Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,645
yaani magamba kutwa kucha kuangalia leo mnatoka sngle gani kuhusu cdm!badala ya kutekeleza sera zenu!...ss basi bila cdm msingemfaham huyo Zitto,na wala cdm haimtegemei zitto coz chama hakiendeshwi na mtu mmoja!so wapo makamanda wengine wengi tu wanaoiwakilisha cdm vizuri sana kkila mtu kwa nafasi yake.