MY FAVOURITE ARTIST FOR THE YEAR 2017

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,783
Mbali na wasanii wa hapa nyumbani Afrika.
Kuna huyu jamaa anaitwa Rag'n'Bone Man ndiye msanii ambaye nimetokea kumpenda sana kwa mwaka huu 2017. Ni moja ya wasanii ambao wanaimba vitu ambavyo vinafanya moyo wako ufurahi na akili ifikirie sana. Ndani ya nyimbo zake huwezi kukuta matusi, kashfa wala makufuru kama ilivyo wasanii wengine wakubwa.

1. Skin


2. Arrow


3. Human


Nyimbo yake ya Human imefanya vizuri sana kwenye BBC Official UK TOP 40.
Album yake inaitwa HUMAN

CC: Red Giant , Benny , mtembea kwa miguu , Apollo
 
Back
Top Bottom