refer
وَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تُقۡسِطُواْ فِي ٱلۡيَتَٰمَىٰ فَٱنكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثۡنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنۡ خِفۡتُمۡ أَلَّا تَعۡدِلُواْ فَوَٰحِدَةً

Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu.

-Sura An-Nisa', Ayah 3

Na mwenye kuoa mke zaidi ya mmoja kamwe haweza kuwachoka wala wao hawawezi kumchoka, maana kila ikifika zamu ya huyu lazma unakuwa ushammiss hiyo unampelekea faya ya kutosha.
Lakin mmoja duh.
Na hiyo ndio radha ya mapenzi na ndoa hii mambo ya wazungu ya mmja mmja ndio inaleta kuchepuka kisa wanandoa wanachokana no ku misiana
 
Kiukweli kabisa kila mwanaume mwenye Mke mmoja kama hana hofu ya Muumba wake basi mtarajie mtu huyo kuingia katika Uzinifu
Hakuna cha hofu ya Mungu mkuu wachungaji nk kutwa kashfa za kuchepuka,usilete mchezo kwa kichwa cha chini mkuu
 
Hakuna cha hofu ya Mungu mkuu wachungaji nk kutwa kashfa za kuchepuka,usilete mchezo kwa kichwa cha chini mkuu
Lazma uelewe, Kuwa kiongozi, au kuwa na elimu ya dini hakumfanyi mtu kuwa karibu na MUUMBA,
Na kutokuwa kiongozi hakumfanyi mtu kuwa mbali na Mola wake..
Na ndio maana kusikia viongozi wategemewa Wanazini na kulawiti vitoto tena wengine mpaka ndani ya Vatican.
Shida moja ni kuwa Makafiri huwa hawakubali kuwa kiongozi anaweza kukosea
 
My observation ni ni kwamba ndoa za wakristo ambao wako serious zina furaha na zinadumu vizuri, na pia ndoa ya muisilamu ambaye yuko serious na dini yake( ya mke mmoja au ya wake wengi) zina furaha na zinadumu sana.
Wakristo uliowaona wewe ni wale ambao hawako serious na dini yao, yaani wanafuata tu vile ambavyo vinawapendeza katika ukristo, ila vile ambavyo hawapendezwi navyo kama kuheshimu mume kutosalitiana kwa kigezo cha mila, hawavifuati kabisa. Hapo ndipo utasikia talaka au michepuko.

Hali kadharika, waislamu ambao wanaijua vizuri dini na kuifuata, hawana matatizo sana. Ila kuna wale waenda msikitini kwa mazoea tu; hawa hata wawe na wake kumi ila watatoka tu nje, na hawata watimizia haja wake zao.

Hivyo mimi naona tatizo ni kutokuwa serious na dini au kuielewa dini, lakini mtu anaamua kuyafuata yale anayopenda tu, ila yale anayoona yako kinyume na mapendezi yake anaamua kuyapuuzia
 
My observation ni ni kwamba ndoa za wakristo ambao wako serious zina furaha na zinadumu vizuri, na pia ndoa ya muisilamu ambaye yuko serious na dini yake( ya mke mmoja au ya wake wengi) zina furaha na zinadumu sana.
Wakristo uliowaona wewe ni wale ambao hawako serious na dini yao, yaani wanafuata tu vile ambavyo vinawapendeza katika ukristo, ila vile ambavyo hawapendezwi navyo kama kuheshimu mume kutosalitiana kwa kigezo cha mila, hawavifuati kabisa. Hapo ndipo utasikia talaka au michepuko.

Hali kadharika, waislamu ambao wanaijua vizuri dini na kuifuata, hawana matatizo sana. Ila kuna wale waenda msikitini kwa mazoea tu; hawa hata wawe na wake kumi ila watatoka tu nje, na hawata watimizia haja wake zao.

Hivyo mimi naona tatizo ni kutokuwa serious na dini au kuielewa dini, lakini mtu anaamua kuyafuata yale anayopenda tu, ila yale anayoona yako kinyume na mapendezi yake anaamua kuyapuuzia
Rekodi za divorse zinaonyesha kati ya 10 waislamu ni kati ya 3 na 4
 
Lazma uelewe, Kuwa kiongozi, au kuwa na elimu ya dini hakumfanyi mtu kuwa karibu na MUUMBA,
Na kutokuwa kiongozi hakumfanyi mtu kuwa mbali na Mola wake..
Na ndio maana kusikia viongozi wategemewa Wanazini na kulawiti vitoto tena wengine mpaka ndani ya Vatican.
Shida moja ni kuwa Makafiri huwa hawakubali kuwa kiongozi anaweza kukosea
Sasa kama viongozi hawana maadili wanapata wapi uhalali wa kuwahubiria wengine,ndio maana mimi nina msimamo wangu binafsi sio mtu wa dini yeyote kwa kuwa sheria zina guarantee
 
Sasa kama viongozi hawana maadili wanapata wapi uhalali wa kuwahubiria wengine,ndio maana mimi nina msimamo wangu binafsi sio mtu wa dini yeyote kwa kuwa sheria zina guarantee
Inategemea sasa ni mfumo upi umefungamana nao, katika Uislam hatuangalii kiongozi anafanya nini, ila TUMEAMRISHWA NINI?
Kwasababu Halali ipo bayana na Haramu ipo bayana ni choice yako uelekee wapi, ili baadae ukose wa kumlaumu ila Nafsi yako
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom