Mwenyewe Jana kasema moja ya malengo ya kutunga kitabu kile ni kuchochea mjadala wa kisiasa na kijamii kwa malengo chanya
Tanzania bado kuna watu wajinga wajinga kwenye tasnia ya Habari
Ntakupa mfano mmoja tu
Kwa vigezo gani vya ki rasilimali akili, taaluma au uzoefu hadi uchambuzi wa Habari za Magazetini kwa radio maarifa hapa nchini kuwapa watu kama Steve Nyerere na Zembwela?,
Uchambuzi wa habari unafanywa kuwa vichekesho na jokes
Kweli hawa ndio wafanye uchambuzi wa ki Habari?
Mkapa yupo sahihi kwa kauli yake ile kipindi hiki kuliko kipindi kile anasema
Tanzania bado kuna watu wajinga wajinga kwenye tasnia ya Habari
Ntakupa mfano mmoja tu
Kwa vigezo gani vya ki rasilimali akili, taaluma au uzoefu hadi uchambuzi wa Habari za Magazetini kwa radio maarifa hapa nchini kuwapa watu kama Steve Nyerere na Zembwela?,
Uchambuzi wa habari unafanywa kuwa vichekesho na jokes
Kweli hawa ndio wafanye uchambuzi wa ki Habari?
Mkapa yupo sahihi kwa kauli yake ile kipindi hiki kuliko kipindi kile anasema