My Boyfriend Said I Look Old

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
This is a very depressing statement to tell someone,

especially coming from someone you are intimate with

i am so depressed this morning i dont think i can work

i am only 24 young ,beatiful also i love styles

what do you guys think?:sad:

Not me FL ( me nishawekwa ndani jamaa akinambia hivi namwambia me wako tu hata kama nimezeeka till death do us apart):cool:
 
This is a very depressing statement to tell someone,

especially coming from someone you are intimate with

i am so depressed this morning i dont think i can work

i am only 24 young ,beatiful also i love styles

what do you guys think?:sad:

Not me FL ( me nishawekwa ndani jamaa akinambia hivi namwambia me wako tu hata kama nimezeeka till death do us apart):cool:

saa nyingine waume wanasema vitu tu but they dont mean any thing....if ur only 24 u have got another 66 years to look old lol . so is 24+66.. :smile:
 
Kampata Demu amejiweka makeup kibao!!, asubuhi ndo apata Reality(Kumbe ndivyo Sivyo)!!!!!!, Ashkuru kaambiwa kavu, ni jamaa kidogo sana waweza mwagia Demu hivyo!.
 
Girls bwana.. Mnapenda sana kudanganywa. You look good, prety, beautfull, nk. Akikuambia the other way round, hata kama ndo ukweli unalalamika.
 
mmh mwambie atafute njia uyo
mwanaume akikuchoka anaweza ata akakwambia ...u luk like ma grandmaa wakat ukijichek unameremeta mwenyewe km mbalamwez changa..
izo ni gera tu za kumsepesha dada apo
ajakuhadithia yote uyo lazma atakuwa amepewa slide(vituko) mbalimball lakin kashndwa kuzisoma ndo mana kaka kaamua kutoa statement i kwa mategemeo kuwa italeta maxmum effect...
uyo kaka ana mahusiano kwingine
kaka muoga kumwambia ukweli dada that m sor i gt some on eelse
kaka ampend tena dada
mwambie dada wala asigande kwenye kiooo kujicheki uo uzee upo wap...tel ha ur btful ever its just that pumpkin by the name of man kaamua kukubrust bt noooo usimsikilize
mwambie ukweli thats jamaa ana demu mpya uko na aking'ang'ania kuna siku atamwambia unafanana na sokwe,unanuka wew uogi na maneno mingne km iyop
THE MAN Z COWARD ..km mwanume kamili angeisimamisha sentens km ilivyo that e bana ee km vip tulivunje baraza...!!!!!
ahh m luking old??kudadadek walllaaahh ... patachimbika vbaya mno si km nakataa ukweli nisichotaka nikudharauliwa.....
WAKAT ANAKWAMBIA U R SO BBBBBBBBETFUL ..MACHO km st anna,uso km wa cleoptara,unavutia km marie antonente...vdole km julia robert..unafly wala hauwalk... IWEJE GAFLA IVI NIFANANE NA BIBI YAKE????dah apana
AMEZE MAUMIVU ATAFUTE MWNGNE APO SIPO.
 
Not me FL ( me nishawekwa ndani jamaa akinambia hivi namwambia me wako tu hata kama nimezeeka till death do us apart):cool:[/QUOTE]

Oooooooh no? I thought its you? I was getting ready myself to employ someone experienced not learners?
 
This is a very depressing statement to tell someone,

especially coming from someone you are intimate with

i am so depressed this morning i dont think i can work

i am only 24 young ,beatiful also i love styles

what do you guys think?:sad:

Not me FL ( me nishawekwa ndani jamaa akinambia hivi namwambia me wako tu hata kama nimezeeka till death do us apart):cool:

Kwani alivyompenda hakuliona hilo? Wamekaa muda gani katika hayo mahusiano yao?
 
amuulize kaka ivi ujui km umefanana na mugabe?
una undugu na masud masud?tatizo nina penda wanaume wanaotisha bt kwa vile haujskii tena poa nasepa naenda kwa wanaume kweli mahand sam!!!!
byeeeeee
 
Mh,dont be depressed. Shukuru kuwa amekwambia. Maybe anata ka kukuchalenji tu aone reaction yako.

Mr wangu mi huwa ananiambia pia kama nimependeza au hapana. Nikigain weight ndo anakuwa wakwanza kuniambia hivyo nastruggle kupunguza weight.so ucjickie vibaya muulize akwambie kwann anaona u look old.
 
amuulize kaka ivi ujui km umefanana na mugabe?
una undugu na masud masud?tatizo nina penda wanaume wanaotisha bt kwa vile haujskii tena poa nasepa naenda kwa wanaume kweli mahand sam!!!!
byeeeeee


Ona sasa. Mdada wa watu cku hiyo makeup haijakaa vizuri, kaambiwa ukweli, unamshauri amuache mpenzi wake. Utalaumiwa Rose. Mimi namshauri abadili muonekano. awe kama cku aliyoambiwa "you look sooooo bbbbeautfull"
 
Nimesahau kabisa uwepo wa jukwa letu aisee....acha politiki ipite kidogo then :focus:
 
Mh,dont be depressed. Shukuru kuwa amekwambia. Maybe anata ka kukuchalenji tu aone reaction yako.

Mr wangu mi huwa ananiambia pia kama nimependeza au hapana. Nikigain weight ndo anakuwa wakwanza kuniambia hivyo nastruggle kupunguza weight.so ucjickie vibaya muulize akwambie kwann anaona u look old.

huyu jamaa inaonekana kishapata kabinti ka shule ya msingi ndo anajaribu kumlinganisha huyu Dada na binti
 
Mh,dont be depressed. Shukuru kuwa amekwambia. Maybe anata ka kukuchalenji tu aone reaction yako.

Mr wangu mi huwa ananiambia pia kama nimependeza au hapana. Nikigain weight ndo anakuwa wakwanza kuniambia hivyo nastruggle kupunguza weight.so ucjickie vibaya muulize akwambie kwann anaona u look old.


well said. nimegonga kitufe cha i like this kikagoma.
 
khaaaaaaah honest gani hiyo?

a man has been honest. Hebu atuambie je amegain weight? Au amejiachia hayupo tena sopsop. Maana kuna wanawake wakishaolewa full tym makanga.

Mi nilishawahi ambiwa kuwa nimezeeka nilipogain weight. Nilistrago for three months kuloose weight,baada ya hapo kila siku akawa ananisifia that am looking good.

Three days ago kaniambia nimeanza kugain weight sasa nataka kuanza kupunguza uzito tena.

Unajua wanaume wengine wanapenda wake zao wawe katika hali flani sasa inabidi waseme ili mtu ajuwe,sasa hapo ni juhudi zako,ukilemaa tu jamaa anatafuta aliye na hicho anachokitaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom