Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
Mke mwenza hili nalifikiria kiundani afu ntakuambia kama ukubali au laaah! Watoto watarajiwa lazima wapate malezi mazuri bana hivyo kwenye haya majukumu lazima tuweke watu wenye uhakika, huyu Erickb52 moyo wangu bado unasita!
mm nasikiliza hoja za akina mamito kwanza za akina papito badae. waiting mwanzato.