My intuition: Uwepo wa Mwendazake ulikuwa tishio kwa mteule wa Mungu, hivyo ilibidi Mungu amtangulize kumlinda Mteule wake

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Hivi ndivyo intuition yangu inavyonieleza kuwa Mwendzake alikuwa anataka kumshughulikia au kumkwamisha Mteule wa Mungu ambae ndio angekuja kumrithi.

Kwa maneno mengine, Mungu kamuwahi ili mtu wake aje achukue nafasi.

Angeweza kumshughulika au kukwamisha mchakato au harakati ambazo matunda yake ni Mteule huyo wa Mungu kukalia ofisi kubwa.

Intuition nyingine inanieleza kuwa kwasababu Mwendazake alitangulizwa mapema, ni wazi alitanguluzwa ili mchakato wa kuleta mabadiliko usikwame kwani yeye ndio angekuwa kikwazo kwa mchakato mzima na hivyo kwa Mteule huyo wa Mungu.

Tukumbuke angeweza hata kubadili taratibu ili aendelee kukaa ofisini.

Inawezekana Mteule huyo angetoka ndani ya chama chake(Mambo ya Mungu sometimes ni magumu), ingawa uwezekano mkubwa ni mtu wa kutoka nje ya chama chake.

Conclusion:
Mtarajie mabadiliko na hasa kupata kiongozi chaguo la Mungu wakati ukifika.
 
Hivi ndivyo intuition yangu inavyonieleza kuwa Mwendzake alikuwa anataka kumdhuru au kumkwamisha Mteule wa Mungu ambae ndio angekuja kumrithi.

Angeweza kumdhuru au kukwamisha mchakato au harakati ambazo matunda yake ni Mteule huyo wa Mungu kukalia ofisi kubwa.

Intuition nyingine inanieleza kuwa kwasababu Mwendazake alitangulizwa mapema, ni wazi alitanguluzwa ili mchakato wa kuleta mabadiliko usikwame kwani yeye ndio angekuwa kikwazo kwa mchakato mzima na hivyo kwa Mteule huyo wa Mungu.

Tukumbuke angeweza hata kubadili taratibu ili aendelee kukaa ofisini.

Inawezekana Mteule huyo angetoka ndani ya chama chake ingawa uwezekano mkubwa ni mtu wa kutoka nje ya chama chake.

Conclusion:
Mtarajie mabadiliko na hasa kupata kiongozi chaguo la Mungu wakati ukifika.
Umenipoteza kwingi, sijajua Leo imekuwaje ila naamini muda unavyoenda nitarudi hewani na tutaenda sawa.
 
Hivi ndivyo intuition yangu inavyonieleza kuwa Mwendzake alikuwa anataka kumshughulikia au kumkwamisha Mteule wa Mungu ambae ndio angekuja kumrithi.

Angeweza kumshughulika au kukwamisha mchakato au harakati ambazo matunda yake ni Mteule huyo wa Mungu kukalia ofisi kubwa.

Intuition nyingine inanieleza kuwa kwasababu Mwendazake alitangulizwa mapema, ni wazi alitanguluzwa ili mchakato wa kuleta mabadiliko usikwame kwani yeye ndio angekuwa kikwazo kwa mchakato mzima na hivyo kwa Mteule huyo wa Mungu.

Tukumbuke angeweza hata kubadili taratibu ili aendelee kukaa ofisini.

Inawezekana Mteule huyo angetoka ndani ya chama chake(Mambo ya Mungu sometimes ni magumu), ingawa uwezekano mkubwa ni mtu wa kutoka nje ya chama chake.

Conclusion:
Mtarajie mabadiliko na hasa kupata kiongozi chaguo la Mungu wakati ukifika.
Hao akina mwingira wauza ngada?
 
Siku atakayogeuza maneno kumuelekea yule nduli wenu msije kuanza kumshambulia kwa maneno yasiofaa na wengine kudai kuwa amefika bei nk.
 
Hivi ndivyo intuition yangu inavyonieleza kuwa Mwendzake alikuwa anataka kumshughulikia au kumkwamisha Mteule wa Mungu ambae ndio angekuja kumrithi.

Kwa maneno mengine, Mungu kamuwahi ili mtu wake aje achukue nafasi.

Angeweza kumshughulika au kukwamisha mchakato au harakati ambazo matunda yake ni Mteule huyo wa Mungu kukalia ofisi kubwa.

Intuition nyingine inanieleza kuwa kwasababu Mwendazake alitangulizwa mapema, ni wazi alitanguluzwa ili mchakato wa kuleta mabadiliko usikwame kwani yeye ndio angekuwa kikwazo kwa mchakato mzima na hivyo kwa Mteule huyo wa Mungu.

Tukumbuke angeweza hata kubadili taratibu ili aendelee kukaa ofisini.

Inawezekana Mteule huyo angetoka ndani ya chama chake(Mambo ya Mungu sometimes ni magumu), ingawa uwezekano mkubwa ni mtu wa kutoka nje ya chama chake.

Conclusion:
Mtarajie mabadiliko na hasa kupata kiongozi chaguo la Mungu wakati ukifika.
Alikuwa anawaeleza mazuzu wenzie eti watamkumbuka kwa mazuri.Gunioooo!
 
Aliyekufa bado anawataabisha na kuwasumbua walio hai

Au hii ndio maana halisi ya kauli "kimwili ameondoka ila kiroho tupo naye"

KAZI kwelikweli
 
Hivi ndivyo intuition yangu inavyonieleza kuwa Mwendzake alikuwa anataka kumshughulikia au kumkwamisha Mteule wa Mungu ambae ndio angekuja kumrithi.

Kwa maneno mengine, Mungu kamuwahi ili mtu wake aje achukue nafasi.

Angeweza kumshughulika au kukwamisha mchakato au harakati ambazo matunda yake ni Mteule huyo wa Mungu kukalia ofisi kubwa.

Intuition nyingine inanieleza kuwa kwasababu Mwendazake alitangulizwa mapema, ni wazi alitanguluzwa ili mchakato wa kuleta mabadiliko usikwame kwani yeye ndio angekuwa kikwazo kwa mchakato mzima na hivyo kwa Mteule huyo wa Mungu.

Tukumbuke angeweza hata kubadili taratibu ili aendelee kukaa ofisini.

Inawezekana Mteule huyo angetoka ndani ya chama chake(Mambo ya Mungu sometimes ni magumu), ingawa uwezekano mkubwa ni mtu wa kutoka nje ya chama chake.

Conclusion:
Mtarajie mabadiliko na hasa kupata kiongozi chaguo la Mungu wakati ukifika.
Na Charles Mbowe nae alitangulizwa kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom