Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Kama heading inavyoeleza hapo Juu, Naona kama nimekua mzito sana kuelewa mambo, Ninaamini hapa nipo kwa ma GTs wa Jamii forums nitasaidiwa mengi na mwishowe naweza nikawa Mmoja wa ma great thinkers kwasababu katika msafara wa mambo kenge nao wamo.
Hebu nisaidieni haya hapa chini ma GT wa Jamii forums.
1. pamoja na kuwa Multichoice na wenziye kutokua na kibali cha kurusha channel za bure za ndani hivyo kupelekea kuondolewa baadhi ya chanels kama Clouds TV, hapa anayeumia ni Multichoice ama Mtanzania mnyonge?
2. Ni kwanini tunahamia Dodoma?
3.
Hebu nisaidieni haya hapa chini ma GT wa Jamii forums.
1. pamoja na kuwa Multichoice na wenziye kutokua na kibali cha kurusha channel za bure za ndani hivyo kupelekea kuondolewa baadhi ya chanels kama Clouds TV, hapa anayeumia ni Multichoice ama Mtanzania mnyonge?
2. Ni kwanini tunahamia Dodoma?
3.