Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Wadau,ebu nisaidieni
Nnae huyu hubby av dated her for sometime.Alikua hana access ya internet kwa kipindi fulani lakini hivi majuzi kaanza kupata access cha kushangaza kuanzia ajiunge na mtandao mmoja wa kusocialize amekua hasikii wala haoni.
Kila kukicha yeye anaongeza new contact,either no. ya simu ama a messenger id ama ADD AS A FRIEND!!Lol
Halafu dharau za wazi zinaanza kujitokeza mara anitusi we mse...Mara asiwe na mood,safari zimekua nyingi siku hizi tena bila kuagwa.
Ukienda kwake unamkosa ukimwuliza uko wapi atasema oooh niko Sigara nakula samaki ama ooh nimemeenda kwa shangazi na hiyo ndo isambeeeee mpk usiku.
Ilifikia kipindi nikamkataza asiiendelee kuwepo kwenye hii mitandao lakini aliziba pamba akasema kamwe hawezitoka huko.Eti liwalo na liwe yeye ataendelea kuwepo.
Juzi kanidanganya live na nikagundua lakin bado anasisitiza kua hakudanganya,
Mie nimechoka nataka kufanya maamuzi,nlimwomba rafikie aongee nae akamwambia aachane na mimi kwani yeye anajua ni kitu gani anafanya na eti mimi siwezi muingilia kwenye mambo yake.
NAHISI NINAIBIWA NA WATONGOZAJI WA MTANDAONI MAANA NAJUA WAPO WENGI,nifanyeje jamani?
Mbaya ni kua message anazotumiwa siku hizi toka marafiki hawa wa mtandaoni zinaonyesha wazi kua kunakinachoendelea.
Weekend nlitoka nae outing kufika huko mara kakutana na mtu kamkimbilia,kumwuliza huyu ni nani oooh ni rafiki yangu wa online,jamani nachoka kabisaaaaaaaaaaa
Nnae huyu hubby av dated her for sometime.Alikua hana access ya internet kwa kipindi fulani lakini hivi majuzi kaanza kupata access cha kushangaza kuanzia ajiunge na mtandao mmoja wa kusocialize amekua hasikii wala haoni.
Kila kukicha yeye anaongeza new contact,either no. ya simu ama a messenger id ama ADD AS A FRIEND!!Lol
Halafu dharau za wazi zinaanza kujitokeza mara anitusi we mse...Mara asiwe na mood,safari zimekua nyingi siku hizi tena bila kuagwa.
Ukienda kwake unamkosa ukimwuliza uko wapi atasema oooh niko Sigara nakula samaki ama ooh nimemeenda kwa shangazi na hiyo ndo isambeeeee mpk usiku.
Ilifikia kipindi nikamkataza asiiendelee kuwepo kwenye hii mitandao lakini aliziba pamba akasema kamwe hawezitoka huko.Eti liwalo na liwe yeye ataendelea kuwepo.
Juzi kanidanganya live na nikagundua lakin bado anasisitiza kua hakudanganya,
Mie nimechoka nataka kufanya maamuzi,nlimwomba rafikie aongee nae akamwambia aachane na mimi kwani yeye anajua ni kitu gani anafanya na eti mimi siwezi muingilia kwenye mambo yake.
NAHISI NINAIBIWA NA WATONGOZAJI WA MTANDAONI MAANA NAJUA WAPO WENGI,nifanyeje jamani?
Mbaya ni kua message anazotumiwa siku hizi toka marafiki hawa wa mtandaoni zinaonyesha wazi kua kunakinachoendelea.
Weekend nlitoka nae outing kufika huko mara kakutana na mtu kamkimbilia,kumwuliza huyu ni nani oooh ni rafiki yangu wa online,jamani nachoka kabisaaaaaaaaaaa