My dream man!! Je wewe kaka una sifa hizi?

Tausi Mzalendo

JF-Expert Member
May 23, 2010
1,471
722
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
 
Ah Bi Tausi hata sijui unahitaji mchango gani maana swali umelilenga kwa kina kaka moja kwa moja ...........Labda nijaribu
.............Kaka yangu mie hana sifa hizo wifi!
 
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)

Ndio ninazo!
 
mie nilijua umeweka picha bana tumuone alivyojazia jazia kifuani na alivyo handsome......kumbe unatafuta hapa JF,kazana mwaya ...
 
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)

Unataka aliye na sifa hizo aku-PM?
 
Weka picha na CV yako
Leta shahidi moja kutoka kila mkoa wa TZ bara kukuunga mkono

Ili iweje? Si umeshasema hupendi mwanaume mwenye sifa hizo. Sasa nimekwambia, mimi ninazo kwa hiyo nimeshajitoa kwenye ''race'' dhidi ya Tausi Mzalendo.
 
Ah Bi Tausi hata sijui unahitaji mchango gani maana swali umelilenga kwa kina kaka moja kwa moja ...........Labda nijaribu
.............Kaka yangu mie hana sifa hizo wifi![/QUOTE]
Maiwi.... ( hebu jitahidi basi mpigie debe huenda anazo...)
 
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)

Mhh hii style kazi ipo, unaonaje ukatoa sababu kwa kila kipengele?
 
Duh, ishakuwa kama tendwa

Unadhani kutafuta mtu wa kuishi naye maisha mchezo? Huyu wa Tendwa maximum ni miaka kumi na mnatembea tanzania bara na visiwani kupata supporters na kutumia pesa za wavuja jasho kuhakiki! Sitaki kubahatisha....Nataka nianze kwa mguu sahihi eti mwenzenu.
Jamani...
 
Unadhani kutafuta mtu wa kuishi naye maisha mchezo? Huyu wa Tendwa maximum ni miaka kumi na mnatembea tanzania bara na visiwani kupata supporters na kutumia pesa za wavuja jasho kuhakiki! Sitaki kubahatisha....Nataka nianze kwa mguu sahihi eti mwenzenu.
Jamani...

way to go girl!wanapenda PM sababu ni wahuniii!,ndio maana tunapukutika na ukimwi kwa sababu ya kutaka kuficha kila kitu...mambo yote hadharani..ngoja niwaone wakaka wa humu watakavyojifaragua hahaha
 
way to go girl!wanapenda PM sababu ni wahuniii!,ndio maana tunapukutika na ukimwi kwa sababu ya kutaka kuficha kila kitu...mambo yote hadharani..ngoja niwaone wakaka wa humu watakavyojifaragua hahaha

Yaani Shosti! Mhh....
 
way to go girl!wanapenda PM sababu ni wahuniii!,ndio maana tunapukutika na ukimwi kwa sababu ya kutaka kuficha kila kitu...mambo yote hadharani..ngoja niwaone wakaka wa humu watakavyojifaragua hahaha

With PM you get intimate knowledge of the person. Who in their right mind would put their business in public like this? This is where you set yourself up to be lied to. Keep on....
 
With PM you get intimate knowledge of the person. Who in their right mind would put their business in public like this? This is where you set yourself up to be lied to. Keep on....

in public i b'liv you get to know a person even better,besides wengine tumezoea kuonyesha affections in public!

and how can you consider lying to me,knowing so and so knows about you,and probaby will tell me your lies???
 
Back
Top Bottom