My Android Gadget iko attacked na Pornographic site

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,550
12,664
Wakuu,
Nahitaji msaada kuondoa hiyo .Ninapofungua browser Google chrome,hiyo site ya ngono inatokea.Mwenye ufahamu tafadhali atoe msaada.
 
Ninapofungua Chrome au Browser Hiyo page inatokea.

fanya hivi
-install browser nyengine mfano opera halafu ingia zikiendelea kutokea ujue kuna app ndani ya simu inafanya hivyo, kama opera haijaathirika basi ni browser hijack tu.

-kwenye hizo browser zilizoathirika nenda setting zake tafuta homepage ibadili na startup page pia ibadili eka site nyengine mf google.com
 
fanya hivi
-install browser nyengine mfano opera halafu ingia zikiendelea kutokea ujue kuna app ndani ya simu inafanya hivyo, kama opera haijaathirika basi ni browser hijack tu.

-kwenye hizo browser zilizoathirika nenda setting zake tafuta homepage ibadili na startup page pia ibadili eka site nyengine mf google.com
Vipi kuhusu matangazo ya pop out hata ukiwa una tumia simu kawaida.
 
Wakuu,
Nahitaji msaada kuondoa hiyo .Ninapofungua browser Google chrome,hiyo site ya ngono inatokea.Mwenye ufahamu tafadhali atoe msaada.
Clear history zote kwenye browser zako zote. Na fungua site mpya zen ziache hizo.
 
Block ads na pops. Sijui browser gan unatumia nenda Google tafuta how to block ads and pops kisha fuata maelekezo
 
Jaribu kureset simu. Backup data zako za muhimu maana kil akitu kitafutika, asipotoka inaweza ikabidi ufanye flashing kabisa.
Usiroot simu, usiinstall Apps nje ya Play store.
 
Pole Mkuu, Hii inasababishwa na wewe Kukaa Muda Mrefu katika Internet Ukiwa una-Download vitu mbali mbali hasa katika site ambazo sio Safe ambazo zilipelekea Adwares kama Vile Counter Flix kuwa instilled kwenye simu yako.
Kuna njia Mbili Kuziondoa hizo Adwares :-
1) Fanya Scaning ya Hiyo Devise yako with Trusted Anti-Virus (Recommended KasperSky) then hakikisha baada ya Scanning kumalizika, una install Adware Removers (Recommended tumia Ccleaner).

2)Factory Resert. Njia hii itafuta kila Kitu kwenye simu yako, hivyo hakikisha Umehifadhi vile vitu vyako vya maaana kwenye SD card yako ndipo ufanye Hiyo process. Njia hii itatumika kama Shortcut ili kuondoa hizo Systems kwa kua huwezi ukaigundua hiyo system kwa mara moja ila kwa njia hii utakua umefagia kila kitu.

Je ni nini Kifanyike kuzuia Tatizo Hili kujirudia?
>>Hakikisha una Anti-Virus yenye uhakika katika kifaa chako.
>>Epuka kutembelea Site ambazo Sii salama(Hasa Porn Site)
>> Punguza Kuinstall app nyingi ambazo huna Uhakika nazo(yaani hufahamu utendaji kazi wake kamili).

Ni hayo tuu japo kwa Uchache wake ila natumaini Kidogo hichi kitakusaidia.
 
Pole Mkuu, Hii inasababishwa na wewe Kukaa Muda Mrefu katika Internet Ukiwa una-Download vitu mbali mbali hasa katika site ambazo sio Safe ambazo zilipelekea Adwares kama Vile Counter Flix kuwa instilled kwenye simu yako.
Kuna njia Mbili Kuziondoa hizo Adwares :-
1) Fanya Scaning ya Hiyo Devise yako with Trusted Anti-Virus (Recommended KasperSky) then hakikisha baada ya Scanning kumalizika, una install Adware Removers (Recommended tumia Ccleaner).

2)Factory Resert. Njia hii itafuta kila Kitu kwenye simu yako, hivyo hakikisha Umehifadhi vile vitu vyako vya maaana kwenye SD card yako ndipo ufanye Hiyo process. Njia hii itatumika kama Shortcut ili kuondoa hizo Systems kwa kua huwezi ukaigundua hiyo system kwa mara moja ila kwa njia hii utakua umefagia kila kitu.

Je ni nini Kifanyike kuzuia Tatizo Hili kujirudia?
>>Hakikisha una Anti-Virus yenye uhakika katika kifaa chako.
>>Epuka kutembelea Site ambazo Sii salama(Hasa Porn Site)
>> Punguza Kuinstall app nyingi ambazo huna Uhakika nazo(yaani hufahamu utendaji kazi wake kamili).

Ni hayo tuu japo kwa Uchache wake ila natumaini Kidogo hichi kitakusaidia.
Factory reset haifuti kila kitu inachofanya ni ku replace /system block na internal storage ila dalvik-cache na /data zinabaki.Kufuta kila kitu mshauri atukie recovery kama twrp
 
Back
Top Bottom