TANZIA My dad is gone

Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?

I lost my mother 4th February this year

I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Pole sana. We si wa kwanza wala wa mwisho mwanangu. Wote njia ni moja japo shida hatujui lini na nani ataanza au kumalizia
 
Back
Top Bottom