cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
chondechonde akija mmojawapo a boy, usijemuita HEMED? atajamng'oa mtu kucha na meno!thanks kungwito no. 2 cacico. mm penda nyie mkinilitea yale maujuzi,
ya kunwa uji kwa kuupoza na kuunyongesha kwenye bakuri, ya maufyonzo
na makida makida kibao! watoto wangu watakuwa the best duniani. mwaaaaah.