Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,400
- 79,639
Hakuna cha funzo wala nini.Doh pole sana baharia umekuwa funzo kwa wengine shukurani kwa taarifa wakusikia asikie asiyetaka aache tu.
Yalishatokea kabla, yametokea sasa na yataendelea kutokea. Watu huwa hawaamini hadi pale janga linapomkuta.
Kuumizwa yeye sio lazima na wengine waumizwe..na pia kuumizwa ni sehemu ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app