My little story with Makonda about leadership, kwa faida ya wasiokujua

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
Mwaka 2007/2008 nilijiunga degree chuo cha Ushirika, wakati huo MUCCoBS pamoja na Makonda ndani ya program: BA- CMA.

Nikafanya semister ya kwanza na huyu mlokole,mtumishi mtanashati!
Sijui kwa wakati huo tu, labda hata leo.
Ila hakuwa mzuri darasani na alipoteza muda wake mwingi nje ya darasa na inaweza kuwa sababu ya yeye kufeli program hii mapema tu!

Kwenye Semester ya pili ya huo mwaka wa kwanza kukawa na uchaguzi wa viongozi wa chuo, kutokea rais mpaka wabunge.
Mimi sikuingia mapema kwenye kinyang'anyiro hicho.Nilichelea japo nilikuwa mguu ndani mguu nje.
Siku ya mwisho ya kurudisha fomu nakumbuka jamaa zangu watatu walinikomalia sana nigombee.
Nilikuwa nimetokea nyumbani siku hiyo na sikuwa na hela!
Basi jamaa wakasema Watalipia fomu.
Nikasema muda umeisha wa kuchukua Form, mshkaji mmoja a. k. a markfish akasema atashughulikia hilo tatizo.

To make long story short,nikaingia kwenye kinyang'anyiro siku ya mwisho bila ya kuwa na makamu wa rais.
Ikaja siku ya interview, na penyewe ikawa kimbembe.
Nilipoingia chumba cha kukusanyikia nikamkuta Makonda na wengine wamejipigilia kimavazi sio kipolepole.
Walipoanza kujadili siasa ndio nilipojua hawa jamaa wako vizuri nje ila ndani ni weupe.

Wakaitwa watu kuwa interviewed na baadae nikaitwa mimi na nilipotoka nikaenda kulala.
Sikuwa na matumaini makubwa sana kwakuwa sikutimiza kigezo cha kuwa na mgombea mwenza.

Nikiwa nimelala kama saa tisa ya usiku akaja 'afande John' kuniamsha na kuniuliza transcript ya matokeo yangu ya semister ya kwanza.
Alisema nimefanya vizuri kwenye interview ila siwezi kuwa rais kwasababu sina uzoefu wa kutosha.
Ila 'jamaa' aliyekuwa amesimama na Makonda, Makonda kama mgombea mwenza yuko vizuri kwenye urais na tume imeshauri tuwe pair na huyo jamaa. Mimi kama makamu wa rais.
Nikakubali, tukacampaign na tukashinda!

Makonda alikuwa wapi muda huo?
Alikuwa na sisi wakati wote japo siku mfurahia kwasababu ya mambo mawili.
Moja: kila saa anaitaja CCM. Yani hata matukio ambayo ningeweza kutoa tu hela mfukoni alitaka twende ofisi za CCM and God knows how much I hate this party.
Mbili: Sikupata kuamini utashi wake kwakuwa hakuwa muelewa wa mambo, yeye na darasa walikuwa mafuta na maji.

Nilishangaa alipokuwa mkuu wa wilaya, nilitamaani kuzimia alipokuwa mkuu wa mkoa.
Watu wanasema maisha ni bahati bwana na yeye amebahatika.
Ila ninachoona ni kuwa, kila Makonda anaposhinda Tanzania inapoteza!

Nitakuwa hapa kwa majibu na uthibitisho kama Vitatakiwa!
[HASHTAG]#Free[/HASHTAG] Godbless Lema
 
Mimi sina shida na Makonda.

Ila hata kama anateuliwa mtu kutokana na ukada basi teua watu wenye taaluma ya uongozi. Wapo vijana wamesomea utawala wa umma, mipango na sera, wana experience za utawala katika taasisi tofauti nchi hii sidhani kama ni sahihi kuteua watu just because ni kada aisee.

Shida ya hii nchi ni zaidi ya Makonda.
 
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, yeye anaenda na safari yake na we nenda na yako itakayo kufurahisha wewe.

Kama alipopata ukuu wa wilaya nusu uzimie akiukwaa uwaziri si unaweza jinyonga anyway sote tunaona serikarini kumejaa vilaz a.
 
Mwaka 2007/2008 nilijiunga degree chuo cha Ushirika, wakati huo MUCCoBS pamoja na Makonda ndani ya program: BA- CMA.

Nikafanya semister ya kwanza na huyu mlokole,mtumishi mtanashati!
Sijui kwa wakati huo tu, labda hata leo.
Ila hakuwa mzuri darasani na alipoteza muda wake mwingi nje ya darasa na inaweza kuwa sababu ya yeye kufeli program hii mapema tu!

Kwenye Semester ya pili ya huo mwaka wa kwanza kukawa na uchaguzi wa viongozi wa chuo, kutokea rais mpaka wabunge.
Mimi sikuingia mapema kwenye kinyang'anyiro hicho.Nilichelea japo nilikuwa mguu ndani mguu nje.
Siku ya mwisho ya kurudisha fomu nakumbuka jamaa zangu watatu walinikomalia sana nigombee.
Nilikuwa nimetokea nyumbani siku hiyo na sikuwa na hela!
Basi jamaa wakasema Watalipia fomu.
Nikasema muda umeisha wa kuchukua Form, mshkaji mmoja a. k. a markfish akasema atashughulikia hilo tatizo.

To make long story short,nikaingia kwenye kinyang'anyiro siku ya mwisho bila ya kuwa na makamu wa rais.
Ikaja siku ya interview, na penyewe ikawa kimbembe.
Nilipoingia chumba cha kukusanyikia nikamkuta Makonda na wengine wamejipigilia kimavazi sio kipolepole.
Walipoanza kujadili siasa ndio nilipojua hawa jamaa wako vizuri nje ila ndani ni weupe.

Wakaitwa watu kuwa interviewed na baadae nikaitwa mimi na nilipotoka nikaenda kulala.
Sikuwa na matumaini makubwa sana kwakuwa sikutimiza kigezo cha kuwa na mgombea mwenza.

Nikiwa nimelala kama saa tisa ya usiku akaja 'afande John' kuniamsha na kuniuliza transcript ya matokeo yangu ya semister ya kwanza.
Alisema nimefanya vizuri kwenye interview ila siwezi kuwa rais kwasababu sina uzoefu wa kutosha.
Ila 'jamaa' aliyekuwa amesimama na Makonda, Makonda kama mgombea mwenza yuko vizuri kwenye urais na tume imeshauri tuwe pair na huyo jamaa. Mimi kama makamu wa rais.
Nikakubali, tukacampaign na tukashinda!

Makonda alikuwa wapi muda huo?
Alikuwa na sisi wakati wote japo siku mfurahia kwasababu ya mambo mawili.
Moja: kila saa anaitaja CCM. Yani hata matukio ambayo ningeweza kutoa tu hela mfukoni alitaka twende ofisi za CCM and God knows how much I hate this party.
Mbili: Sikupata kuamini utashi wake kwakuwa hakuwa muelewa wa mambo, yeye na darasa walikuwa mafuta na maji.

Nilishangaa alipokuwa mkuu wa wilaya, nilitamaani kuzimia alipokuwa mkuu wa mkoa.
Watu wanasema maisha ni bahati bwana na yeye amebahatika.
Ila ninachoona ni kuwa, kila Makonda anaposhinda Tanzania inapoteza!

Nitakuwa hapa kwa majibu na uthibitisho kama Vitatakiwa!
[HASHTAG]#Free[/HASHTAG] Godbless Lema

Tofauti yako na Makonda, wewe sio tu huwezi kujipigania bali hata kuamini katika kujipigania ni taabu sifa hii ni muhimu katika uongozi na ndio inayomfanya mwenzio ashine kinoma noma. You will get what you can negotiate and not what we desearve.
Wewe ni miongoni mwa mifano mibaya ya wasomi wa nchi hii, ukiachiwa unaweza pendekeza hata uruhusiwe kuolewa. Dunia sio lectuer theatre na doers ndio wanaotakiwa sio genius katika masomo hata marekani wameona umuhimu wa hili.
Kama ulikuwa kiongozi shuleni na wenzio walikuona unazo qualities lakini uliwaangusha sababu ya ugoi goi wako na umejiweka nyuma na kuwa mfuasi wakati fursa uliyopata chuoni ilikuwa ni asset ya kukuweka mbele zaidi sasa subiri wengine wakuone tena.
Mwenzio anajua uzaifu wake na kaugeuza fursa na anatusua duniani we bado unaamini yale ya chuoni wakati dunia imebadilika na watakaoweza kwenda na mabadiliko tu ndio watakao ona ufalme. Wewe hata wazee wako utakuwa unawalaumu wakati huu ni wakati wako wa ku shine na kufahamiana na Makonda tumia kama fursa akupe abcd.
 
Tofauti yako na Makonda, wewe sio tu huwezi kujipigania bali hata kuamini katika kujipigania ni taabu sifa hii ni muhimu katika uongozi na ndio inayomfanya mwenzio ashine kinoma noma. You will get what you can negotiate and not what we desearve.
Wewe ni miongoni mwa mifano mibaya ya wasomi wa nchi hii, ukiachiwa unaweza pendekeza hata uruhusiwe kuolewa. Dunia sio lectuer theatre na doers ndio wanaotakiwa sio genius katika masomo hata marekani wameona umuhimu wa hili.
Kama ulikuwa kiongozi shuleni na wenzio walikuona unazo qualities lakini uliwaangusha sababu ya ugoi goi wako na umejiweka nyuma na kuwa mfuasi wakati fursa uliyopata chuoni ilikuwa ni asset ya kukuweka mbele zaidi sasa subiri wengine wakuone tena.
Mwenzio anajua uzaifu wake na kaugeuza fursa na anatusua duniani we bado unaamini yale ya chuoni wakati dunia imebadilika na watakaoweza kwenda na mabadiliko tu ndio watakao ona ufalme. Wewe hata wazee wako utakuwa unawalaumu wakati huu ni wakati wako wa ku shine na kufahamiana na Makonda tumia kama fursa akupe abcd.
Word!

Ni hawa wasomi wetu wanaodhani kuwa first class walizopata madarasani zitawasaidia moja kwa moja huku duniani. Kaa ulalamike kuwa Makonda alikuwa ki.laza darasani. Kesho na kesho kutwa utamkuta ndiyo rais wako. Naona utahama nchi.

Kuwa na uthubutu. Amka. Acha kulalamika. Thubutu. Hata huko kwenye CHADEMA. Tetea unachokiamini. Pigania haki. Wainue wanyonge. Watumikie. Jenga mahusiano na watu na siku moja mambo yote haya yatakurudia na kujidhihirisha kwako. Lakini ukikaa tu na kulalamika kumhusu Makonda aisee asubuhi kwako haitakaa ipambazuke!
 
Word!

Ni hawa wasomi wetu wanaodhani kuwa first class walizopata madarasani zitawasaidia moja kwa moja huku duniani. Kaa ulalamike kuwa Makonda alikuwa ki.laza darasani. Kesho na kesho kutwa utamkuta ndiyo rais wako. Naona utahama nchi.

Kuwa na uthubutu. Amka. Acha kulalamika. Thubutu. Hata huko kwenye CHADEMA. Tetea unachokiamini. Pigania haki. Wainue wanyonge. Watumikie. Jenga mahusiano na watu na siku moja mambo yote haya yatakurudia na kujidhihirisha kwako. Lakini ukikaa tu na kulalamika kumhusu Makonda aisee asubuhi kwako haitakaa ipambazuke!
Sijui wewe kimaisha una kiwango gani
mpaka kunishauri ila I take my responsibilities in life very serious ila sidhani kama kuna sababu ya kusema hapa juu ya achievement zangu.
I just want to say, in Makonda we have a wrong leader, thats all!
 
Tofauti yako na Makonda, wewe sio tu huwezi kujipigania bali hata kuamini katika kujipigania ni taabu sifa hii ni muhimu katika uongozi na ndio inayomfanya mwenzio ashine kinoma noma. You will get what you can negotiate and not what we desearve.
Wewe ni miongoni mwa mifano mibaya ya wasomi wa nchi hii, ukiachiwa unaweza pendekeza hata uruhusiwe kuolewa. Dunia sio lectuer theatre na doers ndio wanaotakiwa sio genius katika masomo hata marekani wameona umuhimu wa hili.
Kama ulikuwa kiongozi shuleni na wenzio walikuona unazo qualities lakini uliwaangusha sababu ya ugoi goi wako na umejiweka nyuma na kuwa mfuasi wakati fursa uliyopata chuoni ilikuwa ni asset ya kukuweka mbele zaidi sasa subiri wengine wakuone tena.
Mwenzio anajua uzaifu wake na kaugeuza fursa na anatusua duniani we bado unaamini yale ya chuoni wakati dunia imebadilika na watakaoweza kwenda na mabadiliko tu ndio watakao ona ufalme. Wewe hata wazee wako utakuwa unawalaumu wakati huu ni wakati wako wa ku shine na kufahamiana na Makonda tumia kama fursa akupe abcd.
Nilichokielewa hapa ni matusi, the rest ni ushauri wa kipuuzi na uongo.
 
Tofauti yako na Makonda, wewe sio tu huwezi kujipigania bali hata kuamini katika kujipigania ni taabu sifa hii ni muhimu katika uongozi na ndio inayomfanya mwenzio ashine kinoma noma. You will get what you can negotiate and not what we desearve.
Wewe ni miongoni mwa mifano mibaya ya wasomi wa nchi hii, ukiachiwa unaweza pendekeza hata uruhusiwe kuolewa. Dunia sio lectuer theatre na doers ndio wanaotakiwa sio genius katika masomo hata marekani wameona umuhimu wa hili.
Kama ulikuwa kiongozi shuleni na wenzio walikuona unazo qualities lakini uliwaangusha sababu ya ugoi goi wako na umejiweka nyuma na kuwa mfuasi wakati fursa uliyopata chuoni ilikuwa ni asset ya kukuweka mbele zaidi sasa subiri wengine wakuone tena.
Mwenzio anajua uzaifu wake na kaugeuza fursa na anatusua duniani we bado unaamini yale ya chuoni wakati dunia imebadilika na watakaoweza kwenda na mabadiliko tu ndio watakao ona ufalme. Wewe hata wazee wako utakuwa unawalaumu wakati huu ni wakati wako wa ku shine na kufahamiana na Makonda tumia kama fursa akupe abcd.
You Nailed It All!
Asante Mkuu!
 
Mwaka 2007/2008 nilijiunga degree chuo cha Ushirika, wakati huo MUCCoBS pamoja na Makonda ndani ya program: BA- CMA.

Nikafanya semister ya kwanza na huyu mlokole,mtumishi mtanashati!
Sijui kwa wakati huo tu, labda hata leo.
Ila hakuwa mzuri darasani na alipoteza muda wake mwingi nje ya darasa na inaweza kuwa sababu ya yeye kufeli program hii mapema tu!

Kwenye Semester ya pili ya huo mwaka wa kwanza kukawa na uchaguzi wa viongozi wa chuo, kutokea rais mpaka wabunge.
Mimi sikuingia mapema kwenye kinyang'anyiro hicho.Nilichelea japo nilikuwa mguu ndani mguu nje.
Siku ya mwisho ya kurudisha fomu nakumbuka jamaa zangu watatu walinikomalia sana nigombee.
Nilikuwa nimetokea nyumbani siku hiyo na sikuwa na hela!
Basi jamaa wakasema Watalipia fomu.
Nikasema muda umeisha wa kuchukua Form, mshkaji mmoja a. k. a markfish akasema atashughulikia hilo tatizo.

To make long story short,nikaingia kwenye kinyang'anyiro siku ya mwisho bila ya kuwa na makamu wa rais.
Ikaja siku ya interview, na penyewe ikawa kimbembe.
Nilipoingia chumba cha kukusanyikia nikamkuta Makonda na wengine wamejipigilia kimavazi sio kipolepole.
Walipoanza kujadili siasa ndio nilipojua hawa jamaa wako vizuri nje ila ndani ni weupe.

Wakaitwa watu kuwa interviewed na baadae nikaitwa mimi na nilipotoka nikaenda kulala.
Sikuwa na matumaini makubwa sana kwakuwa sikutimiza kigezo cha kuwa na mgombea mwenza.

Nikiwa nimelala kama saa tisa ya usiku akaja 'afande John' kuniamsha na kuniuliza transcript ya matokeo yangu ya semister ya kwanza.
Alisema nimefanya vizuri kwenye interview ila siwezi kuwa rais kwasababu sina uzoefu wa kutosha.
Ila 'jamaa' aliyekuwa amesimama na Makonda, Makonda kama mgombea mwenza yuko vizuri kwenye urais na tume imeshauri tuwe pair na huyo jamaa. Mimi kama makamu wa rais.
Nikakubali, tukacampaign na tukashinda!

Makonda alikuwa wapi muda huo?
Alikuwa na sisi wakati wote japo siku mfurahia kwasababu ya mambo mawili.
Moja: kila saa anaitaja CCM. Yani hata matukio ambayo ningeweza kutoa tu hela mfukoni alitaka twende ofisi za CCM and God knows how much I hate this party.
Mbili: Sikupata kuamini utashi wake kwakuwa hakuwa muelewa wa mambo, yeye na darasa walikuwa mafuta na maji.

Nilishangaa alipokuwa mkuu wa wilaya, nilitamaani kuzimia alipokuwa mkuu wa mkoa.
Watu wanasema maisha ni bahati bwana na yeye amebahatika.
Ila ninachoona ni kuwa, kila Makonda anaposhinda Tanzania inapoteza!

Nitakuwa hapa kwa majibu na uthibitisho kama Vitatakiwa!
[HASHTAG]#Free[/HASHTAG] Godbless Lema
Sour grapes if you ask me!!
Una wivu wa kike, maana umeandika pvmber tupu!! Sasa uthibitisho ukitakiwa utathibitisha nini? Kuwa ulisoma nae? Wivu saa zingine kwa watanzania ndio hurudisha watu nyuma! Wewe endelea na wivu wako ila Makonda huyo huyo uliesoma nae ndo mkuu wa jiji kubwa hapa Tz, wewe je uko wapi? Nani anakujua kitaifa? Au hata mtaani kwenu kuna wanaokujua kwa kufanya jitihada za mabadiliko na kuhudumia jamii?
Acha wivu kijana!! Pambana kijana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom