Nalipenda Taifa langu kwakuwa lina kila Rasilimali, ingawa Wananchi wake wamekuwa na maisha Duni, na baya zaidi ule usawa umekosekana, inauma sana.
Nilitegemea leo watu wanaweza kupata Mwanga au Elimu juu ya Taifa lao kupitia majukwaa Siasa na watu wengi kufatilia kwenye vyombo mbali mbali vya habari lakini inasikitisha kuona maeneo mengi hadi hivi sasa Umeme wameshakata, hili ni tatizo na wenye uwezo wa kulitatuwa ni Watanzania wenyewe, niwaombe huu ni mwaka wa Uchaguzi, tufanye maamuzi magumu na si yakishabiki, ili tusije nung'unika baada ya Uchaguzi.
Asanteni
Nawasirisha...
Nilitegemea leo watu wanaweza kupata Mwanga au Elimu juu ya Taifa lao kupitia majukwaa Siasa na watu wengi kufatilia kwenye vyombo mbali mbali vya habari lakini inasikitisha kuona maeneo mengi hadi hivi sasa Umeme wameshakata, hili ni tatizo na wenye uwezo wa kulitatuwa ni Watanzania wenyewe, niwaombe huu ni mwaka wa Uchaguzi, tufanye maamuzi magumu na si yakishabiki, ili tusije nung'unika baada ya Uchaguzi.
Asanteni
Nawasirisha...