Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,335
- 3,652
jamami wana JF mna mambo nimecheka kufa na kupona khaaaaKwa maana nyingine uwe mtumwa wake si ndivyo we pilipili hoho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamami wana JF mna mambo nimecheka kufa na kupona khaaaaKwa maana nyingine uwe mtumwa wake si ndivyo we pilipili hoho?
Eti ni kweli kuwa huwa mnazaba makofi pia?
Pole mkuu! Kipi kimekuchekesha hapo ndugu..?jamami wana JF mna mambo nimecheka kufa na kupona khaaaa
ulivyomwita mwenzako pilipili hoho naona stori yake imekukera to the maximum,jamani nimecheka sanaPole mkuu! Kipi kimekuchekesha hapo ndugu..?
Ha ha mkuu nizoee Wala sijakasirika nina utani mwingi tu siwezi sitaki kuwapa mods sababu ya kunipiga ban hivyo naita watu majina yasiyovunja sheria au yasiyo kukera.. hata wewe mbona ni kilamba mwiko mzuri tu..😂ulivyomwita mwenzako pilipili hoho naona stori yake imekukera to the maximum,jamani nimecheka sana
lakini naungana na wewe mkuu,mwenzetu kashakuwa mtumwa wa bidada sasa sijajua kama kashajua hilo au hajui au kajua and he is okay with it.
ah okay sawa mkuu nimekupata,but mlamba mwiko maanake nini?Ha ha mkuu nizoee Wala sijakasirika nina utani mwingi tu siwezi sitaki kuwapa mods sababu ya kunipiga ban hivyo naita watu majina yasiyovunja sheria au yasiyo kukera.. hata wewe mbona ni kilamba mwiko mzuri tu..😂
Kuna wadudu fulani hivi huwa wanalamba miiko..😂 mi humu huniita kikomba mboga au kiberenge ama komamanga..🤣ah okay sawa mkuu nimekupata,but mlamba mwiko maanake nini?
ah okay sawa mkuu asante kwa kunifahamishaKuna wadudu fulani hivi huwa wanalamba miiko..😂 mi humu huniita kikomba mboga au kiberenge ama komamanga..🤣
Kuna wadudu fulani hivi huwa wanalamba miiko.. mi humu huniita kikomba mboga au kiberenge ama komamanga..
Mkuu nikikulipoti kwa mods unaban ya siku kadhaa bahati yako mi si kisabengo..😅Hakuna cha kiberenge hapa, wewe huitwa kenge humu usipotoshe umma!
Mkuu nikikulipoti kwa mods unaban ya siku kadhaa bahati yako mi si kisabengo..
Okay weka na hilo kwenye list nawe lako ni mang'oma..
@witnessj ndo umempelekea @smarter_r issue zangu?
Hahahaha@witnessj ndo umempelekea @smarter_r issue zangu?
Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuingia katika mahusiano na mwanamke ambaye alinizidi kipato.
Mdada alikuwa anafanya kazi katika idara fulani serikalini. mazingira ya kazi ya idara yake yalitengeneza mianya ya rushwa, hii ilimfanya awe anatengeza pesa nyingi za ziada nje ya mshahara. ifahamike hiki kilikuwa ni kipindi cha utawala wa JK, mzee wa Msoga.
Mdada alijiimarisha sana kiuchumi kuanzia kumiliki majumba, magari na biashara mbalimbali.
Sikuwa vizuri kiuchumi wakati nikiwa nae kwenye mahusiano. there was a big financial gap between me and her. Hali hii ilinifanya niwe very loyal to her.
Girlfriend wangu alinizidi kipato licha ya kwamba nilikuwa nimeajiriwa katika kampuni fulani binafsi na kunifanya nisikose pesa mfukoni.
Hivi ni baadhi ya vitu nilivyojifunza katika aina hii ya mahusiano.
1: Mwanamke wa namna hii huwa very independent and confident. Hapendi umpangie ratiba zake wala kumuingilia kwenye mambo yake. Kama mmeenda kwenye starehe, muache ajiachie mpaka achoke, kwa mfano ukimzuia asiendelee kunywa bia ili mrudi mapema nyumbani atakasirika maana anajua anatumia pesa yake.
2 : Kuwa mvumilivu pale anapopiga story na mashosti zake zinazohusu mikasa yao ya starehe au mahusiano na wanaume wengine. Usije ukaleta kiherehere cha kutaka kuhoji. Atakupiga biti.
3: Kubali kusimangwa, sina hakika kama wote wapo hivi, ila huyu wa kwangu alikuwa ananisimanga hasa akiwa amelewa. Kuna siku wakati tunarudi kutoka kwenye starehe nililazimika kushuka njiani baada ya kushindwa kuvumilia masimango ndani ya gari yake.
4 : Jiamini, kuwa vizuri kimwili na kiakili. Mwanamke wa aina hii hapendi kudate na mwanaume legelege. Yaani uwe legelege kwenye kipato na kimwili?, hapana.
Vaa vizuri, nukia vizuri and don't forget to put your body in good shape by doing different exercises. wa kwangu alikuwa ananiambia kabisa nimekupenda kwasababu upo vizuri kimwili na kiakili. Possess knowledge about certain common things. Angalau uwe unajua baadhi ya vitu kuhusu computer au matumizi ya vifaa vya kidijitali. Be street-smart, usiwe mshamba mshamba.
5: Kubali kukatisha ratiba zako na kufuata ratiba zake. Usitoe excuse pale anapokupigia simu kukutaka umsindikize sehemu. Ukifanya hivyo atahisi unamdharau, jiandae kukaripiwa au kununiwa.
6: Kwenye mapenzi hakikisha unamridhisha yeye kwanza, yaani mpe dozi ya kibabe mpaka moyo wake uridhike na umfanyie vile vitu anavyopenda kufanyiwa kitandani. Usilete utundu wako wa kutaka kufanya vile vitu unavyovipenda wewe. Utamkwaza.
7 :Usipende kuhoji mahusiano yake ya nyuma wala wewe usipende kusimulia mazuri ya EX wako. Atakwazika.
8 :Usimpangie matumizi hata kama unahisi fedha anazotumia zinazidi kiwango. Muache atumie vile anavyotaka. Kumbuka ni zake.
9 : Sifia umbile lake au mavazi yake hata kama unahisi siku hiyo hakupendeza.
10 :Mzawadie zawadi hata kama ina gharama ndogo. ataipokea na ataithamini.
11 lay your part by becoming her comforter during her difficult times. Kuna wakati anaweza kukuelezea changamoto mbalimbali za kazini kwake, biashara zake, ndugu zake au marafiki zake. Usiwe sehemu ya kuzidisha tatizo. Wakati wa mazungumzo msikilize na mwisho uje na masuluhisho sahihi.
Perfect, hii sio kwa mwanamke tu hata wewe siku ukiwa nazo nyingi utataka mengi na zaidi ya haya. That's her standards unataka ashuke kukufuata chini???Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuingia katika mahusiano na mwanamke ambaye alinizidi kipato.
Mdada alikuwa anafanya kazi katika idara fulani serikalini. mazingira ya kazi ya idara yake yalitengeneza mianya ya rushwa, hii ilimfanya awe anatengeza pesa nyingi za ziada nje ya mshahara. ifahamike hiki kilikuwa ni kipindi cha utawala wa JK, mzee wa Msoga.
Mdada alijiimarisha sana kiuchumi kuanzia kumiliki majumba, magari na biashara mbalimbali.
Sikuwa vizuri kiuchumi wakati nikiwa nae kwenye mahusiano. there was a big financial gap between me and her. Hali hii ilinifanya niwe very loyal to her.
Girlfriend wangu alinizidi kipato licha ya kwamba nilikuwa nimeajiriwa katika kampuni fulani binafsi na kunifanya nisikose pesa mfukoni.
Hivi ni baadhi ya vitu nilivyojifunza katika aina hii ya mahusiano.
1: Mwanamke wa namna hii huwa very independent and confident. Hapendi umpangie ratiba zake wala kumuingilia kwenye mambo yake. Kama mmeenda kwenye starehe, muache ajiachie mpaka achoke, kwa mfano ukimzuia asiendelee kunywa bia ili mrudi mapema nyumbani atakasirika maana anajua anatumia pesa yake.
2 : Kuwa mvumilivu pale anapopiga story na mashosti zake zinazohusu mikasa yao ya starehe au mahusiano na wanaume wengine. Usije ukaleta kiherehere cha kutaka kuhoji. Atakupiga biti.
3: Kubali kusimangwa, sina hakika kama wote wapo hivi, ila huyu wa kwangu alikuwa ananisimanga hasa akiwa amelewa. Kuna siku wakati tunarudi kutoka kwenye starehe nililazimika kushuka njiani baada ya kushindwa kuvumilia masimango ndani ya gari yake.
4 : Jiamini, kuwa vizuri kimwili na kiakili. Mwanamke wa aina hii hapendi kudate na mwanaume legelege. Yaani uwe legelege kwenye kipato na kimwili?, hapana.
Vaa vizuri, nukia vizuri and don't forget to put your body in good shape by doing different exercises. wa kwangu alikuwa ananiambia kabisa nimekupenda kwasababu upo vizuri kimwili na kiakili. Possess knowledge about certain common things. Angalau uwe unajua baadhi ya vitu kuhusu computer au matumizi ya vifaa vya kidijitali. Be street-smart, usiwe mshamba mshamba.
5: Kubali kukatisha ratiba zako na kufuata ratiba zake. Usitoe excuse pale anapokupigia simu kukutaka umsindikize sehemu. Ukifanya hivyo atahisi unamdharau, jiandae kukaripiwa au kununiwa.
6: Kwenye mapenzi hakikisha unamridhisha yeye kwanza, yaani mpe dozi ya kibabe mpaka moyo wake uridhike na umfanyie vile vitu anavyopenda kufanyiwa kitandani. Usilete utundu wako wa kutaka kufanya vile vitu unavyovipenda wewe. Utamkwaza.
7 :Usipende kuhoji mahusiano yake ya nyuma wala wewe usipende kusimulia mazuri ya EX wako. Atakwazika.
8 :Usimpangie matumizi hata kama unahisi fedha anazotumia zinazidi kiwango. Muache atumie vile anavyotaka. Kumbuka ni zake.
9 : Sifia umbile lake au mavazi yake hata kama unahisi siku hiyo hakupendeza.
10 :Mzawadie zawadi hata kama ina gharama ndogo. ataipokea na ataithamini.
11 lay your part by becoming her comforter during her difficult times. Kuna wakati anaweza kukuelezea changamoto mbalimbali za kazini kwake, biashara zake, ndugu zake au marafiki zake. Usiwe sehemu ya kuzidisha tatizo. Wakati wa mazungumzo msikilize na mwisho uje na masuluhisho sahihi.
Hahaaa sasa kwa taarifa yako mnaowaacha home ndo wanaocheat kupita maelezo(hiyo Siri kidogo tu nakuibia), sema wenye waume mnaojidai mpo busy bar na kwenye michepuko ukijua Hana option anakusubiri tu wewe, Mara Mia huyo independent hata anawazA kutafuta hela😁😁😁😁Kiongozi ulichoandika ni sahihi kabisa ila ni ngumu sana kuishi na wanawake wa design hii. Mimi sisemi mwanamke aliekuzidi kipato bali mwanamke ambae anajitegemea (Independeent)
Mwanamke akishakuwa hivyo hawezi sikiliza mwanaume muda wote na issue ni kwamba atapigania uhuru wake na akishaupata atakuwa anachepuka pia. Hivi imagine mwanamke kila week end aende ku party na mashost lazima adokolewe tu!! Najuwa madada comments kama hizi watazipinga lakini ukweli huwa tunawadonoa kwenye starehe
Upendo ndo Kila kitu🤣🤣Ukipenda wala hutohisi kama upo utumwani.