Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Mambo haya hayajaanzia kwa Magu11."Ikiwa tutaruhusu wasichana waliojifungua kurudi mashuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa darasani" --- J.M.Kikwete
Mkwere ni nomaNzokanhyilu,
Yes, I'm 4 real...here is another one for you.
12."Kina mama pia endeleeni kuzaa wasichana wazuri kwani katika miaka hii miwili hata kwenye mashindano ya urembo duniani tumetamba." -- Jakaya Kikwete, July 27,2007
Akina Mruma na Osoro wapo"Nafikiri imefika wakati Tuwaombe Rafiki zetu wa Scandinavia,Watufundishe kuandika na Kusoma Mikataba haswa ya MADINI,kwani sie hatuna wataalamu hao" - JK Kikwete May'2007
KibabeTatizo girlfrnd wangu jike shupa,
msaada wakuuView attachment 951869
Mwalimu Nyerere;
Nelson Mandela;
- "Ni bora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizokufa"
- "Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"
- "Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia."
- "Kichwa kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika".
- "Kama unataka kutengeneza amani na adui yako, tengeneza nae urafiki kisha atakuwa rafiki yako".
- "Inatupasa tutumie muda vizuri na siku zote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi"
Abrahamu Lincoln (Rais wa 16 wa nchi ya Marekani): "Serikali ya watu, inayowatumikia watu na iliyowekwa na watu haitapotea duniani".
Thomas Jefferson: "Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima".
Lucille Ball: "Huwa najutia mambo niliyoyatenda kuliko yale ambayo sikuyatenda"
Confucius: "Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu"
Lao Tzu: "Kuwajua wengine ni hekima, kujijua mwenyewe ni maarifa makubwa"
Benjamini Franklin: "Uaminifu ni sera nzuri"
Abrahan Maslow: "Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari"
Publilius Syrus: "Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha"
Aritotle: "Matumaini ni matumaini yanayotembea"
Plato: "Maamuzi mazuri huegemea maarifa na sio umri"
John F. Kennedy: "Samehe adui zako lakini usisahau majina yao" | "Ushindi una baba wengi ila kushindwa ni yatima"
----------
NB: Nawe ongezea ya kwako
Ukipenda akili inaacha kufanya kaz mpk utakapoacha au kufa
Bazil Pesambili MrambaMtakula nyasi, ndege ya rais lazima inunuliwe.
tumewaletea chuma nakianza kutema cheche by j.k
Aisee nimecheka sana....duh kuna watu bongo zao hazijatulia...AbdulJumbe! - Alipotaka serikali tatu. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ningapi..? Jumbe akajibu ni mbili. Nyerere akamwambia kama ni mbili mbona unatakaserikali tatu..? Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais wa Zanzibar.
Aisee nimecheka sana...Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDSM aliongozamgomo wa wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa. Mwalimu aliibuka pale chuoniakamuuliza Samweli, Samweli kwenu mnakunywa maziwa kweli..? Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomoukaishia hapo hapo.