My baby is strange

First Born

JF-Expert Member
Jul 11, 2011
5,310
1,473
I have decided to use that name cuz of some sweet feelings of love kwake and sometimes namchukulia kama mtoto the way navomcare!
Anyway, thats nt big problem, she makes me crazzy na utu uzima wangu, she used to knw nachofanya hata nikiwa mbali nae, anajua alienipigia, simu iko mezani lakini anauliza "aliekupigia simu namba yake inaishia na 50120 e?" Namwuliza umejuaje anaishia kuchekacheka tu, yuko nyumbani ananiambia "naona uko mjini bhana na hatuambiani" Kumbuka cjamuaga! And it had happened several times! Atafanya vimbwenga, nachukua uamuzi wa kumwacha, akipiga tu najikuta sina msimamo (na sio kawaida yangu). She is strange! Nawaza kumwacha kimyakimya, ananipigia, "hey hubby kwa nin unaniwazia mawazo mabaya hivyo? Haki ya mungu ukiniacha utanitambua!" mamaaa, what kind of chick is this?

Nina wasiwasi nikawa miongoni mwa waliopata historia.
 
^^
Mmm!.. Ana mikoba ya Sheikh Yahaya nini?
.
Anyway ikiwa her sixth sense is superstrong, dont dump her
^^
 
hehehhe yani huyo ndo mzuri sana..kakutegeshea kakioo alichoachiwa na babu yake..watch out
 
I have decided to use that name cuz of some sweet feelings of love kwake and sometimes namchukulia kama mtoto the way navomcare!
Anyway, thats nt big problem, she makes me crazzy na utu uzima wangu, she used to knw nachofanya hata nikiwa mbali nae, anajua alienipigia, simu iko mezani lakini anauliza "aliekupigia simu namba yake inaishia na 50120 e?" Namwuliza umejuaje anaishia kuchekacheka tu, yuko nyumbani ananiambia "naona uko mjini bhana na hatuambiani" Kumbuka cjamuaga! And it had happened several times! Atafanya vimbwenga, nachukua uamuzi wa kumwacha, akipiga tu najikuta sina msimamo (na sio kawaida yangu). She is strange! Nawaza kumwacha kimyakimya, ananipigia, "hey hubby kwa nin unaniwazia mawazo mabaya hivyo? Haki ya mungu ukiniacha utanitambua!" mamaaa, what kind of chick is this?

Nina wasiwasi nikawa miongoni mwa waliopata historia.
Spyware.She is stalking you ,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything
 
Jaribu kulala na mfupa wa ngurue uone itakuwaje?? nasikia eti ni sumu ya viumbe wa namna hiyo

Only this day she called me and we eat pork as our lunch! do you think just mfupa utafanya kazi wakati nyama ndo kitu alichoniomba?
 
E spy software is really good hiyo mpaka ana turn on camera Kwenye Simu nakuona everything unachofanya .Good luck
 
Spyware.She is stalking you ,amenunua spyware card ame install Kwenye Simu yako kwa hiyo anachofanya anaingia Kwenye website ya hiyo spyware anaona kila kitu Simu ,text message ,email na picha na GPS .Google spyware utaona company zote .mie nawafanyia wanangu I know everything

Her phone is Tecno t604, haina uwezo wa kufanya installation hata ya whatsapp!
 
Back
Top Bottom