My BEST FRIEND IS LOOKING FOR A LIFE PARTNER

Mrembo

JF-Expert Member
Oct 9, 2008
414
210
Habari zenu wakuu.

Naandika hii post kwa niaba ya best friend wangu. Kwa kweli yeye hafahamu kama nimemuweka humu, ila kwakuwa alinidokeza nia yake nikaona si vibaya kujaribu na JF.

Tafadhali naomba serious Men.

Wasifu wa rafiki yangu
- mrefu about 5.10 F
-Dark skin color
- education- masters level
- hard working, kind hearted and very caring
-christian (catholic)
- 33 years old


Mwanaume anayetafutwa awe;
- at least 1st degree holder
-single
- Mrefu
- caring and hard working
- christian
-awe tayari kupima HIV
- 33 yrs to 40 years

interested Men please ni PM kwa mazungumzo zaidi, before i decide to give her contacts.

I hope mtaieshim hii post na kurespond seriously
 
like i said i need serious interested candidates. i am not going to respond to stupid posts. i hope you understand
 
Habari zenu wakuu.

Naandika hii post kwa niaba ya best friend wangu. Kwa kweli yeye hafahamu kama nimemuweka humu, ila kwakuwa alinidokeza nia yake nikaona si vibaya kujaribu na JF.

Tafadhali naomba serious Men.

interested Men please ni PM kwa mazungumzo zaidi, before i decide to give her contacts.

I hope mtaieshim hii post na kurespond seriously
Kwanini uzunguke kiasi hiki?
Si unyoroshe maneno tu!!....nadhani hakuna sababu kupitia 'care-of'
Vinginevyo naheshimu sana hisia zako na jinsi unavyotii Moyo wako!
Ndiyo freedom of expression hii bana!
 
Kwanini uzunguke kiasi hiki?
Si unyoroshe maneno tu!!....nadhani hakuna sababu kupitia 'care-of'
Vinginevyo naheshimu sana hisia zako na jinsi unavyotii Moyo wako!
Ndiyo freedom of expression hii bana!

Umeona, hata mimi naelewa ni yeye, sasa kwanini hajiamini, hii ina tosha kum disqualify!!
 
Kwanini uzunguke kiasi hiki?
Si unyoroshe maneno tu!!....nadhani hakuna sababu kupitia 'care-of'
Vinginevyo naheshimu sana hisia zako na jinsi unavyotii Moyo wako!
Ndiyo freedom of expression hii bana!

ivi kwanini watu humu ndani mnapenda kuhisihisi mambo? ivi wewe hujawahi kusikia au kuona watu wanaunganishiana, na hatimaye wanakuwa na happy relationship. mi ninamifano hai mingi, and i believe in match making, ndio maana nikapost hii mada hapa.
 
ivi kwanini watu humu ndani mnapenda kuhisihisi mambo? ivi wewe hujawahi kusikia au kuona watu wanaunganishiana, na hatimaye wanakuwa na happy relationship. mi ninamifano hai mingi, and i believe in match making, ndio maana nikapost hii mada hapa.
sawa mrembo sijakidhi vigezo vya umri na mimi nahitaji mke ila nina miaka 29,mrefu,first degree na ni mkristo.
nadhani utakuwa refa mzuri sana hata kwangu niko serious
 
Na sie mayank 25 je? Age is nothing bt a number kama nick na mariah carey mpe cv hiyo
 
Back
Top Bottom