Baada ya kusoma baadhi ya comments hapa naona solution ni Pre-nuptial agreement tuu.
Kama pre-nup ndio suluhisho basi ni heri msioane kabisa na mbakie marafiki wenye mafao...
Kuna issue ya watoto na vitu kama hivyo, mfano society yetu (Tanzania) kama hujaoa au kuolewa watu wengi watakuchukulia wewe ni mhuni na mshenzi wa tabia. Kwa hiyo unaweza kujikuta unarukwa vitu vingi tu.
ni wa kabila fulani kaskazini mwa tanzania.....mashori wa kisukuma hawako hivyo......Sijui kwa nini akina mama iwa wanapenda hivi yaani chake ni chake changu chetu....duh kazi kweli kweli.
ni wa kabila fulani kaskazini mwa tanzania.....mashori wa kisukuma hawako hivyo......
Sijawahi kusikia wala kuona walio oana pale wanapo achana ama kutarikiana... Mume akamdai mke mali.... Siku zote Mke ndiye anayedai mali kutoka kwa mume zigawanywe...! (Japokuwa inawezekana).
shoriz za usukumani kali sana...kwanini tuandikie wino na mate yapo cheki toto hili pure from sukuma landNampango kwenda Usukumani vekesheni vp shoriis kule nasikia mafiga ndo kwenyewe kule mpwa unakuta toto la kisukuma limekwea hewani kama twiga dah mguu huo umbo namba 8 mamama sura black beauty mazee lazima uzimie hasa akiona Nyani Ngabu lazima atume ticket.
hakuna la maaana unalozungumza hapa............Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!
Tushaurianeni!
and what's your problem???? kama hakuna cha maana huna haja ya kuchangia....mijitu mingine bwana!!!!
shoriz za usukumani kali sana...kwanini tuandikie wino na mate yapo cheki toto hili pure from sukuma land
and she's single
It all depends.
Kama alikopa wakati anamchumbia mka-spend wote, lady anaona mwanaume si huyu,
yuko liquid enough! Hayo madeni yenu kwa sababu keshakupata atasema ukweli sasa, kuwa hizi ni zile pesa tulizokuwa tuki-spend wote. Mama amsaidie kulipa si vibaya.
Mie hunidanganyi
huyu sio msukuma ila ile mijizi ya Kinageria
Msukuma gani ana nywele kama paka bwana
Hahah mkuu nadhani huyo ni Cynthia Masasi kutoka Mwanza unaweza kumcheki hapa: Photo: cynthia6 | Cynthia Masasi album | WWW.4FANTASTICEVENTS.COM | Fotki.com
Ila usije ukashangaa ndo mambo ya kubangaiza huko US maisha ni popote tu
mh kaka hadi umekwendasaka ushahidi.... si bure kipo kilichokugusa !(joke)