My fiancee who was HIV+ now tested HIV-

Wanatafuta formular ambayo inafanana na diet ili warudishe kinga maalumu kwa AIDS tu, ili baadaye watafute madunguri special kwa Ebora, unapiga huku unaleta ingine biashara kazini. Kumbuka kuna kipindi ndani ya BBC, Uk na Euroupe waliwaambia USA mnadawa za EBOLA kwa nini msizitoe ila wamarekani hawakujibu wakawa kimya, ila raia wao alipoumwa huko Africa magharibi walimsafirisha kutoka africa wakaenda kumtibia kwenye hospitali ya kijeshi.
Kumbuka: hawa watu hawawezi kutoa hata technology yao kabla hawajapata ingine.
Kweli wanasema ebola haina dawa ila wale madaktari walipoumwa kipindi kile fasta wakawarudisha usa na wakapona.
Walipoambiwa aah nyie si mnasena hamna dawa imekuwaje tena. Wakawa kimya mpaka leo
 
Naona umepata picha sasa, wengine wanapokea tu elimu ya kizungu wanaambiwa zamani binaadamu tulikuwa nyani, ila baadaye mikia ikakatika wakawa binaadamu, basi watu wakakubali na inafundishwa ila hawajiulizi mbona kwa saaa hawabadiliki?
Hivyo hivyo kwa ukimwi,
Kumbuka walisema ulianzia kwa nyani, haijakaa sawa wakasema ma gay waliuleta
Na baadaye wakakili waliutengeneza kwa sababu maalum,
Ila walipoona wana wanaanza kutest kuponyesha kwa diet wakawatisha mkiacha madunguri ya kizungu mtaisha kwa sababu virus atavuruga DNA zenu.
Ila ukweli ni huu unapotumia vizuri diet unapona.
Kweli wanasema ebola haina dawa ila wale madaktari walipoumwa kipindi kile fasta wakawarudisha usa na wakapona.
Walipoambiwa aah nyie si mnasena hamna dawa imekuwaje tena. Wakawa kimya mpaka leo
 
HIV ni retrovirus na retrovirus hajawahi kuleta madhara ya Aids wala madhara ya aina yoyote kwa binadamu kwa sababu tunaishi nao ndani ya miili yetu.

Ila binadamu ana uwezo wa kuugua Ukimwi(aids). Na Ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini. Na huu ugonjwa unasababishwa na malnutrition. Asilimia kubwa wanaougua huu ugonjwa ni masikini sana. Ijapokuwa mtoto ana uwezo wa kuugua na zipo sababu nyengine zinazoweza kumfanya mtu kuugua huu ugonjwa.

Na vipimo vya ukimwi vyote havipo kwa ajili ya kupima ukimwi. Huwa vinatofautiana na hii hutokana na manufacturer.
 
Naona umepata picha sasa, wengine wanapokea tu elimu ya kizungu wanaambiwa zamani binaadamu tulikuwa nyani, ila baadaye mikia ikakatika wakawa binaadamu, basi watu wakakubali na inafundishwa ila hawajiulizi mbona kwa saaa hawabadiliki?
Hivyo hivyo kwa ukimwi,
Kumbuka walisema ulianzia kwa nyani, haijakaa sawa wakasema ma gay waliuleta
Na baadaye wakakili waliutengeneza kwa sababu maalum,
Ila walipoona wana wanaanza kutest kuponyesha kwa diet wakawatisha mkiacha madunguri ya kizungu mtaisha kwa sababu virus atavuruga DNA zenu.
Ila ukweli ni huu unapotumia vizuri diet unapona.
Hata mimi niliposikia eti hiv binadamu aliupata kwa nyani nilicheka sana. Hawa wazungu walituona wapumbavu sana mpaka wakatupa hiyo sababu.
Mpaka walipokubali kwamba ni mipango tu ya kupunguza watu duniani.
 
Inawezekana dawa zikapunguza virusi mpaka visionekane, lakini vipo bado, ila vichache sana.

Tafuteni ushauri wa wataalam kujua aendelee vipi na dawa ili kuvidhibiti virusi visiongezeke na kurudia kuonekana katika vipimo.
viral load haiwezi kuwa 0 hata siku moja hata kama utatumia dawaza kutosha....but kuna kitu kinaitwa recevoir ,hizi ni tissue maalumu kwenye mwili wa mwanadamu specifically lymph node hizi. ndo huwa primary recevoir wa virus....

Virus akiingia mwilini mwako huwa anafikia kwenye lymph node kwanza kabla hajataget other organs or tissue ...ndo mana the primary response ya HIV infection ni Lymph node enlargement.....

kwa hiyo viral load kwenye damu itapungua kama mtu atakuwa kwenye adhearance ya drugs lakini kwenye lymph node virus huwa bado wapo....

viral road ni propotional na antibodies,viral loadikiwa nying basi hata antibodies zinakuwa nyingi, so kama viral load itapungua basi hata antibodies huwa zinapungua ....so drug adhearance zinafanya viral load kwenye damu ipungue na inaweza ikawa negative kwenye rapid test ya Bioline lakini kuna muda virus wataanza kushift kutoka kwenye recevoir tissues na kuingia tena kwenye damu kisha ukipima inakuwa positive....


kwa wale wanaotumia Fusion inhibitors ndo wanabenefit sana na hiyo scenario za false negative results.
 
viral load haiwezi kuwa 0 hata siku moja hata kama utatumia dawaza kutosha....but kuna kitu kinaitwa recevoir ,hizi ni tissue maalumu kwenye mwili wa mwanadamu specifically lymph node hizi. ndo huwa primary recevoir wa virus....

Virus akiingia mwilini mwako huwa anafikia kwenye lymph node kwanza kabla hajataget other organs or tissue ...ndo mana the primary response ya HIV infection ni Lymph node enlargement.....

kwa hiyo viral load kwenye damu itapungua kama mtu atakuwa kwenye adhearance ya drugs lakini kwenye lymph node virus huwa bado wapo....

viral road ni propotional na antibodies,viral loadikiwa nying basi hata antibodies zinakuwa nyingi, so kama viral load itapungua basi hata antibodies huwa zinapungua ....so drug adhearance zinafanya viral load kwenye damu ipungue na inaweza ikawa negative kwenye rapid test ya Bioline lakini kuna muda virus wataanza kushift kutoka kwenye recevoir tissues na kuingia tena kwenye damu kisha ukipima inakuwa positive....


kwa wale wanaotumia Fusion inhibitors ndo wanabenefit sana na hiyo scenario za false negative results.
Ndio maana watu wenye ukimwi pia wanapata saratani au kansa zifuatazo non hodgkin's lymphoma, kaposi sarcoma, na cervical cancer (ya kizazi) kwa wanawake.

Lifecode: nimekuelewa unachosema, ila kumbuka virus anapenda zaidi hali ya acidic na vyakula vinavyochochea uzalishaji wa acid mwilini, ndio maana hata hao wagonjwa wa saratani hizo wakila nyama au vyakula vya jamii vya wanga kinga inashuka inachochea pia saratani kusambaa kwa kasi na pia wanapopigwa chemo kinga inashuka zaidi.
Cha msingi hapo ni kubadili mfumo wa lishe.
Na viral load itashuka tu.
Nazungumza hivi nikiwa nimeshawasaidia watu kadhaa wa karibu na nakutumia screenshoot kuthibitisha viral load huwa inashuka, na pia kuongezea nilisha msaidia kigogo mmoja nae viral load zilishuka mpaka vikawa undetecteable.
20190324_133707.jpeg
 
Ndio maana watu wenye ukimwi pia wanapata saratani au kansa zifuatazo non hodgkin's lymphoma, kaposi sarcoma, na cervical cancer (ya kizazi) kwa wanawake.

Lifecode: nimekuelewa unachosema, ila kumbuka virus anapenda zaidi hali ya acidic na vyakula vinavyochochea uzalishaji wa acid mwilini, ndio maana hata hao wagonjwa wa saratani hizo wakila nyama au vyakula vya jamii vya wanga kinga inashuka inachochea pia saratani kusambaa kwa kasi na pia wanapopigwa chemo kinga inashuka zaidi.
Cha msingi hapo ni kubadili mfumo wa lishe.
Na viral load itashuka tu.
Nazungumza hivi nikiwa nimeshawasaidia watu kadhaa wa karibu na nakutumia screenshoot kuthibitisha viral load huwa inashuka, na pia kuongezea nilisha msaidia kigogo mmoja nae viral load zilishuka mpaka vikawa undetecteable.View attachment 1147113
mkuu...kuhusu kansa na vyakula vya wanga ni kweli kuwa kuna uhusiano mkubwa sana kwa sababu Cancerous cell huwa zina high affinity ya glucoss kuliko cell yoyote.......ndo mana post pradial cancer detection inakuwa positive sana kuliko fasting test...

cancer cells ni highly glucose dependant..ni higher metabolic cells kuliko cell zote ndo mana mitotic division yake ipo kubwa kuliko cell zingine..na inakuwa uncontrolled coz huwa wanakonshumu glucose yote kwenye damu....

kwa hiyo ushauri wa kutokula vyakula vya sukari sana ni muhimu kwa sababu ya kuepusha kuwa na uncontralled cell division ya cancerous cells....

Kuhusu acidic condition,inakuja kwa sababu metabolism ya glucose huwa inatoa pyruvic acid,carbon dioxide ambazo huchangia kushuka kwa PH ya blood.....

so ni kweli glucose ina uhusiano mkubwa sana na cancerous cells
 
viral load haiwezi kuwa 0 hata siku moja hata kama utatumia dawaza kutosha....but kuna kitu kinaitwa recevoir ,hizi ni tissue maalumu kwenye mwili wa mwanadamu specifically lymph node hizi. ndo huwa primary recevoir wa virus....

Virus akiingia mwilini mwako huwa anafikia kwenye lymph node kwanza kabla hajataget other organs or tissue ...ndo mana the primary response ya HIV infection ni Lymph node enlargement.....

kwa hiyo viral load kwenye damu itapungua kama mtu atakuwa kwenye adhearance ya drugs lakini kwenye lymph node virus huwa bado wapo....

viral road ni propotional na antibodies,viral loadikiwa nying basi hata antibodies zinakuwa nyingi, so kama viral load itapungua basi hata antibodies huwa zinapungua ....so drug adhearance zinafanya viral load kwenye damu ipungue na inaweza ikawa negative kwenye rapid test ya Bioline lakini kuna muda virus wataanza kushift kutoka kwenye recevoir tissues na kuingia tena kwenye damu kisha ukipima inakuwa positive....


kwa wale wanaotumia Fusion inhibitors ndo wanabenefit sana na hiyo scenario za false negative results.
Kwani virus kutoonekana kwenye vipimo ni sawa n an viral load kuwa 0?
 
Hiyo sio sawa, ila kuna kipimo ambacho hupima viral load , hata huyu mgonjwa nilimwambia akaangalie kila anavyotumia mchanganyiko maalumu wa diet pamoja na vitamin & mineral bila kutumia madunguri ya kizungu na ndio akaona tofauti hii inavyoenda, ila namsubiria tena kama akienda kupima anipe majibu ingawa mwishoni alitaka kulegalega kwenye diet, ila kwa wengine huwa inafikia mpaka kuwa undetecteable ( wengine wanaita 0), ila ikishatokea hivyo anabadili tena diet anaongeza baadhi ya vitu anavyovipenda ila kwa upishi maalumu ukisoma kwenye kitabu cha medical ministry & ministry of healing (70% matunda na mboga za majani wakati 30% vitu vingine).
Pia kizingatia aina ya mafuta ya kupikia au kuuingia mboga zako.
20190324_133707.jpeg
 
Kwani virus kutoonekana kwenye vipimo ni sawa n an viral load kuwa 0?
hakuna kipimo kinachopima virus.....
Halafu kingine viral load haiwezi kuwa zero......never ever viral load inaweza kuwa undetectable but not zero...

kachungulie viral load tittre graph kama utakuwa zero pale....haiwezi kuwa zero...

Kingine ,ili kipimo kioneshe una virusi ni lazima kiwango flani cha antibodies kifikie threshold value ya kuwa detectable na coated viral antigen kwenye bioline...
 
viral load haiwezi kuwa 0 hata siku moja hata kama utatumia dawaza kutosha....but kuna kitu kinaitwa recevoir ,hizi ni tissue maalumu kwenye mwili wa mwanadamu specifically lymph node hizi. ndo huwa primary recevoir wa virus....

Virus akiingia mwilini mwako huwa anafikia kwenye lymph node kwanza kabla hajataget other organs or tissue ...ndo mana the primary response ya HIV infection ni Lymph node enlargement.....

kwa hiyo viral load kwenye damu itapungua kama mtu atakuwa kwenye adhearance ya drugs lakini kwenye lymph node virus huwa bado wapo....

viral road ni propotional na antibodies,viral loadikiwa nying basi hata antibodies zinakuwa nyingi, so kama viral load itapungua basi hata antibodies huwa zinapungua ....so drug adhearance zinafanya viral load kwenye damu ipungue na inaweza ikawa negative kwenye rapid test ya Bioline lakini kuna muda virus wataanza kushift kutoka kwenye recevoir tissues na kuingia tena kwenye damu kisha ukipima inakuwa positive....


kwa wale wanaotumia Fusion inhibitors ndo wanabenefit sana na hiyo scenario za false negative results.
Naomba kukuliza,HIV anachukua muda gani au anatumia muda gani kuua seli aliyoingia.
 
Naomba kukuliza,HIV anachukua muda gani au anatumia muda gani kuua seli aliyoingia.
no direct specific time ambayo tutasema HIV anaua cells...coz kuna two mechanisms ambazo anazitumia kuua cells.....
moja ni direct usage of all resources za host cells na Mbili ni self cell destruction by apoptosis ambayo ni decision ya host cell mwenyewe
au twende kwenye point direct unayotaka kujua.
 
no direct specific time ambayo tutasema HIV anaua cells...coz kuna two mechanisms ambazo anazitumia kuua cells.....
moja ni direct usage of all resources za host cells na Mbili ni self cell destruction by apoptosis ambayo ni decision ya host cell mwenyewe
au twende kwenye point direct unayotaka kujua.
Nataka kujua muda anaotumia HIV kuua seli anayoingia.

Na kama kuna factors zinazochangia jambo hilo zitaje zinachangiaje,maana mpaka sasa naona kuna watu wanaishi zaidi ya miaka 20 bila kutumia ARVs na hawagui,sasa nataka uniondolee huo utata.
 
Ndio maana watu wenye ukimwi pia wanapata saratani au kansa zifuatazo non hodgkin's lymphoma, kaposi sarcoma, na cervical cancer (ya kizazi) kwa wanawake.

Lifecode: nimekuelewa unachosema, ila kumbuka virus anapenda zaidi hali ya acidic na vyakula vinavyochochea uzalishaji wa acid mwilini, ndio maana hata hao wagonjwa wa saratani hizo wakila nyama au vyakula vya jamii vya wanga kinga inashuka inachochea pia saratani kusambaa kwa kasi na pia wanapopigwa chemo kinga inashuka zaidi.
Cha msingi hapo ni kubadili mfumo wa lishe.
Na viral load itashuka tu.
Nazungumza hivi nikiwa nimeshawasaidia watu kadhaa wa karibu na nakutumia screenshoot kuthibitisha viral load huwa inashuka, na pia kuongezea nilisha msaidia kigogo mmoja nae viral load zilishuka mpaka vikawa undetecteable.View attachment 1147113
Alkaline food ndo mpango mzima. Hizi acidic foods ni mbaya sana.
 
Nataka kujua muda anaotumia HIV kuua seli anayoingia.

Na kama kuna factors zinazochangia jambo hilo zitaje zinachangiaje,maana mpaka sasa naona kuna watu wanaishi zaidi ya miaka 20 bila kutumia ARVs na hawagui,sasa nataka uniondolee huo utata.
mmmh....unauliza factors zinazogovern viral enrty into host cell cytoplasm au..?

kiufupi ni kwamba HIV type yoyote anapoingia ndani ya damu yako huwa anasoma kwanza aina ya receptor site zilizopo kwenye CD4 cell zako....akishasoma strain nzima ndipo hutoa aina flani ya conformattion change kwenye hizo receptor za CD4 kisha kuingiza hiyo RNA yake ....

inshort time delay inategemeana na mwili wa kila mtu kuruhusu virus asome mfumo wa receptor kwanza.....hiyo inaweza ikachukua muda tofauti tofauti kwa kila mtu kulingana na aina ya receptornzako

kuna kazi naifanya kwanza ..hivyo nikimaliza nitarudi tumalize utata huo make naona watu mnadanganyana eti HIV ni parodoxy........

kuna serotype za baadhi ya virus mpaka leo hazijasomwa strain nzima kutokana na ambiguity ya wadudu hao....

yet kuhusu HIV serotype viral bado kuna ugumu kuhusu ni gene ipi kwenye viral genome inacontrol kutoa mfumo elekezi wa conformation change kwenye hizo receptor..
..
kasome kuhusu nuclear to cytoplasmic ratio after viral innoculation ndo utajua kwanini inaweza ikachukua muda mrefu au mfupi
 
Jamaa wanajua kuwa karibu na media

MAREKANI: WANASAYANSI WAFANIKIWA KUONDOA VVU KWA PANYA

> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23

> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao

Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
#JFLeo
Naomba kukuliza,HIV anachukua muda gani au anatumia muda gani kuua seli aliyoingia.
 
Haya soma hii kwa wanaosubiria mpaka hawa wawatangazie ndio muamini

MAREKANI: WANASAYANSI WAFANIKIWA KUONDOA VVU KWA PANYA

> Watafiti nchini Marekani wamesema wamefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi kutoka kwenye vinasaba (DNA) vya panya 9 kati ya 23

> Kutokana na mafanikio hayo endapo mamlaka za chakula na dawa zitathibitisha tiba hiyo kwa binadamu inaweza kuanza kutumika mapema mwaka ujao

Soma - https://jamii.app/TibaVVUPanya
#JFLeo
no direct specific time ambayo tutasema HIV anaua cells...coz kuna two mechanisms ambazo anazitumia kuua cells.....
moja ni direct usage of all resources za host cells na Mbili ni self cell destruction by apoptosis ambayo ni decision ya host cell mwenyewe
au twende kwenye point direct unayotaka kujua.
 
Back
Top Bottom